Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kumbe unapita kimyakimya 😂😂UKIMWI ulivyokaa kimya utafikiri umesafiri kikazi
Eazy E alikuwa kafulia. Kwanza na ule ugengsta asingekubali kupiga dawa. Mercury yeye alishajikatia tamaa, msikilize mashairi yake ya mwishoni mwishoni.Eazy E na Freddy Mercury walikuwa maskini?
Thd iishie hapa.Nadhani hakuwa nao. Alifanya vile ili kuepuka wanawake. Maana alikuwa mtu wa wanawake kweli.
Nahisi hivyo pia🤔🤔Nadhani hakuwa nao. Alifanya vile ili kuepuka wanawake. Maana alikuwa mtu wa wanawake kweli.
HanaHuyu mcheza kikapu maarufu ambaye hivi juzi ametangazwa kuwa bilionea ameishi na ngoma kw miaka 32. Aligundulika na UKIMWI mwaka 1991. Akatangaza hadharani kuwa kaukwaa. Hadi leo mwaka wa 32, akiwa na miaka 64 bado anadunda nao. Tajiri hafi kwa ngoma.
View attachment 2800302
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa na wewe jichanganye, utahadithia kwa lugha ya kwenu.
Kama magari ya injini nyuma utalisikia likiwa limekupitaKumbe unapita kimyakimya 😂😂
Na dawa au bila dawa?Kwani kikawaida masikini anapaswa kuishi miaka mingapi na ukimwi?
Ungejibu vyote tu sio vizuri kujibu swali kwa swali.Na dawa au bila dawa?