Hakikisha nguvu zako za kiume ziko juu kila wakati, utanishukuru baadae

Hakikisha nguvu zako za kiume ziko juu kila wakati, utanishukuru baadae

Okay so huwaga unaangalia muonekano kwanza kama ana Tako au matiti mazuri then Heshima, Nidhamu na uwajibikaji wake mtavumiliana.

I got you.

I listen, I don't judge.

✊🏿👊🏾👍🏾
Sasa wew unaijuaje heshima ya mwanamke au tabia zake bila kuwa nae kweny mahusiano. Mwanamke anaweza kuwa na heshima ila huwez kuiona bila kuwa na mahusiano nae..... ndoman kabla ya kuoa kuna kipind cha uchumba kuchunguzana mkishindwana mnaachana mapema kabla ndoa....
Ila cha kwanza ambacho kinakuvutia kwa mwanamke hadi unamtongoza ni uzuri wake...🥴🥴
 
Sasa wew unaijuaje heshima ya mwanamke au tabia zake bila kuwa nae kweny mahusiano. Mwanamke anaweza kuwa na heshima ila huwez kuiona bila kuwa na mahusiano nae..... ndoman kabla ya kuoa kuna kipind cha uchumba kuchunguzana mkishindwana mnaachana mapema kabla ndoa....
Ila cha kwanza ambacho kinakuvutia kwa mwanamke hadi unamtongoza ni uzuri wake...🥴🥴
Anhaa!! Kumbe.
 
Naangalia japo ka upenyo ka kuona hawa vijana wapo sawa ,ila nashindwa kuwatofautisha na wale wadada wanakwenda uturuki ili kujazia makalio ili wawanase vibompa 🤔 binafsi nalinganisha hili jambo nashindwa kabisa kuona kama wapo sawa .
jau sana😆🤣
 
Hayo umesema wewe ndgu.
Mimi niliweka ya kweli ila niliachana nao baada ya kupitia za wadau wengi na wengine wengi wanaoendelea kutililika mule, siku hizi ni uongo mtupu.
Mwanangu kuna visa ni vyauongo nakubali ila vingine ni ukweli ila mazingira huwez kuamini..
mfano mim na mwanangu wakati nipo advance nlihamia day mbeya baad ya kuhama iringa boarding. Tulikuwa tunajishughulisha na bajaji huku tunasoma na tulishawah mgonga abiria kwenye bajaji tukiendesha kwa zam kutokea city pub mpka kwake uyole ndani huko majumba mapya alipanga ..
Sijawah kuhadithia sababu najua watu watasema chai ila ni kisa cha kweli ambacho watu hawawez kuamini.... tatizo ni mazingira tu
 
Mwanangu kuna visa ni vyauongo nakubali ila vingine ni ukweli ila mazingira huwez kuamini..
mfano mim na mwanangu wakati nipo advance nlihamia day mbeya baad ya kuhama iringa boarding. Tulikuwa tunajishughulisha na bajaji huku tunasoma na tulishawah mgonga abiria kwenye bajaji tukiendesha kwa zam kutokea city pub mpka kwake uyole ndani huko majumba mapya alipanga ..
Sijawah kuhadithia sababu najua watu watasema chai ila ni kisa cha kweli ambacho watu hawawez kuamini.... tatizo ni mazingira tu
Alafu hiki kisa na kile cha mmama wa michezo mbona hukuhadithia kwenye uzi wa kimasihara!!!
 
Back
Top Bottom