Uchaguzi 2020 Hakika Tundu Lissu ni "living miracle"

Uchaguzi 2020 Hakika Tundu Lissu ni "living miracle"

[emoji23][emoji23][emoji23]hayo maneno mwambie mwandishi wa gazeti na sio mimi

Hivi kwani mmeo lisu akiandikwa tu kidogo unatokwa povu kias hiki?
mwenzako ana influence kwa zaidi ya wa Tz million 40 na wengine wanaongezeka kila uchao harafu wewe usiyekuwa na ushawishi hata kwa wana familia wako unakomaa kuwa mchawi wa mafanikio ya mtu, mtakuja kufa kwa kubana pumbu kisa mtu fulani asipendwe!
 
Si kwa sababu ni mgombea urais anayependwa sana.
Wala kwamba ni mwanasheria nguli.
Ama kutokana na jinsi anavyojenga hoja.
Au mvuto mwingine wowote alionao! Hapana.
Bali ni kwa sababu mida hii alitakiwa awe kaoza kaburini, lakini Mungu akampandisha tokea huko!
Alitakiwa awe kanyamaza lakini bado anasema!
Alitakiwa awe kasahaulika, lakini ndiye anayeongelewa kuliko wengine wote.
Ukisoma Neno la Mungu utaona mfanano wa karibu na kisa cha ndugu yetu mpendwa.

"Basi watu wengi katika wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua.
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumuua na Lazaro naye; maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu"
(Yoh.12:9‐11)
Sasa tujihoji, kwa nini watu walimiminika kwa Yesu baada ya tukio lile?
Jibu, hawakutaka kumwona Yeye pekee, ila na Lazaro aliyemfufua.
Kwa hiyo kumbe kuishi kwa Lazaro kuliutangaza utukufu wa Mungu. Na ndiyo sababu wakuu wakapendekeza Lazaro naye auawe haraka.
Nilipokumbuka ndiyo maana nikasema; nikimwangalia Lissu nauona utukufu wa Mungu.

Ndiyo kisa cha mimi na wengine tunatamani kumwona siyo yeye Lissu tu, lakini na huyo Mungu wake aliyemwokoa!
Mtu mmoja mfanyakazi enzi za ukoloni alishtakiwa kwa nini wafanyakazi walikuwa wakimwita "the boss" wakati kuna boss mzungu. Akjitetea akasema waiteni wafanyakazi muwaulize kwa nini waniite boss wakati mimi sio jibu lao ndio liwe hukumu kwangu. Wazungu walihamaki naye aliendelea kuitwa boss ....
Kwa hiyo Lissu hajajipa utukufu bali Mungu amemuinua na watu wanamfuata na kumshangilia. Vita dhidi yake inaweza kuja kuwaaibisha baadae. Huu ni wakati wake!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Lisu anasema kuingilia faragha za wapenzi wa jinsia mmoja ni u uvunjaji wa Sheria. Ana maanisha watu wanao ingiliana kinyume na maumbile waendelee na faragha zao na yeye anawaunga mkono.
Uongo mkubwa sheria dhidi ya hili jambo. Mtu akipatika na hatia sheria itafuatwa. Alichokataa ni serikali kupekua faragha kutafuta watu wa aina hiyo!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Bwana mpendazoe sio kila kitu uwe unapinga tu....Kiukweli ni kuwa Lisu hana ujanja wala ubavu wowote wa kupambana na risasi 16, Dunia nzima hakuna mtu aliepigwa risasi 16 na akapona. Kwaiyo ni Mungu pekee huwa anahusishwa na matukio makubwa na ya ajabu kuwahi kutokea kwasababu yeye tu ndio ana hizo supersonic powers. Jaribu kuwaga na akili mda mwingine.
Mungu huyu huyu mliemdhihaki wakati wa maombi ya janga la corona?

Mungu siyo Amsterdam!

Na mtanukuu sana vifunu vya Biblia hadi oktoba 28 mtakuwa wachungaji kabisa.
 
