naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,961
- 5,460
Hawa hawaijui, Corona ni kama mbwa ukimchekea anakufuata hadi msikitiniKuna sehemu wamekosea. Wakati sisi tunahangaika na mungu,kujifukiza,kula malimao n.k..wakasema watanzania wanatumia mbinu za kale KUPAMBANA na ugonjwa wa kisayansi..
Mbaya zaidi wa kamuita magufuli MKAIDI.
SASA WATUAMBIE UTII WA KENYATTA UMEWAFIKISHA WAPI?
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app