Hakika Uchawi Upo: Nimeutumia kwenye Kesi yangu mahakamani na Nimeshinda

Kipindi kile wazungu walipokuja Afrika walitumia dini kuwaambia Wafrika kitu km hiki ila wenyewe waliiba mali zetu ndizo wanazotumia sasa.
Kudhulumiwa kunaumiza sana. Ukimkuta mtu amedhulumiwa hela uwe unamlipa.
Kuna mjinga mmoja, namsubiri ajichanganye nimtoe kafara. Hapa nimepanga niende kwa chibaronda kongo.
Huwezi kutafuta pesa halafu mtu anakudhulumu.
Kwa kulipa 30,000 na hayo masharti umeshaingizwa kwenye maagano ya giza. Bado kuna gharama utazilipia zaidi ni swala la muda tu!
 
K
Akili hauna kabida
 
 
Thread za namna hii ndiyo napenda mie.

Inaburudisha na kutafakarisha vilevile.

Ni wapi yametokea hayo nyanaume?

Maana imani imeshuka, unayemuamini ndiye tapeli #1!
 
Unajua maana ya sadaka kwenye hayo madhabahu ya Mganga? Unatoa kuku wawili na Mchele kg 5. Maana yake unatoa na kuthaminisha maisha yako sawasawa na kuku 2 na kg5. Gharama yake unaijua? Umefurahia matokeo ya mda mfupi lakini gharama yake hujaijua bado.
 
Mleta mada maliza hadithi yako kwa kuweka namba ya babu au nikusaidie kuweka?
0713....12
 

Punguza unazi.
Ungezaliwa kipindi hicho na baba aje Nyerere basi na wewe ungeabudu tu mizimu.

#YNWA
 
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na moyoni amemwacha Mungu...

Hapo unaona umeshinda kesi...

Ila umeweka agano na mganga litakutesa kizazi na kizazi...
Hakuna agano lolote hapo, sasa ww huoni huyo mganga amesaidia huyo tapeli asidhulumu amerudisha haki ya watu. Kama kweli kuna mbingu basi Mganga ataenda mbinguni.
 
Namba zikowapi sasa
 
Amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu na kumfanya kinga yake na moyoni mwake amemwacha Mungu...

Hapo unaona umeshinda kesi...

Ila umeweka agano na mganga litakutesa kizazi na kizazi...

Aaah Donaa [emoji122][emoji122]
 
Iko hivi....
Wapo wachungaji matapeli NADHANI UNAWAJUA,
wapo mashekhe waongo NADHANI UMEWASIKIA,
Wapo Waganga matapeli NDIO HAO ULIOKUTANA NAO,

Kifupi kila jambo na taaluma kuna waongo wasiojua nini wanafanya na WENYE UJUZI WAO.

#YNWA

Kwanza broo hawa wanaokataa waganga ndio wachawi washilikina hawa tunawajua ndio walikole wachawi sana siwakubal watu wa hivi et mauganga sijui nini wanajidai kwamba wahapigi ramli yaani mchawi siku zote hakurog mchana anakuroga usik sasa ndo hawa wanakuja na vifungu sijui umtegmeae mwanadamu ulaaniwe nyie ndo wachawi wauaji washilikina wezi mafisadi ubwa nyinyi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…