Hakika Uchawi Upo: Nimeutumia kwenye Kesi yangu mahakamani na Nimeshinda

Hakika Uchawi Upo: Nimeutumia kwenye Kesi yangu mahakamani na Nimeshinda

Kwa kulipa 30,000 na hayo masharti umeshaingizwa kwenye maagano ya giza. Bado kuna gharama utazilipia zaidi ni swala la muda tu!
Mbona nilishamalizana nae na pesa nishalipwa.

Ila nilikuja kushare humu kama "Testimony" kwamba Uchawi upo.

1. Maagano gani kuamini Imani za kale za babu zetu?

2. Hivi unajua ungezaliwa mwaka 1700 huku ungekuwa mpiga ramli wa chifu?

3. Na umekuwa mkristo kwasababu ya kuzaliwa na hao wazazi, what if ungezaliwa na shekhe Simba?

4. After all ULITAKA NIMUACHE ANIDHULUMU?

#YNWA
 
Hebu kaa mbali na sisi bwana...
Wew ulijuaje kwamba ulishinda sababu ya uchawi ?
Mandingo ya mganga.
Wakati mwingine mkumbukeni basi Allah kuwa yupo hata kama hamuamini uwepo wake
Mungu ndio yupo kwa wakristo, wa Imani za asili, Hindus, mabohora, kurdi, Rasta farians, E.t.c.

Tatizo lako unataka tuamini MUNGU NI ALLAH tu ila sio YEHOVA, JAH, KRISHNA na kutoka kwa NABII HUSEIN.

#YNWA
 
Eeh bwana eeh ni yule yule Mr. Liverpool A.K.A bingwa wa EPL na bingwa wa NBC PL (Mwananchi).

NB:-
Naleta uzi huu si kwa lengo la kutangaza biashara au vipi ila ni KUTOA USHUHUDA WA MAMBO YA DUNIA..!!

FLACK BACK
Mwaka jana mwezi wa 4 nililetewa idea ya biashara na bosi fulani hivi wa huku town nilipo.

Akasema mtaji ni Mimi kuchangia Mil 5 tu ili niwe mshiriki wa hiyo biashara.
Nilimuita ofisini na tukaandikishiana na kumkabidhi hela.

Trip ya kwanza alileta mzigo kamili, tukauza na kupata faida ya mil 4, tukagawana na ule mtaji ikawa nimerudisha mil 7.

Mweki wa 8 ukanifata Tena, akasema safari hii nitoe mtaji mkubwa ili tukapige mshindo mkubwa.

Tukakabidhiana Mil 8.

Zilipita siku, nikawa nikipiga simu hapokei, na nikipiga kwa namba ngeni ananijibu yupo kijijini nisiwe nashaka.

THE PROBLEM
Kwenye mwezi wa 10 mwaka jana, nikiwa kwenye mihangaiko mjini nikamuona.
Ghafla ile na yeye kuniona akakimbia.
Mmmh kichwa kikawaza ""Nishatapeliwa, maana aliniambia yupo kijijini anakusanya mzigo ila nimemuona mjini, na nilivyomuona kanikimbia""

Ikabidi niende kwake usiku, nikamkuta mkewe nikamueleza.
Mkewe akawa ananipa hopeee

ila imefika mwezi wa 11 mwaka jana mkewe nae ananijibu shit ""mlipo kabidhiana hela tulikua wote""

Nikamtafuta rafiki yake, huyu rafiki mwanzo alikua kama ananisaidia hivi ila nae baadae akageuka.

Kufika January, nikaona kimbilio ni polisi.
Kufika Polisi mpelelezi wa jalada langu akaniambia ""Huyu ana marafiki wengi mapolisi, usikubali muelewane hapa, siku za huko mbele atakuzingua nenda mkaelewane mahakamani""

Maana hata siku anaitwa polisi alikua anasalimiana na polisi wengii kishkaji.

Nikafungua kesi mahakama ya mwanzo ""Kosa la kujipatia hela kwa njia za udanganyifu""

Shauri langu likatembea mara Tano (kila wiki mara moja).
Jalada likafungwa.

Likafunguliwa lake.
Kipindi chotee cha kesi hakua na shida wala wasiwasi.

Siku ya kwanza ya upande wake, alisema ""Nilimpa pesa kwa kumsaidia na sio biashara""
Akatoa ushahidi na maneno kibaoo (na hata sijui ushahidi ule aliupata wapi).

Tukaitwa mara ya pili kwenye jalada lake.
Wakaja mashahidi hata nilikua siwajui (mashahidi wa mchongo).

