😎I survived to tell tale.
Haya mabango sijui nani atazunguka nchi nzima kuyatoaKuwepo kwa mabango ya Magufuli pekee kila mtaa kunamfanya aonekane ni dikteta na Lisuu anaonekana ni mkombozi
Ndoto za m5 tena zimezimwaHaya mabango sijui nani atazunguka nchi nzima kuyatoa
Duh unasema?Mwaka huu Magufuli kaingia cha kike ni bora akajitoa akasingizia afya
hatimaye jiwe chali...TUNDU LISSU OYEEE,[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Risasi 16 siyo mchezo. Umpende usimpende TL, huo ndio ukweli. Ni muujiza. Hata Jiwe akimwona, anaona ni mzimu tu anaopambana nao.