Hakikisha nguvu zako za kiume ziko juu kila wakati, utanishukuru baadae

Hakikisha nguvu zako za kiume ziko juu kila wakati, utanishukuru baadae

Nyuzi za kina Poor Brain na Intelligent businessman hizi, vijana wanaacha kusaka dolali eti anataka ndondokela ya kula tunda kimasikhara ndio atoboe.

Yaani wewe mleta uzi unatushauri tuwe active kwa mizagamuo any time?? Yaani ujiuze kwa wamama aisee hiyo kazi anaiweza Poor Brain binafsi siwezi mnyenyekea au kukata mauno ili Ke anipe pesa dadeki, unakaza vikalio ili upewe teni, abadani siwezi.
Kama wewe uwezi wenzako tunaweza..
Wanakwambia you is and me are not equally everyone love different things niga 😁😁😁😁
 
Ahahahha mkuu mbona unataka inbox yangu ijae na unajua fika hawa mashangazi hawataki mtu uwe job less mazima lazima uwe kidogo unacho cha kufanya
Wape pande vijana, vijikazi vya hapa na pale vya kujishikiza wanavyo.
 
Back
Top Bottom