Watakwambia aliepiga hakuwa mtu wao kwakuwa wakwao moja anaua
 
Si kwa sababu ni mgombea urais anayependwa sana.
Wala kwamba ni mwanasheria nguli.
Ama kutokana na jinsi anavyojenga hoja.
Au mvuto mwingine wowote alionao! Hapana.
Bali ni kwa sababu mida hii alitakiwa awe kaoza kaburini, lakini Mungu akampandisha tokea huko!
Alitakiwa awe kanyamaza lakini bado anasema!
Alitakiwa awe kasahaulika, lakini ndiye anayeongelewa kuliko wengine wote.
Ukisoma Neno la Mungu utaona mfanano wa karibu na kisa cha ndugu yetu mpendwa.

"Basi watu wengi katika wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua.
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumuua na Lazaro naye; maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu"
(Yoh.12:9‐11)
Sasa tujihoji, kwa nini watu walimiminika kwa Yesu baada ya tukio lile?
Jibu, hawakutaka kumwona Yeye pekee, ila na Lazaro aliyemfufua.
Kwa hiyo kumbe kuishi kwa Lazaro kuliutangaza utukufu wa Mungu. Na ndiyo sababu wakuu wakapendekeza Lazaro naye auawe haraka.
Nilipokumbuka ndiyo maana nikasema; nikimwangalia Lissu nauona utukufu wa Mungu.

Ndiyo kisa cha mimi na wengine tunatamani kumwona siyo yeye Lissu tu, lakini na huyo Mungu wake aliyemwokoa!
Haeleluya....jehoava Nissi, jehave Sharma...Elishadai utubebe mwaka huuu tunakuomba...
 
Pamoja na kwamba Mimi Ni mwenye dhambi Ila

Pia Mimi nikila nikimwona lissu anatabasamu naona ukuu wa MUNGU.

Naona maajabu MUNGU naona nguvu zake wazi wazi

Na upande wa pili kutani naona hila za shatani zikifanya kazi

Usinikoti[emoji108][emoji849]
 
unaletaje ujinga wako humu pasipo kuwa na ushahidi nao..acha kuwa shuhuda wa uongo ilihali hata biblia inawalaani watu kama ninyi, mbaya zaidi usikute na wewe ni wa kiume[emoji848]
Ndg inaonekana wakati Lissu anahojiwa na Media za Nje wwe kipindi hicho Kingamuzi ulikua huna au hukulipia ndiyo maana unaonekana kupitwa na mengi!!
 
Since the beginning of campaigns Tundulissu has proved , the...the presence of Lord .


Lets watching And see it competition betweens God purpose and devil purpose.

Between victim and criminal

Between God fearing person and Lucifer.

Between comforter and dictator.

Between Saint and sinners.

Wherever what happened the God purpose must fulfill.
 
mwenzako ana influence kwa zaidi ya wa Tz million 40 na wengine wanaongezeka kila uchao harafu wewe usiyekuwa na ushawishi hata kwa wana familia wako unakomaa kuwa mchawi wa mafanikio ya mtu, mtakuja kufa kwa kubana pumbu kisa mtu fulani asipendwe!
Wwe Uraisi siyo mafanikio, Uraisi ni Utumishi wa Umma! Kama Lissu anatafuta mafanikio mwambie afunguwe biashara!!
 
Mungu huyu huyu mliemdhihaki wakati wa maombi ya janga la corona?

Mungu siyo Amsterdam!

Na mtanukuu sana vifunu vya Biblia hadi oktoba 28 mtakuwa wachungaji kabisa.
Mungu hatambuliki CCM na kama CCM wangekuwa wanamjua mungu wasingekuwa wanafanya ushetani huu sasa, CCM wamejaa ushetani mtupu ushetani wa kupita bila kupingwa kwa njia haramu na tarehe 28 wanaandaa ushetani mwingine wa kupora ushindi tokea upinzani.
 
