π π π π π Mkuu fanyaa kazi ,bahati ikukute kazi kwako c Kwa mmamaa mkuu..achana na habari za kwenda kulelewa c hasili ya mwanaume rijali...Watu wanabahatika kupitia wamama mkuu
Hiyo ni bahati ya one time
ππππππππ Mm au ww mkuu ,mtegemea Cha mmamaaShauri zako!!
Daah nguvu za kiume ni kuchapa kazi na kufiria namna ya kupambana na changamoto, hayo mnayoyajua ninyi vijana ni mapambano ambayo mwisho wa siku mtashindwa tu .Nguvu za kike hazikuhusu shughulika na upande wako
π€£π€£π π€£ Oooh mwanangu pole sana laiti ungejua usingesema hayaDaah nguvu za kiume ni kuchapa kazi na kufiria namna ya kupambana na changamoto, hayo mnayoyajua ninyi vijana ni mapambano ambayo mwisho wa siku mtashindwa tu .
Hahahahaa aaaa haaaa yani na umri huu nisiyajue kiongozi?π€£π€£π π€£ Oooh mwanangu pole sana laiti ungejua usingesema haya
Hicho kitu kweli kaka sikuwa na chochote ni nguvu zangu tu ziliniokoaNaam naam naam nimerydi tena wadau
Majuzi hapa mwana jf mwenzetu Jordy05 alileta kisa chake cha jinsi iula tunda kimasihara kulivyobadili mustakabali wa maisha yake mazima / forever of course kaongelea mengi sana mule ndani ila point kubwa niliyo note ni kwamba huyu jamaa nguvu zake za kiume ndo zimemtoa kimaisha kiasi kwamba ameweza kuwachanganya wanawake wa 2 ambao ni ndugu kabisa bila kutumia hata centi 5
Si mnasemaga wanawake wanapenda high value men na wapo tiyari ku share one high value man maana ni ngumu kumpata sasa chukulia mfano wa Jordy05 hakuwa na high value yeyote ili hali alikosa hata ada ya chuo ila nguvu zake za kiume zilitosha kabisa kumpagawisha mama mtu mzima hadi kumfanya akonde alipomkosa mshkaji
Wanaume wenzangu hizi bahati za kupata wamama wazuri wenye hela kwa wanaume wengi hujaga mostly once in a lifetime yaani ni mara moja tu basi ukicheza tu umekwisha utarudi kule kule kwa mwajuma ndala ndefu imagine umepata intern sehemu au shughuli yeyote ile ya kukuingizia kipato mara ghafla paap mmama akatokea kuvutiwa na wewe we unadhani ni kipi kitamfanya akutetemekee kama sio nguvu zako za kiume??
View attachment 3211146
Imagine umepata zigo kama hilo hapo juu kama haupo vizuri huko chini umekwisha unless uwe na hela ila kama bado umejitafuta huyo dem au mmama atakuacha tu tena hata kwa aibu kubwa kuwa umemchafua
Fanya juu chini uhakikishe huko chini uko vizuri hakika ukibahatika kumpata mmama mwenye hela hiyo ndo imetoka hiyo
Yangu ni hayo kwa leo tu jaribu kupambana kote kote tu huwezi jua utajiri wako uko kiunoni mwako ππππππ
Unajua kaka nguvu zinasaidia sana. Hata kwenye maisha ya kawaida wew mwenyewe unakuwa unajiamini na confidence kubwa. Hao wanaodharau wenda wanashida ndiomana hawataki kukubaliana na ukweli.Naam naam naam nimerydi tena wadau
Majuzi hapa mwana jf mwenzetu Jordy05 alileta kisa chake cha jinsi iula tunda kimasihara kulivyobadili mustakabali wa maisha yake mazima / forever of course kaongelea mengi sana mule ndani ila point kubwa niliyo note ni kwamba huyu jamaa nguvu zake za kiume ndo zimemtoa kimaisha kiasi kwamba ameweza kuwachanganya wanawake wa 2 ambao ni ndugu kabisa bila kutumia hata centi 5
Si mnasemaga wanawake wanapenda high value men na wapo tiyari ku share one high value man maana ni ngumu kumpata sasa chukulia mfano wa Jordy05 hakuwa na high value yeyote ili hali alikosa hata ada ya chuo ila nguvu zake za kiume zilitosha kabisa kumpagawisha mama mtu mzima hadi kumfanya akonde alipomkosa mshkaji
Wanaume wenzangu hizi bahati za kupata wamama wazuri wenye hela kwa wanaume wengi hujaga mostly once in a lifetime yaani ni mara moja tu basi ukicheza tu umekwisha utarudi kule kule kwa mwajuma ndala ndefu imagine umepata intern sehemu au shughuli yeyote ile ya kukuingizia kipato mara ghafla paap mmama akatokea kuvutiwa na wewe we unadhani ni kipi kitamfanya akutetemekee kama sio nguvu zako za kiume??
