Hakika yametimia sasa ya Kenya na COVID-19

Hakika yametimia sasa ya Kenya na COVID-19

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16].wakati kila siku namba ya wagonjwa inapaa.
HAO BADOOO.
yaani huu ni mwanzo wa movie.hata stering hajazaliwa.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Waache kutangaza. Kwani numbe ya wanaopimwa na kuonekana positive malaria huwa wanatanganzwa kila siku ?Corrona itakuwepo kwa muda mrefu. Sasa wadeal nayo kwa akili.Huo muda waliotangaza unatosha. Wadeal nayo kimya kimya ili kuondoa panic.
 
Kuna sehemu wamekosea. Wakati sisi tunahangaika na mungu,kujifukiza,kula malimao n.k..wakasema watanzania wanatumia mbinu za kale KUPAMBANA na ugonjwa wa kisayansi..
Mbaya zaidi wa kamuita magufuli MKAIDI.
SASA WATUAMBIE UTII WA KENYATTA UMEWAFIKISHA WAPI?
Waache kutangaza. Kwani numbe ya wanaopimwa na kuonekana positive malaria huwa wanatanganzwa kila siku ?Corrona itakuwepo kwa muda mrefu. Sasa wadeal nayo kwa akili.Huo muda waliotangaza unatosha. Wadeal nayo kimya kimya ili kuondoa panic.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
Kuna sehemu wamekosea. Wakati sisi tunahangaika na mungu,kujifukiza,kula malimao n.k..wakasema watanzania wanatumia mbinu za kale KUPAMBANA na ugonjwa wa kisayansi..
Mbaya zaidi wa kamuita magufuli MKAIDI.
SASA WATUAMBIE UTII WA KENYATTA UMEWAFIKISHA WAPI?


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Wakenya walisahau kuwa Babu zao pia waliwahi kutumia njia za asili kupambana na magonjwa Kama haya,matokeo yake kina MK254 wanapita humu kimya kimya
 
Kuna sehemu wamekosea. Wakati sisi tunahangaika na mungu,kujifukiza,kula malimao n.k..wakasema watanzania wanatumia mbinu za kale KUPAMBANA na ugonjwa wa kisayansi..
Mbaya zaidi wa kamuita magufuli MKAIDI.
SASA WATUAMBIE UTII WA KENYATTA UMEWAFIKISHA WAPI?


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Aisee huu msemo washa uacha kitambo sasa hausikiki kwenye vinywa vyao. Kila siku walikuwa wanatoa video ya magufuri mkaidi. Kenyata mtiifu kwa mabeberu anakopa na kukuza himaya ya akaunti yake tu.
 
Dunia hii sijawahi ona kama Kenya, nchi ina viongozi, wasomi, madktari bt linakuja janga wanasubiri kutatuliwa na mabeberu, ndo maana tunawaambiaga nyie elim yenu na uchumi wenu ni wa makaratasi mnabisha bt kwa sasa ndo mmeumbuka.
 
Anashughulikia barabara huko kusini, hizo akili za bangi na milungi zinampotezea muda, wao waendelee kuwekwa lockdown mpaka mwakani, si wanataka kupunguza idadi ya watu wao!
Mi naomba KQ isifunguliwe japo hata mwezi tu kama ndo itashindikana kua Kwa muda mrefu tuwatie adabu Kwanza maana walishazoea kujalibu siasa zao za chuki wakiona wanaumia wanajifanya kuomba suruhu sasa hv tuwape muda Kwanza wale matunda ya chaguo lao
 
Back
Top Bottom