Hakujawahi kuwepo taifa la Palestine. Pata crush course kidogo

Hakujawahi kuwepo taifa la Palestine. Pata crush course kidogo

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.

3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.

4. Kabla ya dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, kulikuwa na Dola ya Ayubid-Kurdi, sio dola ya Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa crusaders na Ufalme wa Kikristo wa Yerusalemu, sio nchi ya Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na dola za Umayyad na Fatimid, sio dola ya Palestina.

7. Kabla ya dola za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na dola ya Byzantine, sio dola ya Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantini, kulikuwa na Milki ya Sassanid-Persian, si nchi ya Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid-Persian, kulikuwa na Milki ya Byzantine tena, sio nchi ya Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Kirumi, sio nchi ya Palestina.

11. Kabla ya Ufalme wa Kirumi, kulikuwa na taifa la Wayahudi la Hasmonean, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya serikali ya Kiyahudi ya Wahasmonean, kulikuwa na himaya ya Ugiriki ya Seleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Ugiriki ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander the Great, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Aleksander the great, kulikuwa na milki ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si nchi ya Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Ufalme wa Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, sio nchi ya Palestina.

18. Kabla ya Ufalme wa Israeli, kulikuwa na utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, sio taifa la Palestina.

19. Kabla ya utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, palikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Kanaani, si taifa la Palestina.

Kumekuwa na serikali nyingi huko, lakini hakujawahi kutokea Palestina.

Palestine ni propaganda state.
 
Una ramani ya Dunia mwaka 1550 ?
Middle East .... Where is Middle West or Middle South ?
Nani alichonga Suez Cannal ?
Alikuwa na lengo gani ?

1550 Israel ya Leo iliitwa North East Africa.
Ukifukua kiundani historia yote ya eneo Hilo itaandikwa upya na mtatakiwa kureset Mafaili yenu.

Based on science of tectonics plates of Ancient Arabia are part of North East Africa.
So Israel, Saudi n UAE Ni Mali yenu wabantu😂
 
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.

3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.

4. Kabla ya dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, kulikuwa na Dola ya Ayubid-Kurdi, sio dola ya Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa crusaders na Ufalme wa Kikristo wa Yerusalemu, sio nchi ya Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na dola za Umayyad na Fatimid, sio dola ya Palestina.

7. Kabla ya dola za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na dola ya Byzantine, sio dola ya Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantini, kulikuwa na Milki ya Sassanid-Persian, si nchi ya Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid-Persian, kulikuwa na Milki ya Byzantine tena, sio nchi ya Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Kirumi, sio nchi ya Palestina.

11. Kabla ya Ufalme wa Kirumi, kulikuwa na taifa la Wayahudi la Hasmonean, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya serikali ya Kiyahudi ya Wahasmonean, kulikuwa na himaya ya Ugiriki ya Seleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Ugiriki ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander the Great, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Aleksander the great, kulikuwa na milki ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si nchi ya Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Ufalme wa Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, sio nchi ya Palestina.

18. Kabla ya Ufalme wa Israeli, kulikuwa na utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, sio taifa la Palestina.

19. Kabla ya utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, palikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Kanaani, si taifa la Palestina.

Kumekuwa na serikali nyingi huko, lakini hakujawahi kutokea Palestina.

Palestine ni propaganda state.

Ungependa kuiandika upya historia?

Kama ndivyo, safari kwenda kuzimu umeshaianza.
 
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.

3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.

4. Kabla ya dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, kulikuwa na Dola ya Ayubid-Kurdi, sio dola ya Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa crusaders na Ufalme wa Kikristo wa Yerusalemu, sio nchi ya Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na dola za Umayyad na Fatimid, sio dola ya Palestina.

7. Kabla ya dola za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na dola ya Byzantine, sio dola ya Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantini, kulikuwa na Milki ya Sassanid-Persian, si nchi ya Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid-Persian, kulikuwa na Milki ya Byzantine tena, sio nchi ya Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Kirumi, sio nchi ya Palestina.

11. Kabla ya Ufalme wa Kirumi, kulikuwa na taifa la Wayahudi la Hasmonean, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya serikali ya Kiyahudi ya Wahasmonean, kulikuwa na himaya ya Ugiriki ya Seleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Ugiriki ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander the Great, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Aleksander the great, kulikuwa na milki ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si nchi ya Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Ufalme wa Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, sio nchi ya Palestina.

18. Kabla ya Ufalme wa Israeli, kulikuwa na utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, sio taifa la Palestina.

19. Kabla ya utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, palikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Kanaani, si taifa la Palestina.

