NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Hizo pesa za mauza uza hata waganga wanazikimbia ilhali wao wana uwezo wa kuzipata ila hawazitaki kabisa, hata mhitaji akifanikiwa kuzipata mganga anazikwepa.
Mganga pale anakuwa ni dalali tu anaewaunganisha anaezitaka na majini.
Huyo anaezitaka inabidi atoe kitu muhimu kwake kwa majini ili apewe hizo pesa, inaweza kuwa ni kumtoa kafara mzazi wake, mtoto wake, mke wake na hizi kafara ni endelevu zinazoanziaga kwenye kuku mpaka watu, hakuna kugeuka nyuma ukianza umeanza.
Hata ukifa haufi, si kifo cha kawaida, roho yako inaenda kutumikishwa kwenye shughuli za ufalme wa majini, majinii yanakurahisishia sana njia ya mkato kimafanikio, lakini mwisho wake ni hatari sana kuliko hata mwizi / tapeli.
Mganga pale anakuwa ni dalali tu anaewaunganisha anaezitaka na majini.
Huyo anaezitaka inabidi atoe kitu muhimu kwake kwa majini ili apewe hizo pesa, inaweza kuwa ni kumtoa kafara mzazi wake, mtoto wake, mke wake na hizi kafara ni endelevu zinazoanziaga kwenye kuku mpaka watu, hakuna kugeuka nyuma ukianza umeanza.
Hata ukifa haufi, si kifo cha kawaida, roho yako inaenda kutumikishwa kwenye shughuli za ufalme wa majini, majinii yanakurahisishia sana njia ya mkato kimafanikio, lakini mwisho wake ni hatari sana kuliko hata mwizi / tapeli.