Hakika Uchawi Upo: Nimeutumia kwenye Kesi yangu mahakamani na Nimeshinda

Na atuambie mkoa gan😄
Niko Mkoa fulani hivi ndani ya bongo.
Ni mtumishi wa Umma niliyezulumiwa haki yangu NIKAAMUA KUITAFUTA na NILIIPATA.

Na usisahau ni Mimi Mr. Liverpool Mzee wa ""USIOE USIOE USIOE""

#YNWA
 
Hii dawa inamfaa Ugumu wangu
Amedhulumu watu humu
 
Kuna mambo mawili zingatia sana...
1.Binti aliyekusaidia kumjua babu
Inaonekana anayahusudu sana mambo hayo (huenda hata wewe kuwa nae alitegemea mauchawi hayohayo)

2.Ulipwe fedha baada ya mwezi
Je ulishalipwa au bado? Kama bado usijikubali sana maana mwingine anakupiga hela kisha anakupiga na akili usiwaze wala kuweza kumdai. Kumbuka hata anayekutapeli naye anamuomba mungu
 
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na moyoni amemwacha Mungu...

Hapo unaona umeshinda kesi...

Ila umeweka agano na mganga litakutesa kizazi na kizazi...

Na wewe umelaaniwa, kwa kuwa unamtegemea mwanadamu:
★Doctor
★Nurse
★Mwalimu
★Mchungaji
★Boss/mwajiri
★Mteja
★Jirani
★Dereva
★N.k

Wote hao ni wanadamu na LAZIMA UWATEGEMEE kwa namna 1 au nyingine
 
Ukusaidie kwenda mbinguni kwa Mungu maana duniani hutozidi miaka 100
Ulivyo bwege na hayo maimani yenu ya kuletewa na wageni(wazungu/waarabu),unaona kama jamaa kafanya bonge la dhambi kutumia mbinu za babu.
 
Watu wengine Ni wajinga sema wanajiona wajanja kisa Wana tamaduni za kinguruwe Mana Hawa manguruwe waliaaminisha kuwa ya kwenu Ni mbaya Ila sisi nguruwe ndio nzuri
 
Ni kweli ila ikifika muda lazima umuadhibu mtu. Kuna jamaa hapa namdai hela nasubiri ajichanganye.
Huwezi kula pesa ya mwanaume kizembe hivyo.
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na moyoni amemwacha Mungu...

Hapo unaona umeshinda kesi...

Ila umeweka agano na mganga litakutesa kizazi na kizazi...
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hakimu alikua anasikia nini kwani mpaka anasimama,
 
Mimi nilipataga ajali nakumbuka ilikua 2018 niligongana na hiace dereva wa hiace akakimbia ila trafiki kuja kupima ajali ikaonekana mimi ndiyo nimesababisha ajali, na bima ya usafiri ilikua ishaisha kuna jamaa akasema kuna mganga atakusaidi acha kesi iende mahakamani asiehh mambo ya waganga nilishaapa sitakuja jihusisha acha niwekwe ndani au nilipishwe faini nitamtegemea Mungu tu, uzuri Mungu hakupi mtihani utakao ushindwa basi yule mwenye hiace nilimlipa pesa yake ya matengezo maisha yakaendelea,
 
Hizi riwaya za kutafuta wateja!
 
HOJA ZAKO NZITO NA ZINA MASHIKO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…