Hakikisha nguvu zako za kiume ziko juu kila wakati, utanishukuru baadae

Nguvu za kike hazikuhusu shughulika na upande wako
Daah nguvu za kiume ni kuchapa kazi na kufiria namna ya kupambana na changamoto, hayo mnayoyajua ninyi vijana ni mapambano ambayo mwisho wa siku mtashindwa tu .
 
Daah nguvu za kiume ni kuchapa kazi na kufiria namna ya kupambana na changamoto, hayo mnayoyajua ninyi vijana ni mapambano ambayo mwisho wa siku mtashindwa tu .
πŸ€£πŸ€£πŸ˜…πŸ€£ Oooh mwanangu pole sana laiti ungejua usingesema haya
 
Hicho kitu kweli kaka sikuwa na chochote ni nguvu zangu tu ziliniokoa
Unajua kaka nguvu zinasaidia sana. Hata kwenye maisha ya kawaida wew mwenyewe unakuwa unajiamini na confidence kubwa. Hao wanaodharau wenda wanashida ndiomana hawataki kukubaliana na ukweli.
 
Naam mkuu Shukran kwa mrejesho

edon66 min -me umeona mrejesho huyo shauri zako wenzako wataanza kumiliki ma V8 kiulaini tu nyie mmekoma kutafuta kwa minguvu kumbe ni akili tu
 
Kwa hiyo watu wasifanye kazi wakae wakijifua ili wa miliki haya magari kwa nguvu za kiume kwenye ngono mkuu?
Bahati ya mwenzio usiilale mgongo wazi

You never know ila hakikisha nguvu za kiume ziko on point daily
 
Naam mkuu Shukran kwa mrejesho

edon66 min -me umeona mrejesho huyo shauri zako wenzako wataanza kumiliki ma V8 kiulaini tu nyie mmekoma kutafuta kwa minguvu kumbe ni akili tu
Nina mwanangu alinunuliwa crown πŸ‘‘ athlete kali na kafunguliwa duka la nguo kubwa mbeya na mke wa mmiliki wa makampuni flan ya magari yaendayo mikoani kisa hizo nguvu anazozidharau..

Huyo mmama alimwambia mwanangu kuwa mume wake hasimamishi vzur, kazi yake anaenda club anacheza mziki na malaya anawanunulia bia anaishia kuwashikashika na kuwatia vidole basi anarudi nyumban ambako hafanyi chochote analala tu.

Mchizi wangu kajipigia wee mama kamtunuku life
 
Huyo sio mke wa mmiliki wa mabasi ya kilimanjaro kweli!!

Anyway huo ndo uhalisia huyo mwanao kalamba dodo yeye shida azisahau sema tu acheze kwa step tu sasa!
 
Kwa hiyo watu wasifanye kazi wakae wakijifua ili wa miliki haya magari kwa nguvu za kiume kwenye ngono mkuu?
Nguvu ni zako na msaada wako binafsi hizo ela unaweza tafuta mpaka unadead usifikie malengo uliyoyataka lakini hata kuwa na nguvu zako tu kuweka heshima kwa mke wako au demu wako ukose?? Yaani ukose hela hata nguvu uwe hauna kamili!!! Unaishije sas na kujiita mwanaume
 
Ningekua karibu ningewabonda makwenzi😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…