Hakukuwa na sababu ya Profesa Mkenda kuzungumza aliyoyazungumza hadharani. Kiongozi ni kuwa na Kifua na Uvumilivu

Huyo kapuku na elimu yake ya MEMKWA ni vigumu kupambanua mambo uwezo wa akili yake unaishia kumsifia Samia tu kwa matumaini ya kuteuliwa.
Elimu yangu ni kubwa sana ambayo nikikupa ubebe hata vyetu vyangu utaishia kudondoshwa chini na uzito wake kama Mlevi wa gongo.
 
Mbona unataka sana kujifedhehesha wewe kapuku? Jitahidi watu wasijue kuwa huna akili kwa kiwango hiki. Aibu kubwa hii ephen_
 
Nyani haoni kundule, vipi siku hizi mambo yenu ya kichama na vikao vyenu vyote pamoja na taratibu zenu za kiitifaki mmekubaliana kwamba sehemu sahihi ya kurekebishana ni kwenye jukwaa la Jamii Forums?
 
Lucas Mwashambwa the headless chicken is here again! CCM mmezoea kufichaficha vitu wagonjwa nyie!
 
Elimu yangu ni kubwa sana ambayo nikikupa ubebe hata vyetu vyangu utaishia kudondoshwa chini na uzito wake kama Mlevi wa gongo.
Elimu hupimwa kwa uwezo wa akili siyo makaratasi wewe kapuku unavyojaza maandishi yako yasiyo na maudhui ndiyo unajichoresha. Elimu yako itapimwa kwa kazi zako,sasa kweli huu uchawa unaofanya ndivyo wasomi wafanyavyo? Chawa chawa chawa.
 
Elimu hupimwa kwa uwezo wa akili siyo makaratasi wewe kapuku unavyojaza maandishi yako yasiyo na maudhui ndiyo unajichoresha. Elimu yako itapimwa kwa kazi zako,sasa kweli huu uchawa unaofanya ndivyo wasomi wafanyavyo? Chawa chawa chawa.
Nikiwa chawa wewe utakuwa nani sasa?
 
Anasema alizuiliwa kuonana naye, angelezwa sababu ya msingi huenda asingekuwa na MASWALI mengi. Hadi anasema hadharani ujue aliona hujuma.
 
Naona unajishaua sana kwa ephen mpaka kujibaraguzi kwamba una kampuni. Utafikiri umewahi kuona kampuni inaongozwa na chizi.
Ndiyo hivyo kuna watu wanaishi maisha bora kuliko wewe kutokana na ubunifu wangu kama huu ni uchizi basi ni uchizi bora wa karne hii,wewe sasa na uchawa wako ndiyo ubunifu wako huo,pumbavu kabisa.
 
Ndiyo hivyo kuna watu wanaishi maisha bora kuliko wewe kutokana na ubunifu wangu kama huu ni uchizi basi ni uchizi bora wa karne hii,wewe sasa na uchawa wako ndiyo ubunifu wako huo,pumbavu kabisa.
Unaelewa maana ya kampuni? Au ukiokota Makopo jalalani kwa uchizi wako na kusafiri nayo umbali mrefu kisha kurudi nayo pale pale ndio unaita kampuni hiyo?
 
Unaelewa maana ya kampuni? Au ukiokota Makopo jalalani kwa uchizi wako na kusafiri nayo umbali mrefu kisha kurudi nayo pale pale ndio unaita kampuni hiyo?
Kama hujui hata definition ya kampuni huko shule ulienda kusomea ujinga.
 

..Prof.Mkenda hakukosea ktk kauli yake.

..Nilichogundua ni kwamba Prof ni mmoja kati ya mawaziri wanaopima kauli zao kabla hawajazungumza.

..hebu kaleta hotuba ya Prof ili wasomaji waone kama kuna ulazima wa makelele yote haya.
 
Pale jamaa mwenye elimu ya hapa na pale anapompa lekcha mtu mwenye digrii nne, mwalimu wa vyuo vikuu mbalimbali nchini na nje ya nchi,waziri wa elimu hapa Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…