Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

Linapokuja swala la ukweli hamtaki kabisa kusikia nyie ni watu wa namna gani
 
Anza na chanzo cha tatizo aka vijumbe wa mama, unadhani waziri atoke huko atokako kwenda oga? Tuwe wakweli bila pepesa macho waliteleza wajirekebishe hilo ndo la msingi
 
Anza na chanzo cha tatizo aka vijumbe wa mama, unadhani waziri atoke huko atokako kwenda oga? Tuwe wakweli bila pepesa macho waliteleza wajirekebishe hilo ndo la msingi
Unaelewa namna serikali inavyofanya kazi. Unafahamu ya kuwa RAIS ni taasisi
 
Mleta hoja kuna hautendei haki moyo wake ... Za Moyoni mbali ziandikwa mbali...
 
Hivi SUFIANI yupo wapi? Naona ile roho iliyokuwa kwake imehamia kwa mleta mada ....
 
Msaidizi wa Rais sio Rais. Waziri ni mkubwa kuliko msaidizi wa Rais. Mkenda yuko sahihi kabisa kuwanyea hao wapuuzi. Huu upumbavu ukichekewa ndo husababisha watu kuwa na chuki na Rais. Msaidizi wa Rais kumpelekea kimemo waziri wakati anahutubia ni utovu wa nidhamu.
 
MANAANZA KUJITAMBULISHA MSIOJULIKANA WA KUFANYA MAMBO GIZANI NYUMA YA MGONGO WA RAIS. Mtasema mliowapoteza wako wapi!!!..
 
Africa ukisema Uongo ndo una hekima, ukisema ukweli huna kifua....shubaamit
 
Naona ni mbumbumbu wa uongozi. Hivi hufahamu kuwa Urais Ni Taasisi inayojitegemea?
 
Kabla ya kutoka nje kuzungumza na hadhara wote watakaopewa nafasi ya kuzungumza mbele ya Rais hotuba zote lazma azupitie na wakati mwengine Huwa wanapangiwa vya kuongea kwahyo alichokiongea Prof Mkenda kina baraka zote za Mh Rais kabla hajasema pale

..Prof.Mkenda aliweka hotuba pembeni akaongea free style.

..mimi nilivyomsikiliza Prof hakuwa amemsema Raisi vibaya.
 
Naona ni mbumbumbu wa uongozi. Hivi hufahamu kuwa Urais Ni Taasisi inayojitegemea?
Mimi mbumbumbu wa uongozi? Komredi unanikosea sana. Futa hiyo kauli yako ya kipumbavu. Mkuu najua Rais ni taasisi ila haimaanishi hao wasaidizi wake wawe na nguvu za kupitiliza hadi kuwa kikwazo kwa waziri. Rais alimteua Waziri Mkenda na kumpa dhamana ya kusimamia elimu ya nchi kwahiyo kwa vyovyote vile waziri hapaswi kuewekewa vikwazo na wasaidizi wa Rais. Hao wasaidizi wanamharibia Rais na kumtengenezea taswira mbaya.
 

..aliyemtoa Prof.Mkenda Udsm ni Rais Kikwete.

..alimteuwa Prof.Mkenda kuwa Naibu Katibu Mkuu wizara ya fedha -- Sera.
 
..aliyemtoa Prof.Mkenda Udsm ni Rais Kikwete.

..alimteuwa Prof.Mkenda kuwa Naibu Katibu Mkuu wizara ya fedha -- Sera.
Kumleta kwenye nafasi za Kisiasa ,hizo Bado ni za utendaji.

Mkenda namfahamu nilimkuta Chuo anafundisha enzi za JK alikuwa anafundisha Chuo.

Kwanza kaoa Mzambia sijui hata kama ni raia yule mama hajui kiswahili kabisa nae ni mwl.wa.uchumi Mlimani.
 

..mimi ni mkosoaji mkubwa wa Mama Abduli na serikali yake, lakini ktk suala hili namtetea yeye pamoja na Prof.Mkenda.

..Ratiba ya Raisi inaweza kuwa tight na kupelekea Waziri kukosa nafasi ya kuonana naye kulingana na aina ya appointment aliyoomba.

..Prof.Mkenda katika hotuba yake aliomba kwenda kumuona Raisi akiwa na timu ya wataalamu wa wizara ya elimu.

..Sasa appointment za namna hiyo sio sawa na appointment anayoomba Waziri kwenda kushauriana na Raisi kwa muda mfupi.

..Wengine wamekwenda mbali kusema Waziri anaweza kumpigia simu Raisi. Jambo hilo ni la kweli, lakini sio kazi ya Raisi kuratibu appointments zake.

..Waziri akitaka kuonana na Rais ni lazima aongee na Katibu Myeka wa Rais ambaye ana jukumu la kuratibu appointments za Raisi.

..Ratiba ya Raisi inaweza kuwa open kuonana na Waziri kwa mashauriano mafupi, lakini inaweza kuwa tight kama Waziri anataka kuonana na Raisi akiwa na timu ya wataalamu ili wafanye presentation kwa Raisi.


..Kwa jinsi nilivyomsikiliza Prof.Mkenda hicho ndicho alichomaanisha.
 
Kumleta kwenye nafasi za Kisiasa ,hizo Bado ni za utendaji.

Mkenda namfahamu nilimkuta Chuo anafundisha enzi za JK alikuwa anafundisha Chuo.

Kwanza kaoa Mzambia sijui hata kama ni raia yule mama hajui kiswahili kabisa nae ni mwl.wa.uchumi Mlimani.

..Prof.Mkenda kuoa Mzambia sio kigezo cha yeye kukosa sifa za uongozi.

..pia Prof.Mkenda sio waziri pekee katika serikali ya Mama Samia ambaye mke wake sio mzaliwa wa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…