Jordy05
Member
- Nov 18, 2024
- 76
- 319
Sababu hauna story ndomanaHuo uzi wa shuhuda za uongo uongo sio wa kuufatilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu hauna story ndomanaHuo uzi wa shuhuda za uongo uongo sio wa kuufatilia.
una gawa kwa wastani wa idadiNawapa nyote wapenda mishangazi, haijalishi mmetoboa au lah.
Na hiyo "kutoboa" ni subjective kila mtu ana maana yake
Mambo yapo ila ule uzi mnadanganyana sana, niliusoma kipindi fulani una uongo mwingi sana.Unaishi 1525 mkuu pole sana laiti ungejua haya mambo yapo usinge andika hayo
Basi tu unakaza hilo fuvu lako kubwa 🤣
Kama kawaida yanguuna gawa kwa wastani wa idadi
Je umuhimu wa mwanamke katika jamii unatokana tu na utamu wake kitandani na uzuri wake wa umbo linalomchochea mwanamume kingono?Wanawake ni wamuhimu sna na ndio wanaokufanya utafte ela ili usiiaibike uoe utulie na mamb mengine yaende na amini hakuna mwanamke atakupenda kam hauna nguvu.....
Ule uzi umeanza kuuona lini??Sababu hauna story ndomana
Hatujireveal kwa strangers ila ningekuonesha ungeshangaa hatua niliopiga kupitia yeyeNawapa nyote wapenda mishangazi, haijalishi mmetoboa au lah.
Na hiyo "kutoboa" ni subjective kila mtu ana maana yake
Hakika mkuu!!Moja ya asset nilizo wahi rithi, ziko mitaa ya wahindi.
yaani una ona vijana mko Rika Moja,ila wako makini Sana.
mtu ana nunua nyumba zaidi ya 2, akiwa 22 una mchukuliaje??.
Ukiwa optimistic, lazima ukazane pia
Cha kwanza sikuzote huwaga muonekano wa nje .... ndoman unakuwa na hisia nae na unamuwazia sbabu ya appearance yake uzuri wake ndoman huwezi oa dem mbaya..Je umuhimu wa mwanamke katika jamii unatokana tu na utamu wake kitandani na uzuri wake wa umbo linalomchochea mwanamume kingono?
au
Umuhimu wake unatokana uwezo wake na uchochezi wake wa mafanikio kiuchumi, kijamii, na kihisia?
Tatizo sio nguvu za kiume tatizo ni aibu mwanaume kutafuta kipato kwa mwanamke , huku ukitumia nguvu za kiume kama silaha , japo ni sawa kwako na wengine ila kwa tamaduni zetu haina afya.Hatujireveal kwa strangers ila ningekuonesha ungeshangaa hatua niliopiga kupitia yeye
Mimi ni raisi wa ma jobless pro max, hivyo nitoe kwenye matajiri wa jf😂🤣Mambo yapo ila ule uzi mnadanganyana sana, niliusoma kipindi fulani una uongo mwingi sana.
Tuliyaishi hayo maisha ujanani, uongo unaujua na ukweli unaujua.
Mtu akisimulia story unajua hii ni yake au nae kasimuliwa ila kajifanya ni yake.
Huwezi elewa mdogo wangu, usipokua makini hii jf sote utatuona matajiri, tuna ndinga kali na mijimba nje ya mji na ni wachakataji wa mbususu tukuka 😂😂.
Kwahyo unavyosema story za mule ni za uongo sasa yako uliweka ya nin?? Inamaana hata yako pia ni ya uongo??Ule uzi umeanza kuuona lini??
Nilishawahi kuchangia muda kidogo nadhani ni 2017/18 huko, ulikua jf enzi hizo??
Okay so huwaga unaangalia muonekano kwanza kama ana Tako au matiti mazuri halafu sasa Heshima, Nidhamu na uwajibikaji wake mtavumiliana.Cha kwanza sikuzote huwaga muonekano wa nje .... ndoman unakuwa na hisia nae na unamuwazia sbabu ya appearance yake uzuri wake ndoman huwezi oa dem mbaya..
Alafu hayo mengine mtavumilian kadri mtakavyoishi mapenzi yenu....
Kweli kabisa FamAchana nae mkuuu anakuonea wivu na unaweza muonyesha bado akabisha kila mtu abaki na anachoamini
😁😁 nione wivu kwa lipi mkuuWivuuuuuu wivuuuuu 🤣🤣🤣🤣🤣
Mizimu ya ukoo wetu, Ina weza fufuka ini pige😂🤣Tatizo sio nguvu za kiume tatizo ni aibu mwanaume kutafuta kipato kwa mwanamke , huku ukitumia nguvu za kiume kama silaha , japo ni sawa kwako na wengine ila kwa tamaduni zetu haina afya.
Hapa kweli we shouldn't judgeOkay so huwaga unaangalia muonekano kwanza kama ana Tako au matiti mazuri then Heshima, Nidhamu na uwajibikaji wake mtavumiliana.
I got you.
I listen, I don't judge.
✊🏿👊🏾👍🏾
Kuna vitu vinashangaza sana, Sasa wivu unaingiaje hapo 🙄🙄Wivuuuuuu wivuuuuu 🤣🤣🤣🤣🤣