View attachment 3211146
Imagine umepata zigo kama hilo hapo juu kama haupo vizuri huko chini umekwisha unless uwe na hela ila kama bado umejitafuta huyo dem au mmama atakuacha tu tena hata kwa aibu kubwa kuwa umemchafua
Fanya juu chini uhakikishe huko chini uko vizuri hakika ukibahatika kumpata mmama mwenye hela hiyo ndo imetoka hiyo
Yangu ni hayo kwa leo tu jaribu kupambana kote kote tu huwezi jua utajiri wako uko kiunoni mwako ππππππ
Naam mkuu Shukran kwa mrejeshoHicho kitu kweli kaka sikuwa na chochote ni nguvu zangu tu ziliniokoa
Unajua kaka nguvu zinasaidia sana. Hata kwenye maisha ya kawaida wew mwenyewe unakuwa unajiamini na confidence kubwa. Hao wanaodharau wenda wanashida ndiomana hawtaki kukubaliana na ukweli.
Mkuu wew umeoa?Hahahahaa aaaa haaaa yani na umri huu nisiyajue kiongozi?
Nina mwanangu alinunuliwa crown π athlete kali na kafunguliwa duka la nguo kubwa mbeya na mke wa mmiliki wa makampuni flan ya magari yaendayo mikoani kisa hizo nguvu anazozidharau..
Kweli vijana wasikuhizi mmekuwa wavivu mno , sasa hapo tuna watofautisha vipi na wanawake wanaojiuza ?Bahati ya mwenzio usiilale mgongo wazi
You never know ila hakikisha nguvu za kiume ziko on point daily
Huyo sio mke wa mmiliki wa mabasi ya kilimanjaro kweli!!Nina mwanangu alinunuliwa crown π athlete kali na kafunguliwa duka la nguo kubwa mbeya na mke wa mmiliki wa makampuni flan ya magari yaendayo mikoani kisa hizo nguvu anazozidharau..
Huyo mmama alimwambia mwanangu kuwa mume wake hasimamishi vzur, kazi yake anaenda club anacheza mziki na malaya anawanunulia bia anaishia kuwashikashika na kuwatia vidole basi anarudi nyumban ambako hafanyi chochote analala tu.
Mchizi wangu kajipigia wee mama kamtunuku life
Nguvu ni zako na msaada wako binafsi hizo ela unaweza tafuta mpaka unadead usifikie malengo uliyoyataka lakini hata kuwa na nguvu zako tu kuweka heshima kwa mke wako au demu wako ukose?? Yaani ukose hela hata nguvu uwe hauna kamili!!! Unaishije sas na kujiita mwanaumeKwa hiyo watu wasifanye kazi wakae wakijifua ili wa miliki haya magari kwa nguvu za kiume kwenye ngono mkuu?
Ningekua karibu ningewabonda makwenziπNina mwanangu alinunuliwa crown π athlete kali na kafunguliwa duka la nguo kubwa mbeya na mke wa mmiliki wa makampuni flan ya magari yaendayo mikoani kisa hizo nguvu anazozidharau..
Huyo mmama alimwambia mwanangu kuwa mume wake hasimamishi vzur, kazi yake anaenda club anacheza mziki na malaya anawanunulia bia anaishia kuwashikashika na kuwatia vidole basi anarudi nyumban ambako hafanyi chochote analala tu.
Mchizi wangu kajipigia wee mama kamtunuku life