Hakikisha kabla hujamuoa Ajue kuwa siku Akiku-cheat utamfukuza bila Mjadala

Mpenzi huwa mtiifu kwa anae mpenda.
 
Haya nilishayaazimia zamani sana nafsini mwangu, ni heri nikaishi mwenyewe kuliko kuishi na mwanamke malaya au mshirikina kwa kigezo cha kuogopa kuwa tuna watoto. Hao watoto nao itawapasa wajue dhahiri kabisa kumbe ukifanya hiki na hiki sio sawa, watakua na kuishi kinyoofu
 

Ndivyo inavyotakiwa iwe
 
Asilimia 100 ndo ukweli vijana tumekua hovyo ndo mana tunalia lia kila siku.
Natamanigi kuwapiga yan we acha tu mwanaume unakuwaje nyoronyoro,miaka ya mbeleni huko baadh ya wanaume hata vidole watachomekwa na wake zao
 
Hakika...

Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Robert Herial weka namba zako za simu
 
A-cheat asi-cheat ataendelea tu kuwa mke wangu.
 
Huu Uzi unatakiwa upewe Ile tuzo ya Oscar aliyopewa Will Smith..[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Ni rahisi hapa kusema kwamba utamwacha japo ni vigumu sana mwanamke akisaliti kurudishwa ndani.
 
Nimekupata mkuu sio mwanaume unakua legelege tu mpaka jamii inakushangaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…