Hakika yametimia sasa ya Kenya na COVID-19

Hakika yametimia sasa ya Kenya na COVID-19

Hahaha macharia amejisafisha,ukweli Ni bado Tanzania hawajafuta barua yao
Ila kiukweli Kenya ni selfish sana unajua kwann? Tazama Tz tumenunua ndege lkn hatukuanzisha route za Nairobi, lkn KQ walikuwa wana piga tu route za KE to Tz to & from route 4, tazama UG walivyonunua tu ndege wakaanzisha route za Kampala to Nairobi to and from . Tuliwasamini ila wao hawakuoma dhamani yetu kwao.
 
Ila kiukweli Kenya ni selfish sana unajua kwann? Tazama Tz tumenunua ndege lkn hatukuanzisha route za Nairobi, lkn KQ walikuwa wana piga tu route za KE to Tz to & from route 4, tazama UG walivyonunua tu ndege wakaanzisha route za Kampala to Nairobi to and from . Tuliwasamini ila wao hawakuoma dhamani yetu kwao.


Watanzania wanawajua wakenya ndio maana hawakuhangaika nao, Serikali ya Tanzania inaiamini ya Africa kusini kuliko ya Kenya.
 
Back
Top Bottom