Ester505
JF-Expert Member
- Jul 14, 2020
- 793
- 1,049
Tatizo NI kukimbilia kuanza kutumia Arv's badala ya kukimbilia kuanza kutumia vyakula vya kuimarisha Kinga,hasahasa vyakula vya vitamin C.Huyu mcheza kikapu maarufu ambaye hivi juzi ametangazwa kuwa bilionea ameishi na ngoma kw miaka 32. Aligundulika na UKIMWI mwaka 1991. Akatangaza hadharani kuwa kaukwaa. Hadi leo mwaka wa 32, akiwa na miaka 64 bado anadunda nao. Tajiri hafi kwa ngoma.
View attachment 2800302