Jordy05
Member
- Nov 18, 2024
- 76
- 319
Wanaume wenzangu hizi bahati za kupata wamama wazuri wenye hela kwa wanaume wengi hujaga mostly once in a lifetime yaani ni mara moja tu basi ukicheza tu umekwisha utarudi kule kule kwa mwajuma ndala ndefu imagine umepata intern sehemu au shughuli yeyote ile ya kukuingizia kipato mara ghafla paap mmama akatokea kuvutiwa na wewe we unadhani ni kipi kitamfanya akutetemekee kama sio nguvu zako za kiume??
Hapo juu mwandishi kaandika imagine umepata intern au shughuli yoyote ya kukuongezea kipato mara paap akatokea mmam...Unamlisha maneno asiyoyaandika, wewe unajua maana ya kubadili maisha??
Yeye katuasa kua hicho kitu kinaweza kubadili maisha na ndio focus yake iko hapo, kaza mbupu ubadili life.
Huyo mtu hajamaanisha tukae tukisubiri wamam tujishughulishe wamama wanatokea kama bahati