Jordy05
Member
- Nov 18, 2024
- 76
- 319
Tushamwambia atumie mali alizopewa na huyo mam kuzalisha zake kimya kimya ili hata siku akizinguliwa asianguke na anafanya hvyoHuyo sio mke wa mmiliki wa mabasi ya kilimanjaro kweli!!
Anyway huo ndo uhalisia huyo mwanao kalamba dodo yeye shida azisahau sema tu acheze kwa step tu sasa!