Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
mkuu habari, naomba unitajie matajiri wanne wa kibongo waliokufa kwa huo mpira wa jiweHuo ugonjwa haueleweki hadi wenye pesa uliwaondoa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu habari, naomba unitajie matajiri wanne wa kibongo waliokufa kwa huo mpira wa jiweHuo ugonjwa haueleweki hadi wenye pesa uliwaondoa.
Halafu kama umelewa vile unaenda mbele then unarudi nyuma..😂Kumbe unapita kimyakimya 😂😂
Upo sahihi. Nilipaswa kusema kaishi na VVU miaka 32. Hajawahi kupata UKIMWI.Hana
Tunazungumzia matajiri, siyo watoto wa matajiri.Mutie Mengi alikuwa maskini?
Unadhani.....Nadhani hakuwa nao. Alifanya vile ili kuepuka wanawake. Maana alikuwa mtu wa wanawake kweli.
Sijaelewa hdpa
Kama habari yenyewe ndo hii basi kazi ipo 😂😂😂😂Halafu kama umelewa vile unaenda mbele then unarudi nyuma..😂
Toto angalia komenti ya juu yako umeyatimba...😂Kama habari yenyewe ndo hii basi kazi ipo 😂😂😂😂
Easy E tena ndio mwanzilish wa sagging…mhuni wa wahuniEazy E na Freddy Mercury walikuwa maskini?
Ipi hiyo 😃😂😂Toto angalia komenti ya juu yako umeyatimba...😂
Yani wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Mbona hata aliecomment chini yangu anao siku nyingi
Hiyo uliyonijibu Mimi uliyosema kama habari yenyewe ndo hii...Ipi hiyo 😃😂😂
Ushaunasa kumbe.. na ulivyo kimyakimya hata hausemi ili tujivae tu..😂Yani wewe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
Maka weee,Kama habari yenyewe ndo hii basi kazi ipo 😂😂😂😂