Dah nilivyotoka siku ile nikaona hapa naelekea kushindwa hii kesi.

Ikabidi nimtafute yule askari mpelelezi anishauri.
Dah huyu ndio alinichosha, asiniambie kumbe jamaa anajua mpaka na mume wa hakimu wa kesi yetu.

Yaani nilidata..!!

Kuna siku nipo na enjoy na pisi moja, ikaniona Nina mawazo.
Ikaniuliza nikamuhadithia.

Akaniambia ""Naomba nikusaidie"" nikamjibu sawa.
Usiku ule tulikula starehe asubuhi akaniachia namba ya babu mmoja hivi, kwamba nimtafute nimueleze shida zangu.

Nikampigia babu tukaongea.
Akaniambia niende kwake.

Nikapanda gari (nauli 1000 tu) mpaka kwake.
Babu akanifanyia Mandingo ya kienyeji na kunipa dawa fulani hivi kaifunga kwenye karatasi.

Akasema ""Ukiwa unaenda mahakamani iweke mfuko upande wa kulia, ukingia ukumbi wa mahakama ibadilishe weka mfuko wa kushoto na mtu yoyote akianza kuongea uwe unaiminya dawa"

Siku ya mahakama (siku ya 3 ya jalada lake) ikawadia.
Ikawa akiongea hakimu, shahidi au mdaiwa wangu BASI NAMINYA DAWA.

Eeeh bwana eeh nyie ""Uchawi upo"".
Hakimu akanipa nafasi kuuliza shahidi wa mshtakiwa, eeh wale mashahidi si wakawa wanaropoka tu.

Kuna mmoja ile nimemuuliiza swali nikaminya dawa nikasikia ""Huyu mshtaki hata simjui ndio kwanza namuona Leo""
Mara ""Hata sijui hapa nilikuja kufanya nini""

Upande wake mdaiwa/mshtakiwa ukaisha.
Jalada likafungwa....

Tukatajiwa tarehe ya hukumu.

Dah nikampa taarifa babu.

Babu akaniita Tena.

Akafanya mandingo yake na kunipa dawa ya kuoga, nioge asubuhi (alfajiri) siku ya hukumu.

Siku ya hukumu ikawadia, nikatekeleza masharti.
Kwenda mahakamani ""Hukumu imehahirishwa"" ikapangiwa siku nyengine.

Nikampa taarifa babu.
Babu akaniita. Babu akachukua matunguli kachekii nikasikia ""Wanatutania hawa, Hawajui haki ya mtu hailiwi kijinga?""

Babu akanipa dawa nyengine, ya kuoga siku ya hukumu na kuweka mfukoni. Nikasikia babu ananiambia ""Wakitoka hapa basi wao nomaa""

Siku ya hukumu nikaoga na kuwahi mahakamani.

Kesi yetu ikaitwa.
Hakimu, mimi na mshtakiwa tupo pamoja ukumbini.

Wakati hakimu anasoma hukumu mimi nikawa naminya ile dawa kalii ya babu.

Niliminyaaa kama mara 5 nikaona hakimu kiti hakikaliki, akainuka akatoka.
Kakaa kama dakika 2 akarudi tena ukumbini.

Kusoma hukumu NIMESHINDA na natakiwa kurudishiwa pesa zangu.

Jamaa akahukumiwa kufungwa miezi 3 jela na 6 kifungo cha nje.

Ile kujitetea nikaona hakimu anampunguzia na kumpa miezi 6 kifungo cha nje na arudishe pesa zangu ndani ya mwezi.

Dah nikatoka kwa furaha mahakamani.

Nikamtafuta babu, babu akanipa siku ya kwenda nikiwa na kuku wawili (majogoo) na mchele kilo 5.

Kufika ile siku nikaenda, wale kuku babu akawafanyia mandingo na kuwachinja.

Ubwabwa wa kuku ukapikwa, wakaalikwa watoto tuuu wa majirani waje kula.

Walivyomaliza kula, ile jioni babu akaniita ndani ya ofisi.

Malipo yake akasema 30,000/= niweke chini ya mkeka halafu niondoke nisigeuke nyuma mpaka nikimaliza eneo la nyumba yake.

Mimi sikugeuka nyuma kabisaa mpaka nikapotelea mitaani kwenda stendi ili nirudi home.

Dah hayo ndio yakawa malipo ya Kazi ya babu.

Eeh bwana eeh UCHAWI UPO na UNAFANYA KAZI.

#YNWA
Vipi ulilipwa pesa zako
 
Fungua macho uelimike.