Si kwa sababu ni mgombea urais anayependwa sana.
Wala kwamba ni mwanasheria nguli.
Ama kutokana na jinsi anavyojenga hoja.
Au mvuto mwingine wowote alionao! Hapana.
Bali ni kwa sababu mida hii alitakiwa awe kaoza kaburini, lakini Mungu akampandisha tokea huko!
Alitakiwa awe kanyamaza lakini bado anasema!
Alitakiwa awe kasahaulika, lakini ndiye anayeongelewa kuliko wengine wote.
Ukisoma Neno la Mungu utaona mfanano wa karibu na kisa cha ndugu yetu mpendwa.

"Basi watu wengi katika wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua.
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumuua na Lazaro naye; maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu"
(Yoh.12:9‐11)
Sasa tujihoji, kwa nini watu walimiminika kwa Yesu baada ya tukio lile?
Jibu, hawakutaka kumwona Yeye pekee, ila na Lazaro aliyemfufua.
Kwa hiyo kumbe kuishi kwa Lazaro kuliutangaza utukufu wa Mungu. Na ndiyo sababu wakuu wakapendekeza Lazaro naye auawe haraka.
Nilipokumbuka ndiyo maana nikasema; nikimwangalia Lissu nauona utukufu wa Mungu.

Ndiyo kisa cha mimi na wengine tunatamani kumwona siyo yeye Lissu tu, lakini na huyo Mungu wake aliyemwokoa!
Amina
 
Wwe Uraisi siyo mafanikio, Uraisi ni Utumishi wa Umma! Kama Lissu anatafuta mafanikio mwambie afunguwe biashara!!
Kama mtukufu kaweza kuwa Rais licha ya mapungufu yake mengi mno hata Haji manara aweza kuwa Rais, kuwa Rais kisha kutawala kwa kuwabambikia kesi uonevu unyanyasaji mwingi siyo mafanikio hayo bali ni kuifanya taasisi ya Urais kuonekana ni chombo cha uonevu.
 
Kuzuia mikutano ya siasa kinyume cha Sheria na katiba kwa miaka mitano huku CCM wao wakifanya kampeni tokea 2016 akipita kugawa pesa kuwadhalilisha wapinzani ni mojawapo ya kero iliyopelekea wananchi kuuchukia utawala huu wa awamu ya tano, utawala penda penda kesi kesi.
 
Si kwa sababu ni mgombea urais anayependwa sana.
Wala kwamba ni mwanasheria nguli.
Ama kutokana na jinsi anavyojenga hoja.
Au mvuto mwingine wowote alionao! Hapana.
Bali ni kwa sababu mida hii alitakiwa awe kaoza kaburini, lakini Mungu akampandisha tokea huko!
Alitakiwa awe kanyamaza lakini bado anasema!
Alitakiwa awe kasahaulika, lakini ndiye anayeongelewa kuliko wengine wote.
Ukisoma Neno la Mungu utaona mfanano wa karibu na kisa cha ndugu yetu mpendwa.

"Basi watu wengi katika wayahudi walipata kujua ya kuwa yeye yuko huko, nao wakaja, si kwa ajili yake Yesu tu, ila wamwone na Lazaro, ambaye Yesu alimfufua.
Nao wakuu wa makuhani wakafanya shauri la kumuua na Lazaro naye; maana kwa ajili yake wengi katika wayahudi walijitenga, wakamwamini Yesu"
(Yoh.12:9‐11)
Sasa tujihoji, kwa nini watu walimiminika kwa Yesu baada ya tukio lile?
Jibu, hawakutaka kumwona Yeye pekee, ila na Lazaro aliyemfufua.
Kwa hiyo kumbe kuishi kwa Lazaro kuliutangaza utukufu wa Mungu. Na ndiyo sababu wakuu wakapendekeza Lazaro naye auawe haraka.
Nilipokumbuka ndiyo maana nikasema; nikimwangalia Lissu nauona utukufu wa Mungu.

Ndiyo kisa cha mimi na wengine tunatamani kumwona siyo yeye Lissu tu, lakini na huyo Mungu wake aliyemwokoa!
Ameeeeeeeeeeeeeeeennnnnnnnnn
 
Back
Top Bottom