Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

Wewe ni choko mwenye njaa na tamaa nyie ndo mnaofirwa kirahisi kisa mpate teuzi za chama sijui mzaliwa wa wapi hizi kwenu hakuna wanaume wakufunze uvumilivu?
Naona tayari umepaniki? Watu aina yako wasio na akili Timamu huwa hawanipi shida maana najua namna ya kupambana nao.
 
Kama angenyamaza tungejuaje kama kuna shida hata ofisi nyeti ya serkali waziri ambaye ndiyo mshauri wa rais kuingia kwa kibali? Hii ni insubordination kwa wananchi waliomchagua mbunge.
Kwani walimchagua kuwa waziri au Mbunge? Kuna mtu anayechaguliwa na wananchi kuwa Waziri? Tangia lini waziri anachaguliwa na Wananchi?
 
Japo Busara ilikua ni kuto kusema hadharani.

lakini ukianzisha vita usichagulie wengine silaha ya kujibu mashambulizi
 

Una hoja nzuri hasa kwa sababu ya rejea uliyotumia mkuu!

Tafadhali fafanua zaidi nataka kuongezea Maarifa, nimeenda hiyo rejea yako Mkuu!
 
Wewe zaidi ya uchawa utakuwa na sifa nyingine za ziada
 
Wee nawe unakuwa chawa mavi mavi unashindwa kutumia hata akili ya kuvukia barabara...
 
Unafikiri waziri hawezi kumpigia simu Mheshimiwa Rais na simu ikapokelewa?
Hata wengine walikua wanawaza kua ni rahisi waziri kumuona Rais kama ambavyo wewe umewaza kua ni rahisi Rais kupigiwa simu na waziri.Lini umeona waziri yeyote unayemjua anampigia simu Rais kama siyo Rais kupiga simu?
 
Msukule umeandika hapa. Nitakuombea ufe mpaka mwisho ili majinga yapungue nchini. Mzazi wako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Anza kujiandaa mwenyezi mungu ameshaanza kuchukua majinga kama wewe. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Itoshe kusema Kuna watu hawapaswi.kuwa viongozi na kama wanakuwa viongozi basi wapewe semina elwmesi kama zile za JK.

Mtu kama Mkenda maisha yake yote ameishia kufundisha Chuo Kikuu ni Magufuli ndio alimleta kwenye Uongozi ila hakuwa na sifa za uongozi wako wengi sana watu wa hivyo.
 
Hata wengine walikua wanawaza kua ni rahisi waziri kumuona Rais kama ambavyo wewe umewaza kua ni rahisi Rais kupigiwa simu na waziri.Lini umeona waziri yeyote unayemjua anampigia simu Rais kama siyo Rais kupiga simu?
Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Amefanya hivyo mara nyingi na hata Mheshimiwa Rais alikiri hadharani kupigiwa simu na Mr Clean
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…