1. Si lazima utoe kafara ili usaidike.
Kwenye scenario yangu, NILITOA KAFARA NINI?

2. Na infact ULITAKA NIDHULUMIWE?

3. Unaposema uislamu ni mbaya kwasababu ya ukristo wako, huku umerithi hiyo Imani kutoka kwa wazazi na kutoka kwa wazungu (wamishioneri).
Hivi unajua ungezaliwa na muhindi muda huu ungekuwa una mwabudu "Krishna"?

#YNWA
Sio kila anaejiita Mkristo basi ndio Imani aliyoanza nayo toka utotoni.
Mimi nimesoma sio mfata mikumbo kama wewe.

Usilete maswali za Kidini sanaaa maana hili sio jukwaa husika.

Endelea na Ushirikiana wako wewe mchawi mkubwa tuone utakufikisha wapi.
Wewe ndo ungekua mganga wa kienyeji kidogo ningeona shida yako si kubwa sana, lakini kwa vile wewe ni mteja wa washirikina wewe ni Mpumbavu wa kwanza 🤣🤣🤣
 
Sio kila anaejiita Mkristo basi ndio Imani aliyoanza nayo toka utotoni.
Mimi nimesoma sio mfata mikumbo kama wewe.

Usilete maswali za Kidini sanaaa maana hili sio jukwaa husika.

Endelea na Ushirikiana wako wewe mchawi mkubwa tuone utakufikisha wapi.
Wewe ndo ungekua mganga wa kienyeji kidogo ningeona shida yako si kubwa sana, lakini kwa vile wewe ni mteja wa washirikina wewe ni Mpumbavu wa kwanza 🤣🤣🤣

Amen.

Nikushauri:- unapo tetea hoja kokote na mahali popote usipende kabisaa kutumia PESSIMISM WORLDS.

Sisi ni vijana na dunia imetufundisha mengi, Tuache haya NEGATIVE WORLDS kwa walevi.

#YNWA
 
Amen.

Nikushauri:- unapo tetea hoja kokote na mahali popote usipende kabisaa kutumia PESSIMISM WORLDS.

Sisi ni vijana na dunia imetufundisha mengi, Tuache haya NEGATIVE WORLDS kwa walevi.

#YNWA
Kama kila mtu Akiloga ni nani atakae shinda..?
Nashangaa sana kuona kijana kama wewe unatetea washirikina kuwa wanafanya kazi ya Mungu.
wakati inaeleweka kabisa sio watu wAZURI.

Nasimama na kunena kama Nabii..
"Katika uovu wako uliotenda; usipotubu hakika utakufa wewe"
 
Mzee unaamini kwenye ndumba lakini sio kwenye kuoa
 
Huyu mbwa alitaka kuzulumu Yatima.

Ila kanifundisha jambo "PESA HAZITAKI URAFIKI"

Hayo mambo ya partnership tuwaachie wazungu na waarabu.

#YNWA
Ndiyo umetambua leo mkuu? Huku Afrika uaminifu ni mdogo mno. Hayo mambo ya co-ownership weupe wanayaweza. Na ndiyo maana kijana akiwa na idea au mtaji anasita kuwashirikisha vijana wenzake kutokana na mambo ya kipuuzi kama haya.
 
Du
Na wewe umelaaniwa, kwa kuwa unamtegemea mwanadamu:
★Doctor
★Nurse
★Mwalimu
★Mchungaji
★Boss/mwajiri
★Mteja
★Jirani
★Dereva
★N.k

Wote hao ni wanadamu na LAZIMA UWATEGEMEE kwa namna 1 au nyingine
Duh! Jibu zuri la KARNE
 
Mkuu nahitaji kulipwa au kurudishiwa Mali zangu tu naomba namba ya BABU tafadhali.
Iko hivi....
Wapo wachungaji matapeli NADHANI UNAWAJUA,
wapo mashekhe waongo NADHANI UMEWASIKIA,
Wapo Waganga matapeli NDIO HAO ULIOKUTANA NAO,

Kifupi kila jambo na taaluma kuna waongo wasiojua nini wanafanya na WENYE UJUZI WAO.

#YNWA
 
Kama kila mtu Akiloga ni nani atakae shinda..?
Nashangaa sana kuona kijana kama wewe unatetea washirikina kuwa wanafanya kazi ya Mungu.
wakati inaeleweka kabisa sio watu wAZURI.
ULITAKA niwaache wanidhulumu?
In fact kwa anaye enda kwa mganga kwasababu nzuri basi HAKUNA SHIDA.

