Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Kwakweli marnda yake yalianza muda sana kuvurugwaaHivi Martin Kadinda aliishiaga wapi, hivi nayeye alifanikiwa kweli kuyatunza marinda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwakweli marnda yake yalianza muda sana kuvurugwaaHivi Martin Kadinda aliishiaga wapi, hivi nayeye alifanikiwa kweli kuyatunza marinda?
Nilijichanganya, ni Burundi wamekamatwa 24, Uganda wenye nyumba wanawafukuza mashoga wanaogopa.Kuwa ndani sio hoja.
Mimi nafuatilia taarifa rasmi za bunge la uganda. Sijaona hiyo sheria.
Kama ipo naomba niione.
This comment is hidden because it might be offensive.
Kwahiyo wewe unasapoti alichotamka Shoga?Kwani uongo kama mwanamke ni kamzigo!!?
Mm kwangu kawaida sanaaaa...
Na wao wanavyowasema wanaume kibamia ulikuja na walaka wa kuombwa radhi!!?
Kaa kwa utulivu
[emoji849]asante kwa taarifaKwakweli marnda yake yalianza muda sana kuvurugwaa
Wewe unasapoti alichotamka shoga Hakika Ruben?nahisi naww n flat screen[emoji3][emoji3]si kwa chuki hizo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weeKifungu namba SABA BEE cha sheria ya ULAJI WA MAVI ya mwaka 1963.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwakweli marnda yake yalianza muda sana kuvurugwaa
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu Dutete ni wa wapi?MWAMBA ALIKUWA DUTETE TU...
FILIPINO...!!Mkuu Dutete ni wa wapi?
Nauchukia sana unafiki na wanafiki. Mtu kama shoga si uwe tu real kwani nani unamuogopa?Yaan wabongo kwa unafiki hakuna wa kuwakuta,
Unakuta mtu anamsema shogaaa wee, akimuona utaskia "fulaan nivushe kias fulan" ila wenzake anaokaa nao kuzodoa hawaombi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uache kulaumu wanao mfira uje ulaumu wanawake una kichaa wewe kwani walimshikia miguu. Mijibaba ya jf mnakera kila tatizo lawama mnawapa wanawake khaaa kwa style hii ya kulalamika acha muendelee kuliwa tuNinawalaum sana wanawake kwa kusapoti hawa watu.... huyu jamaa ana mashabiki waaminifu sana ambao ni wanawake... kuna wanawake huwaambii kitu kuhusu Hakika Ruben... kinachoudhi wanawake wakisikia mtu ni shoga hukimbilia kuandika "Mungu tulindie vizazi vyetu" lakini kwenye maisha ya kawaida wanawake huwapenda sana hawa watu na kuwa nao karibu.
Shangaa na wewe mama mana nimeona jinga moja hapo juu linalaumu wanawake kwa kukaa na mashoga wakati wafiraji hawaongelewiAjabu ni kwamba wanaofanya huo ushetwani ni wanaume...na nyie ndo mko hapa mnawashangaa... 🤪🤪🤪🤪
Hahaha watu wana stress zaoShangaa na wewe mama mana nimeona jinga moja hapo juu linalaumu wanawake kwa kukaa na mashoga wakati wafiraji hawaongelewi
Hapo sasa shangaa wee mwenzangu lol.Nauchukia sana unafiki na wanafiki. Mtu kama shoga si uwe tu real kwani nano unamuogopa?
Mtu kuwa real ni kosa?
Yaani wana group lao kabisa.Duh
Halafu kuna wazazi watoto wao wanasoma kwenye shule zakeYaani wana group lao kabisa.Duh