Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
UKIMWI ulivyokaa kimya utafikiri umesafiri kikazi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UKIMWI ulivyokaa kimya utafikiri umesafiri kikazi
Ukosahihi kabisa Nifah!Sasa na wewe jichanganye, utahadithia kwa lugha ya kwenu.
[emoji16][emoji16][emoji16] Jichanganye uone muziki wake.UKIMWI ulivyokaa kimya utafikiri umesafiri kikazi
Chuma kweli kweli.
Baadae ilikuja kusemekana hivyo ili waathirika wawe huru kujitangaza hakuwa naoNadhani hakuwa nao. Alifanya vile ili kuepuka wanawake. Maana alikuwa mtu wa wanawake kweli.
Wenzetu utajiri hawaangalii cash tu. Unaweza ambiwa una dola milioni nane na ukawa hauna pesa ya kula. Hapo wanathaminisha nyumba, boti, mikataba yako nk.Zaidi ya dola milioni 8 wakati anafariki huko ni kufulia? Unachangamsha kijiwe kumbe
Wewe jamaa, yaani uwe na vitu vya thamani hiyo ukose kula na matibabu, una maskhara weweWenzetu utajiri hawaangalii cash tu. Unaweza ambiwa unq milioni nane dola na ukawa hauna pesa ya kula. Hapo wanathaminisha nyumba, boti, mikataba yako nk.
TUENDELEE KUZISAKA HELA, TUKWEPE VISHAWISHIHuyu mcheza kikapu maarufu ambaye hivi juzi ametangazwa kuwa bilionea ameishi na ngoma kw miaka 32. Aligundulika na UKIMWI mwaka 1991. Akatangaza hadharani kuwa kaukwaa. Hadi leo mwaka wa 32, akiwa na miaka 64 bado anadunda nao. Tajiri hafi kwa ngoma.
View attachment 2800302
Ukimwi ni ugonjwa wa watu weusiWewe jamaa, yaani uwe na vitu vya thamani hiyo ukose kula na matibabu, una maskhara wewe
YesUpo sahihi. Nilipaswa kusema kaishi na VVU miaka 32. Hajawahi kupata UKIMWI.
Eazy E Muhuni na Mercury Shoga hawakuwa wakizingatia kama huyuEazy E na Freddy Mercury walikuwa maskini?
Huna hojaTunazungumzia matajiri, siyo watoto wa matajiri.
Duh
Eazy E Muhuni na Mercury Shoga hawakuwa wakizingatia kama huyu
Unadhani.....
Angesema kuupata ningeelewa, ila kuishi nao, sioni kama factor ya umasikini au utajiri kama muhimu.Sasa na wewe jichanganye, utahadithia kwa lugha ya kwenu.
Anaweza akawa alidanganya, lakini mtu kuishi na HIV miaka 30 ni kawaida tu.Nadhani hakuwa nao. Alifanya vile ili kuepuka wanawake. Maana alikuwa mtu wa wanawake kweli.