Uchaguzi 2020 Hakika Tundu Lissu ni "living miracle"

Uchaguzi 2020 Hakika Tundu Lissu ni "living miracle"

Kwa wale wapenzi wa historia ambao tulizoe kusoma kuhusu miujiza katika misahafu mtaelewa ninachosema.Inawezekana kabisa mkachanganywa na mazingaombe mfanyiwayo mmkifikiri ni miujiza.

Tundu Lissu Amekuwa kama Sauti ya mtu aliaye Nyikani,Ni muujiza unaotembea.Anatupa habari njema kuhusu kuja kwa neema katika Tanzania.John Pombe Magufuli ambaye kama JINA lake lilivyo alikuwa ni Yohana tu ambaye ni mtangulizi wa Mteule.JPM alilijua hilo ndio maana shetani alitaka kumwondosha ili mpango wa Mungu usitimie kwa Tanzania kuwa nchi ya neema.Nchi ya furaha,nchi ya matumaini.

Jaribu kufikri taifa ambalo watu wote wana afya tele na furahamTaifa ambalo limejaa haki,taifa lenye utu.Hii ndio Tanzania ya Tundu Lissu na JPM kama alivykuwa yohana Mbatizaji alikuwa ni Mtangulizi wake.

Aliwahi kusema Mzee Makamba kwamba JPM atatupa ubatizo wa moto kumbe alikosea.Ubatizo wa JPM ni ubatizo wa Maji.Tundu Lissu ataleta Ubatizo wa moto.

Imeandikwa kwamba John Pombe Magufuli atakuwa ni rais wa Muula mmoja Tanzania,Rais Pekee ambaye atakosa kura katika kipindi cha pili, Rais atakayekabidhi serikali kwa Upinzani.Maneno haya ya unabii yameshatimia na yeyote atakayoyapinga ndani au nje ya sanduku la kura atakuwa anatafuta laana ya Watanzania.

Mtazame TUNDU LISU, kauli zake ujasiri wake,upeo wake mkubwa lakini ZAIDI haiba yake.Anajiamni zaidi ya JPM kwa sababu ya upeo wake na upendo wake kwa Watanzania wote.

ndio JPM ni Mtangulizi wa Tundu Lissu na sasa ni wakti wa kwenda na Tundu Lissu

Nawatakia Tafakari njema.

Bado niko Kimbiji-Katika ufukwe wa bahari ya hindi nikibarizi kipupwe.
 
Kabisa mkuu. JPM is a forerunner for the promised one. The promised one is Tundu Lissu. JPM amekuja kuyanyoosha mapito ya muahidiwa kama jinsi yohana mbatizaji alivyokuja kutengeneza njia ya Masihi (Masiah)
 
Loketo ni debe tupu!..

Oktoba tutamsindikiza airport kwenda kwa beberu wake
 
Duh! Uchaguzi huu kila maneno tutayasikia. Sasa haya yote ni kwa ajili ya kumaanisha kwamba Lisu ni mtume au vipi? Siasa hizi!!
 
Mengi yalisemwa kuhusu YEYE pale aliposhambuliwa kwa jaribio la kioga ili kuweza kupoteza maisha yake. Zilijengwa hoja hafifu ili kuhalalisha udhalimu ule, kumbe wabaya wake hawakutambua ili mbegu iote ni lazima ichimbiwe ardhini na kisha imee na hatimaye iweze kugeuka kuwa mche na baadaye mti wenye matunda mema...
Sitaacha kuwakumbusha kuwa CCM inadeal na Wapiga Kura na CHADEMA inadeal Mashabiki Hapa ndipo huwa nawambia Hawa CCM wanaijua sayansi ya Siasa Cheki Groups na makundi wanayodeal nao Kama Machinga Wasanii walemavu na Wengine wengi Hawa ni wapiga Kura Kabisa Sasa CHADEMA mnadanganywa na vinyomi vya WATU elf 8 Halafu wapiga kula katika hiyo group unakuta ni 500 ndio maana wenzenu CCM wanaweza kuproject watashinda kwa Asilimia ngapi.

Wanaanda maandamano ya Amani ya Taasisi Tofauti yataanzia Dar hatimae yatasambaaa NCHI nzima hii stratege ni ya kudeal na wapiga kura Halisia na sio Mashabiki achaa niwache CHADEMA muendelee kushabikia TUNYOMI TWA LISU
 
Kuna mwanamuziki anaitwa Jamal huko Toronto Canada, kapigwa Risasi 30 lakini hagombei Urais kisa kupigwa kwake risasi, ni Tanzania tu utakuta mambo kama haya.
 
Kwa wale wapenzi wa historia ambao tulizoe kusoma kuhusu miujiza katika misahafu mtaelewa ninachosema.Inawezekana kabisa mkachanganywa na mazingaombe mfanyiwayo mmkifikiri ni miujiza..
Jpm a.k.a Yeye ajaye hastahili hata kufunga gidamu za viatu vyake
 
Magufuli atapigiwa kura na Kheri James, Polepole, Katambi na Gambo.

Viongozi wengine akiwemo Bashiru watampa Tundu Lisu.
 
Sawa! Kupigwa kwake risasi ni kitendo cha kupingwa na kila mtu!

Lakini hiyo haiwezi kuwa tiketi ya kufikiri atapewa urais kwa kuhurumiwa.
.
Ingekuwa hivyo hata Ulimboka angepewa hata ubunge tu

Atapewa vipi wakati amegombea waliopewa ni wabunge akina Majaliwa yeye anagombea na atachaguliwa na wananchi ndipo mtajuwa hamjuwi mtaanza kulaumiana hadi CCM itameguka vipande vipande
 
Lissu ni mpango wa Mungu kwa watanzania.
Ebu Acheni Hizi Habari za Mpango Wa Mungu yaanii Kakosa Shughuli Huko Syria Iraq aje kufanya Mpka aje Tanzania Ambako alishatimiza mpango wake hapa miaka mitano iliyopitaa Mungu huwa Habadiliki Tukumbuke in Yule yule Jana Leo na kesho LISU NI MPNGO WA WAZUNGU NA MAGUFULI NI MPANGO WA MUNGU
 
Back
Top Bottom