Hakika UKIMWI ni ugonjwa wa maskini. Magic Johnson kaishi nao miaka 32

Hakika UKIMWI ni ugonjwa wa maskini. Magic Johnson kaishi nao miaka 32

Huyu mcheza kikapu maarufu ambaye hivi juzi ametangazwa kuwa bilionea ameishi na ngoma kw miaka 32. Aligundulika na UKIMWI mwaka 1991. Akatangaza hadharani kuwa kaukwaa. Hadi leo mwaka wa 32, akiwa na miaka 64 bado anadunda nao. Tajiri hafi kwa ngoma.

View attachment 2800302
TUENDELEE KUZISAKA HELA, TUKWEPE VISHAWISHI
 
Back
Top Bottom