Nimedhulumiwa, nikienda kuzirudisha pesa zangu Kuna ubaya?
Mtu kwa wivu kaniroga, nikienda kujiagua Kuna ubaya?
Nasimama na kunena kama Nabii..
Kesho utaanza kuhitaji sadaka, maana hamkawii 😂😂😂
"Katika uovu wako uliotenda; usipotubu hakika utakufa wewe"
Kila nafsi ITAONJA MAUTI.

Kwahiyo wakina Kinjekitile gwale na Mkwawa walioua wazungu kwasababu ya kuleta dini WALITUBU?

Wale Wazee wako wa miaka hiyo kabla ya kuja kwa wazungu, UMEWAFUFUA WATUBU?

#YNWA
 
Jf wote watakatifu,hawarogi,hawaendi kwa waganga na hawafanyi shiriki...!!!
Amini uaminicho Ila maimpopoe mtoa mada
 
Eeh bwana eeh ni yule yule Mr. Liverpool A.K.A bingwa wa EPL na bingwa wa NBC PL (Mwananchi).

NB:-
Naleta uzi huu si kwa lengo la kutangaza biashara au vipi ila ni KUTOA USHUHUDA WA MAMBO YA DUNIA..!!

FLACK BACK
Mwaka jana mwezi wa 4 nililetewa idea ya biashara na bosi fulani hivi wa huku town nilipo.

Akasema mtaji ni Mimi kuchangia Mil 5 tu ili niwe mshiriki wa hiyo biashara.
Nilimuita ofisini na tukaandikishiana na kumkabidhi hela.

Trip ya kwanza alileta mzigo kamili, tukauza na kupata faida ya mil 4, tukagawana na ule mtaji ikawa nimerudisha mil 7.

Mweki wa 8 ukanifata Tena, akasema safari hii nitoe mtaji mkubwa ili tukapige mshindo mkubwa.

Tukakabidhiana Mil 8.

Zilipita siku, nikawa nikipiga simu hapokei, na nikipiga kwa namba ngeni ananijibu yupo kijijini nisiwe nashaka.

THE PROBLEM
Kwenye mwezi wa 10 mwaka jana, nikiwa kwenye mihangaiko mjini nikamuona.
Ghafla ile na yeye kuniona akakimbia.
Mmmh kichwa kikawaza ""Nishatapeliwa, maana aliniambia yupo kijijini anakusanya mzigo ila nimemuona mjini, na nilivyomuona kanikimbia""

Ikabidi niende kwake usiku, nikamkuta mkewe nikamueleza.
Mkewe akawa ananipa hopeee

ila imefika mwezi wa 11 mwaka jana mkewe nae ananijibu shit ""mlipo kabidhiana hela tulikua wote""

Nikamtafuta rafiki yake, huyu rafiki mwanzo alikua kama ananisaidia hivi ila nae baadae akageuka.

Kufika January, nikaona kimbilio ni polisi.
Kufika Polisi mpelelezi wa jalada langu akaniambia ""Huyu ana marafiki wengi mapolisi, usikubali muelewane hapa, siku za huko mbele atakuzingua nenda mkaelewane mahakamani""

Maana hata siku anaitwa polisi alikua anasalimiana na polisi wengii kishkaji.

Nikafungua kesi mahakama ya mwanzo ""Kosa la kujipatia hela kwa njia za udanganyifu""

Shauri langu likatembea mara Tano (kila wiki mara moja).
Jalada likafungwa.

Likafunguliwa lake.
Kipindi chotee cha kesi hakua na shida wala wasiwasi.

Siku ya kwanza ya upande wake, alisema ""Nilimpa pesa kwa kumsaidia na sio biashara""
Akatoa ushahidi na maneno kibaoo (na hata sijui ushahidi ule aliupata wapi).

Tukaitwa mara ya pili kwenye jalada lake.
Wakaja mashahidi hata nilikua siwajui (mashahidi wa mchongo).

Dah nilivyotoka siku ile nikaona hapa naelekea kushindwa hii kesi.

Ikabidi nimtafute yule askari mpelelezi anishauri.
Dah huyu ndio alinichosha, asiniambie kumbe jamaa anajua mpaka na mume wa hakimu wa kesi yetu.

Yaani nilidata..!!

Kuna siku nipo na enjoy na pisi moja, ikaniona Nina mawazo.
Ikaniuliza nikamuhadithia.

Akaniambia ""Naomba nikusaidie"" nikamjibu sawa.
Usiku ule tulikula starehe asubuhi akaniachia namba ya babu mmoja hivi, kwamba nimtafute nimueleze shida zangu.