Kumekuwa na serikali nyingi huko, lakini hakujawahi kutokea Palestina.

Palestine ni propaganda state.
Uko sahihi
 
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.

3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.

4. Kabla ya dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, kulikuwa na Dola ya Ayubid-Kurdi, sio dola ya Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa crusaders na Ufalme wa Kikristo wa Yerusalemu, sio nchi ya Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na dola za Umayyad na Fatimid, sio dola ya Palestina.

7. Kabla ya dola za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na dola ya Byzantine, sio dola ya Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantini, kulikuwa na Milki ya Sassanid-Persian, si nchi ya Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid-Persian, kulikuwa na Milki ya Byzantine tena, sio nchi ya Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Kirumi, sio nchi ya Palestina.

11. Kabla ya Ufalme wa Kirumi, kulikuwa na taifa la Wayahudi la Hasmonean, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya serikali ya Kiyahudi ya Wahasmonean, kulikuwa na himaya ya Ugiriki ya Seleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Ugiriki ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander the Great, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Aleksander the great, kulikuwa na milki ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si nchi ya Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Ufalme wa Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, sio nchi ya Palestina.

18. Kabla ya Ufalme wa Israeli, kulikuwa na utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, sio taifa la Palestina.

19. Kabla ya utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, palikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Kanaani, si taifa la Palestina.

Kumekuwa na serikali nyingi huko, lakini hakujawahi kutokea Palestina.

Palestine ni propaganda state.
Tuelezee maana ya "Taifa"
 
Sio muda tunashuhudia bato la Wayahudi wa Kawe na Wapalestina wa Sinza.

YANGA BINGWA.
 
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.

3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.

4. Kabla ya dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, kulikuwa na Dola ya Ayubid-Kurdi, sio dola ya Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa crusaders na Ufalme wa Kikristo wa Yerusalemu, sio nchi ya Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na dola za Umayyad na Fatimid, sio dola ya Palestina.

7. Kabla ya dola za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na dola ya Byzantine, sio dola ya Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantini, kulikuwa na Milki ya Sassanid-Persian, si nchi ya Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid-Persian, kulikuwa na Milki ya Byzantine tena, sio nchi ya Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Kirumi, sio nchi ya Palestina.

11. Kabla ya Ufalme wa Kirumi, kulikuwa na taifa la Wayahudi la Hasmonean, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya serikali ya Kiyahudi ya Wahasmonean, kulikuwa na himaya ya Ugiriki ya Seleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Ugiriki ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander the Great, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Aleksander the great, kulikuwa na milki ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si nchi ya Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Ufalme wa Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, sio nchi ya Palestina.

18. Kabla ya Ufalme wa Israeli, kulikuwa na utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, sio taifa la Palestina.

19. Kabla ya utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, palikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Kanaani, si taifa la Palestina.

Kumekuwa na serikali nyingi huko, lakini hakujawahi kutokea Palestina.

Palestine ni propaganda state.
🙏🙏🙏
 
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.

3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.

4. Kabla ya dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, kulikuwa na Dola ya Ayubid-Kurdi, sio dola ya Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa crusaders na Ufalme wa Kikristo wa Yerusalemu, sio nchi ya Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na dola za Umayyad na Fatimid, sio dola ya Palestina.

7. Kabla ya dola za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na dola ya Byzantine, sio dola ya Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantini, kulikuwa na Milki ya Sassanid-Persian, si nchi ya Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid-Persian, kulikuwa na Milki ya Byzantine tena, sio nchi ya Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Kirumi, sio nchi ya Palestina.

11. Kabla ya Ufalme wa Kirumi, kulikuwa na taifa la Wayahudi la Hasmonean, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya serikali ya Kiyahudi ya Wahasmonean, kulikuwa na himaya ya Ugiriki ya Seleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Ugiriki ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander the Great, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Aleksander the great, kulikuwa na milki ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si nchi ya Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Ufalme wa Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, sio nchi ya Palestina.

18. Kabla ya Ufalme wa Israeli, kulikuwa na utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, sio taifa la Palestina.

19. Kabla ya utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, palikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Kanaani, si taifa la Palestina.

Kumekuwa na serikali nyingi huko, lakini hakujawahi kutokea Palestina.

