econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Eazy E Muhuni na Mercury Shoga hawakuwa wakizingatia kama huyu
Shida ya Easy E alikuwa Teja, na inasemwkana hata Ngoma aliipata kwenye kujidunga masindano.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eazy E Muhuni na Mercury Shoga hawakuwa wakizingatia kama huyu
AiseeSiyo kuhisi,doctor wake alishautonya umma kuwa jamaa hana cha ngoma wala nini,alikuwa tu anawatimua mabinti wakware waliokuwa wakimsumbua,kuna binti aliwahi kushuka jukwaani na kuvua chupi na kumfuta nayo jasho jamaa alipokuwa anatoka uwanjani kucheza,walimuwinda vilivyo
Hivi hii telegram ina maajabu gani? Mbona naona kama wasapu tuTukiamua kufuta Telegram naamini kati yetu tuliocomment wawili watasalimika n UKIWISE
asa kwanini hawakuonyeshwa na wasichana🤔
kwani Mutie aliondoka kwa ngoma??
Sidhani kwamba makali ya VVU yanabadilika, ni binadamu ndio wsmavumbua mbinu za kukabiliana nao, na hao wenzetu huduma zilianza mapema.Ni kweli, ila napima makali ya VVU kipindi kile na Sasa napata shida kuamini Kama Magic alikuwa nao.
Ipo sinema maarufu ya UKIMWI enzi hizo jina maarufu hata kwa wasiosoma ni AIDS.I wish kungekuwepo hata na movies ambazo waliigiza hao watu wa zamani ili vijana tuonyeshwe,.. maana vijana wa sikuizi wanapuuza sana mambo
Hao wanafunzi walikua wameshindikana aisee😃Ipo sinema maarufu ya UKIMWI enzi hizo jina maarufu hata kwa wasiosoma ni AIDS.
Walionesha mziki ulivyo maliza vijiji Kagera huko.
Dalili kama alizotaja toughlendon_1
Acha tu.
Binadamu wabishi. Tuliwekewa shuleni ilpoisha watu kama 5 hivi usiku huo huo wakaenda kumpiga mtungo dada mmoja. Boarding schools miaka hiyo.
Wanalipukuchua. Jinga kabisa. Alafu baba kashika kiuno dah
Hapo sawa, nimekuelewaKibailojia mwanaume ndio huwaka tamaa kuliko mwanamke. Hivyo ukimdhibiti mwanaume katika kuongoza tamaa zake utakuwa umepunguza Ngoma. Baada ya kuangalia ile sinema nilijiambia sitawahi kuongea na mwanamke Tena. Ila ndio hivyo mapenzi yana nguvu kuliko maji.
Halafu uendeshe kwa speed Kati ya 90 hadi 180km/hMkuu naona ukimwi wa skuizi umechoka choka wa zamani ulikuwa sio mchezo,picha linaanza ilikuwa lazima ukonde
Ngozi huwa haifichiIla ngozi yake inasema
Ahahaha noma saaaaana man vijana hawaelewiIpo sinema maarufu ya UKIMWI enzi hizo jina maarufu hata kwa wasiosoma ni AIDS.
Walionesha mziki ulivyo maliza vijiji Kagera huko.
Dalili kama alizotaja toughlendon_1
Acha tu.
Binadamu wabishi. Tuliwekewa shuleni ilpoisha watu kama 5 hivi usiku huo huo wakaenda kumpiga mtungo dada mmoja. Boarding schools miaka hiyo.
Yaaah vijana hawa sikuiz hawajawah ona mtu ana ngwengwe bakwambiaKweli kabisa, siku hizi ukimwi imeisha nguvu ndio maana watu wanadharau. Zamani mtu akiugua kwa ukimwi ilikuwa aibu maana kila mmoja anakuona unavyohangaika na kukondeana. Ilikuwa aibu Sana, na Ukimwi uliogoowa Sana sema ndio hivyo ngono haiepukiki kwa wanadamu.
Wakati huo dawa zilikua changamotoEazy E na Freddy Mercury walikuwa maskini?
Ngozi ni uzee. Miaka zaidi ya 60 sio mchezoIla ngozi yake inasema
Lakini Magic katangaza yupo positive 1991 eazy e kafariki 1995 naona wote ni watu wa era mojaWakati huo dawa zilikua changamoto