Nikampigia babu tukaongea.
Akaniambia niende kwake.

Nikapanda gari (nauli 1000 tu) mpaka kwake.
Babu akanifanyia Mandingo ya kienyeji na kunipa dawa fulani hivi kaifunga kwenye karatasi.

Akasema ""Ukiwa unaenda mahakamani iweke mfuko upande wa kulia, ukingia ukumbi wa mahakama ibadilishe weka mfuko wa kushoto na mtu yoyote akianza kuongea uwe unaiminya dawa"

Siku ya mahakama (siku ya 3 ya jalada lake) ikawadia.
Ikawa akiongea hakimu, shahidi au mdaiwa wangu BASI NAMINYA DAWA.

Eeeh bwana eeh nyie ""Uchawi upo"".
Hakimu akanipa nafasi kuuliza shahidi wa mshtakiwa, eeh wale mashahidi si wakawa wanaropoka tu.

Kuna mmoja ile nimemuuliiza swali nikaminya dawa nikasikia ""Huyu mshtaki hata simjui ndio kwanza namuona Leo""
Mara ""Hata sijui hapa nilikuja kufanya nini""

Upande wake mdaiwa/mshtakiwa ukaisha.
Jalada likafungwa....

Tukatajiwa tarehe ya hukumu.

Dah nikampa taarifa babu.

Babu akaniita Tena.

Akafanya mandingo yake na kunipa dawa ya kuoga, nioge asubuhi (alfajiri) siku ya hukumu.

Siku ya hukumu ikawadia, nikatekeleza masharti.
Kwenda mahakamani ""Hukumu imehahirishwa"" ikapangiwa siku nyengine.

Nikampa taarifa babu.
Babu akaniita. Babu akachukua matunguli kachekii nikasikia ""Wanatutania hawa, Hawajui haki ya mtu hailiwi kijinga?""

Babu akanipa dawa nyengine, ya kuoga siku ya hukumu na kuweka mfukoni. Nikasikia babu ananiambia ""Wakitoka hapa basi wao nomaa""

Siku ya hukumu nikaoga na kuwahi mahakamani.

Kesi yetu ikaitwa.
Hakimu, mimi na mshtakiwa tupo pamoja ukumbini.

Wakati hakimu anasoma hukumu mimi nikawa naminya ile dawa kalii ya babu.

Niliminyaaa kama mara 5 nikaona hakimu kiti hakikaliki, akainuka akatoka.
Kakaa kama dakika 2 akarudi tena ukumbini.

Kusoma hukumu NIMESHINDA na natakiwa kurudishiwa pesa zangu.

Jamaa akahukumiwa kufungwa miezi 3 jela na 6 kifungo cha nje.

Ile kujitetea nikaona hakimu anampunguzia na kumpa miezi 6 kifungo cha nje na arudishe pesa zangu ndani ya mwezi.

Dah nikatoka kwa furaha mahakamani.

Nikamtafuta babu, babu akanipa siku ya kwenda nikiwa na kuku wawili (majogoo) na mchele kilo 5.

Kufika ile siku nikaenda, wale kuku babu akawafanyia mandingo na kuwachinja.

Ubwabwa wa kuku ukapikwa, wakaalikwa watoto tuuu wa majirani waje kula.

Walivyomaliza kula, ile jioni babu akaniita ndani ya ofisi.

Malipo yake akasema 30,000/= niweke chini ya mkeka halafu niondoke nisigeuke nyuma mpaka nikimaliza eneo la nyumba yake.

Mimi sikugeuka nyuma kabisaa mpaka nikapotelea mitaani kwenda stendi ili nirudi home.

Dah hayo ndio yakawa malipo ya Kazi ya babu.

Eeh bwana eeh UCHAWI UPO na UNAFANYA KAZI.

#YNWA
Ulilipwa?
 
Oya uyo babu niunganishe nae bhana maana hali ni tete mtaani
 
Pesa inatufanya sisi wanaume tuheshimike kwenye jamii.
Nimejifunza ktk haya maisha hautakiwi kuwa myonge na mtu wa kulialia.
Kuna fala mmoja mnadai, namsubiri ajichanganye ni mtoe kafara. Huyu nitamfungia safari hadi Kongo kwa mzee chibaronda.
Huwezi kula hela ya mwanaume kizembe hivyo
Mzee baba kauli mbiu yangu "USICHEZE NA HELA ZANGU"

#YNWA
 
Back
Top Bottom