Hakika Uhuru Kenyatta ana tofauti Kubwa na Wengine EA

Hakika Uhuru Kenyatta ana tofauti Kubwa na Wengine EA

Kenyatta ni mfanyabiashara na ukizijua fitna zilizopo kwenye biashara ni lazma utakuwa na utulivu kama alionao..

Kingine katokea kwenye royal family yaani sio mara yake ya kwanza kukaa ikulu hivyo hana vitu vya kumshtua sana na kingine ni yupo social, Kwa wale watumiaji wa vitu flani vya chugga wanajua jinsi gani "Peace and love" humaanisha [emoji16][emoji16][emoji16]

Kingine anaongoza watu waliopo huru sana pamoja na katiba ambayo haimfanyi kuwa na "FINAL SAY" yaani kiufupi mazingira yanamlazimu kuwa smart..
Yapo mengi ila haya ni machache katika mengi[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Dah jamaa anamsalimia Mkuu wa nchi huku kakaa kwenye kiti ? Halafu Uhuru hana hata time

Yule wa kwetu sasa tafuta picha siku ameenda kukagua ndege iliyochorwa Twiga uone hao jamaa walivyosimama kwa nidhamu ya uoga dah
Huyo jamaa yupo kwenye wheelchair ndio maana hakuweza simama. Hata Kenya adabu kwa mkubwa ipo
 
"Nchi ya democrasia Ile uwezi linganisha na nchi ya kidicteta"

Wewe utalinganisha mtu wa democrasia na mtu mtu dicteta jinsi wanavyokaa na kuonekana never"

Niliishi na wakikuyu sana Nairobi ni watu wakarimu sana wanaipenda nchi yao sio kwamba wana ukabila kama tunavyoaminishwa na watu wengine makabila mabaya kenya ni yale madogo madogo yanajihisi yanatengwa katika utawala wa kenya kitu ambacho sio kweli leo hii kenya maendeleo yapo mikoa yote.

Sio kama kipindi cha Moi alivyokuwa anawabagua wakikuyu na makabila mengine ndio maana unaona sasa hivi Ruto itakuwa ngumu kwake kwenda Ikulu 2020 kwa sababu ya historia yake kwenye kuwasababisha wakikuyu wengi kauawa mwaka 2007.

Uhuru ni presidential material watamkumbuka sana wakenya siku akiondoka sioni kabisa wa kuja kuziba pengo lake exactly 100%.
Kuna kitu nmejifunza kupitia comment yako hii naomba nichangie nami kidogo!!

Kuna sehemu nadhani tunachanganya mambo na kushindwa kuelewa tunahitaji nn hasa ktk suala la Rais,, leo kupitia hii clip kenyatta kawa predential material!!! Nmeshtuka kidg uliposema kwamba kule hakuna ukabila na mle.mle ukadai kwamba tatzo n vikabila vidogo vilivyopo kenya nikashangaa kidogo kwamba huenda hujui maana ya ukabila!!! Ulichokisema kuhusu hayo makabila madogo dogo ndo ukabila wenyewe maana nijuavyo mm kitendo cha makabila hayo kujiona yanakandamizwa huo ndo ukabila!!

Umesema pia kwamba n propaganda tu huko ukabila upo naona kwa uelewa mpana unataka kusema huku Tz ndo upo pole saaana !!! Tz ni nchi ambayo kiongozi yeyote haulizwi Tribal make up yake ,,,ni nchi ambayo watz wanaoana pasipokuangalia anatokea kabila gan leo hii unaandika maneno kama haya????

Kingine umesema kenya ni nchi ya kidemokrasia ??? Kwa maneno yako Rais wa tz mfano Magufuli angekuwa katokea familia kama ya kenyatta ambaye baba yake aliwahi kuwa Rais wa kenya ungetoa matusi sana ndg lakn najua kwann umesema hvyo,,, naomba ufatilie utajiri alionao kenyatta then njoo u comment kwamba nchi ile kuna haki !!! Unasahau hata historia ya kenyatta ktk kuelekea kwenye urais wake unaandika tu!!! Hatari

Kingine labda nitoe ufafanuzi , kuna kitu tunakosea ,in africa there is no dictatorship !!! Labda hapo nyuma lakn we have elements of dictatorship ,,,,afrika tuna elements tu za udikteta ..mfano magufuli anaitwa dikteta hebu jaribu kusoma historia ya nchi zilizowah kuongozwa kidikteta hasa Ujerumani na nchi ya uitaliano then njoo useme ss huku n madikteta !!!

Mwisho ulichoandika umeandika kwa sababu fulani lakn unajua kabsa uongo na ukweli wa maneno yako lakn sishangai maana kwenye tafakuri huwa kuna mawazo kinzani na kila mtu anatafakuri yake lakn ukweli huwa unabaki pale pale tu !!

Kila kiongozi anaeneo lake la kusifiwa na eneo la kupewa lawama kwan kiongozi ni binadam si mkamilifu ,,,magufuli atatoka ,,tutaacha kusema pengine kwa sabab katoka maana hatumpendi lakn atakuja mwingine nae tutamsema kwa sababu zetu wenyewe lakn wote hao kuna chembe tu ya jambo jema ambalo kamwe hatutalisahau !!!!

pasaka njema !!!
 
Hii mbinu ya Uhuru mwl. Nyerere aliitumia sana kwa kukaa vijiwe tofauti kama kile cha saigon kariakoo ili kupata taarifa za hali halisi ya kiuchumi kutoka kwa mwananchi mwenyewe! JK naye alikuwa nayo pamoja na mzee Mwinyi. Ila che Nkapa na huyu wa leo hawachangamani na raia wa kawaida kabisa na ndio maana taarifa wanazopewa zimepambwa hadi zinakosa uhalisia!
Hongera Uhuru kwa kuwa rais wa watu na siyo wa reli!
Yaani unasema huyu hachangamani na wananchi ???kwakweli tunavyofanana ndo tunavyotofautiana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Machadema mna kazi kweli kweli! Hamieni kwa Kenyata.

Yani mtu kaua watu zaidi ya 1,500 ili tu abaki ikulu alafu wewe unakuja kumsifia hapa?

Hivi machadema akili zenu mmezificha wapi?
Mkuu BAK kamongo mwingine huyu hapa anasema "hamieni Kenya"
 
Back
Top Bottom