Tumia akili wewe,kama ulikuwa moja wa bounser,najua unajigamba kwani boss,atarudi ni swala la muda tu,ila usilete majigambo kwangu.We mjinga tu,
Mashahidi walioteswa na sabaya wapo na wamejitokeza,
Subiri mumeo kama ataachiwa
Halafu wauza madawa ya kulevya wanaachiwa huru.Kipaumbele Cha awamu hii ni kesi ya Sabaya ila mambo ya msingi kama tozo hakuna anajali.
Tunaifungua nchi.Halafu wauza madawa ya kulevya wanaachiwa huru.
Kinacho kusikitisha nini,wakati ukiimba mapambio kwa sauti kuu,unafikiri tulisha sahauNajua hata wewe hujali kwakua haikugusi, ama nakusingizia. Tetea hoja tajwa.
Yaani huyu Bibi!!Tunaifungua nchi.
Ahahahaaa [emoji16][emoji23][emoji1787]. Nawe umeumizwa na tozo ?!Kipaumbele Cha awamu hii ni kesi ya Sabaya ila mambo ya msingi kama tozo hakuna anajali.
Kama nimemshangaa Kada kuumia nawe unanishangaa kushangaa !!We jamaa vipi? Unashangaa nini?
Ndio mnarejeshewa tabasamu hivyo! Tulieni.Kipaumbele Cha awamu hii ni kesi ya Sabaya ila mambo ya msingi kama tozo hakuna anajali.
Kwako wewewala katiba siyo kipaumbele tena
Tafuta bwana mwingine,sabaya hatoki Tena,We pimbi mkubwa.
Mufe kabisa CCM ina wenyeweKipaumbele Cha awamu hii ni kesi ya Sabaya ila mambo ya msingi kama tozo hakuna anajali.
Sisi hatujali kitu hata ifike laki cha msingi sisi ni sabaya tuKipaumbele Cha awamu hii ni kesi ya Sabaya ila mambo ya msingi kama tozo hakuna anajali.
Mods hamjatenda haki. Kichwa cha habari kilipaswa kubakia kilivyo.#UPDATES HAKIMU wa Mahakama ya Hakimu Mkazi, Salome Mshasha,anayekuwa akiliza kesi namba 66 ya Unyanganyi wa kutumia silaha iliyokuwa inamkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai,Ole Sabaya na wenzake amebadilishwa kusikiliza kesi hiyo, sasa itasikilizwa.
===
HAKIMU wa Mahakama ya Hakimu Mkazi, Salome Mshasha, anayekuwa akiliza kesi namba 66 ya Unyanganyi wa kutumia silaha iliyokuwa inamkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Ole Sabaya na wenzake amebadilishwa kusikiliza kesi hiyo, na sasa itasikilizwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi Odira Amworo, baada ya kufutwa kwa mashtaka ya awali na kufunguliwa mengine matatu.
Nipashe