Palestine ni propaganda state.
Umeandika utumbo
 
Graduate wa Tanganyika hatuna akili nzuri na hatujui kitu…. Let me shut the https://jamii.app/JFUserGuide Up
 
Umeandika kiundani Zaidi.Kwangu Naamin hujabakisha kitu.Ila Israel imeachwa kama ishara (signal) kwamba yapo mengi yataonekana baadae.. Ni Kama Moshi unaoonyesha kwamba kuna Moto ilikuwa unawaka neo hili na haukuzimwa kabisa.
 
viongozi wote wa Israel kabla ya 1948 walikuwa na Passport ya Palestine

Hapa chini ni maombi ya visa kwa serikali ya Palestine kumkaribisha Shimon Peres kuingia Palestine miaka kadhaa kabla ya 1948. Shimon Peres baadae alikuja kuwa waziri mkuu wa Israel

1726421098725.png
 
1. Kabla ya Israeli, kulikuwa na mamlaka ya Uingereza, sio taifa la Palestina.

2. Kabla ya Mamlaka ya Uingereza, kulikuwa na Ufalme wa Ottoman, sio dola ya Palestina.

3. Kabla ya Ufalme wa Ottoman, kulikuwa na dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, sio taifa la Palestina.

4. Kabla ya dola ya Kiislamu ya Wamamluk wa Misri, kulikuwa na Dola ya Ayubid-Kurdi, sio dola ya Palestina.

5. Kabla ya Milki ya Ayubid, kulikuwa crusaders na Ufalme wa Kikristo wa Yerusalemu, sio nchi ya Palestina.

6. Kabla ya Ufalme wa Yerusalemu, kulikuwa na dola za Umayyad na Fatimid, sio dola ya Palestina.

7. Kabla ya dola za Umayyad na Fatimid, kulikuwa na dola ya Byzantine, sio dola ya Palestina.

8. Kabla ya Milki ya Byzantini, kulikuwa na Milki ya Sassanid-Persian, si nchi ya Palestina.

9. Kabla ya Milki ya Sassanid-Persian, kulikuwa na Milki ya Byzantine tena, sio nchi ya Palestina.

10. Kabla ya Milki ya Byzantine, kulikuwa na Milki ya Kirumi, sio nchi ya Palestina.

11. Kabla ya Ufalme wa Kirumi, kulikuwa na taifa la Wayahudi la Hasmonean, si taifa la Palestina.

12. Kabla ya serikali ya Kiyahudi ya Wahasmonean, kulikuwa na himaya ya Ugiriki ya Seleucid, si taifa la Palestina.

13. Kabla ya himaya ya Ugiriki ya Seleucid, kulikuwa na himaya ya Alexander the Great, si taifa la Palestina.

14. Kabla ya himaya ya Aleksander the great, kulikuwa na milki ya Uajemi, si taifa la Palestina.

15. Kabla ya Milki ya Uajemi, kulikuwa na Milki ya Babeli, si nchi ya Palestina.

16. Kabla ya Milki ya Babeli, kulikuwa na falme za Israeli na Yuda, si taifa la Palestina.

17. Kabla ya Ufalme wa Israeli na Yuda, kulikuwa na Ufalme wa Israeli, sio nchi ya Palestina.

18. Kabla ya Ufalme wa Israeli, kulikuwa na utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, sio taifa la Palestina.

19. Kabla ya utawala wa makabila kumi na mawili ya Israeli, palikuwa na mkusanyiko wa falme huru za miji ya Kanaani, si taifa la Palestina.

Kumekuwa na serikali nyingi huko, lakini hakujawahi kutokea Palestina.

Palestine ni propaganda state.
Mkuu ni vema ukasoma kabla HUJAJA HAPA KUONGEA UTUMBO.
Niongee tu kwa kifupi.
Hizo himaya ulizozitaja za Mamluk,Ottoman, Byzantine,Roman,Umayyad Caliphate,Persia zote hizo zilikua na maeneo yake na makao makuu yake.
NA wewe taarifa ulivyoileta ni sawa na kusema HIZO HIMAYA ZOTE ZILIKUA SEHEMU MOJA IITWAYO PALESTINA.
Byzantine ilikua Constantinople.
Roman ilikua Rome Italy.
Ottoman ilikua Konya.
Persia ilikua Konya pia kabla ya Waturuki kuipora Konya toka kwa Persia.
Mamluk ilikua DOLA NDOGO SANA CHINI YA OTTOMAN ambayo ilikua inahusisha Egypt,Algeria na Alleppo/Syria.
Eneo hilo la Palestina lilitawaliwa na himaya hizo tofauti.
Na himaya ya mwisho kuitawala ni Ottoman kabla Uingereza haijaifanya kuwa mandatory.
Na ndio maana ikatambulika kama BRITISH PALESTINE MANDATORY STATE.

Someni jamani msije kutudanganya humu ndani.
 
Back
Top Bottom