Hakuna Beef kati ya Ali Kiba na Diamond ila kuna Beef kati ya Ali na Sallam

Hakuna Beef kati ya Ali Kiba na Diamond ila kuna Beef kati ya Ali na Sallam

Huo ndio ukweli japo watu wengii wanashabikia upande mmoja ally ni mtu ninaye mfahamu vizuri sana huyuu jamaa hanaga makuu na mtu ataishuzake anafanya kimya kimya hii inawaumiza sana kichwa hawa jamaa wa upande wapili
kwanini iwaumize kichwa wakati kwa TZ diamond ndo msanii mwenye mafanikio kuliko wooote? tuongee vitu vyenye tija jamani
 
Basi huyo mwanaume anayeitwa Sallam atakuwa kazoea kibao kata au ana husuda hadi anawafitinisha wanaume wenzie
 
kwanini iwaumize kichwa wakati kwa TZ diamond ndo msanii mwenye mafanikio kuliko wooote? tuongee vitu vyenye tija jamani
mafanikio siyake mi yananiusu nini? mafanikio yako isiwe kikwazo cha wengine wasifikie mafanikio ney alitaka kufanya colabo na kiba watu wakafanya figisu za hali ya juu hela ikatumika nyingi tu ili mradi tu colabo isifanyike ifanyike na msanii wao
 
Mkuu sihitaji kuangalia Interview zake ili nijue hilo...Namjua Ali Namjua Diamond wakiwa nje ya Interview nazungumzia kwenye maisha yao ya kawaida kabisa huku mitaani.....Diamond kamuimba Ali kwenye free style zake juu ya beat ya All the way up umesikia Ali akijibu au kumaindi kuhusu iko kitu?!
Mkuu fungua upeo Ali ana nguvu kiasi gani kulipa watu pesa wamzomee Diamond?!Tatizo ni Sallam na sio Diamond elewa hapa mkuu
Kama hufatilii interview unasikiliza za mtaani umejuaje maswala ya kenya ulikuwepo kwenye show na kwenye iyo remix kuna sehem kamtaja uyo kiba usitake kupindisha mambo ili mwenzie aonekane mbaya

Show ya juzi kuna blog kibao za kenya zimeandika kila kitu kuwa kiba alikataa kupanda kwa stage kabla ya wiz coz yy mkubwa kuliko wiz apo monbasa ndo maana wakadelay hata dejay mwenyewe kathibitisha hilo au na izo blog sallam kawalipa...
 
kwanini iwaumize kichwa wakati kwa TZ diamond ndo msanii mwenye mafanikio kuliko wooote? tuongee vitu vyenye tija jamani
mafanikio kwenye kitu gani!?
na wewe mwenzetu mafanikio unayatafsiri vipi?!
 
mafanikio kwenye kitu gani!?
na wewe mwenzetu mafanikio unayatafsiri vipi?!
Kuanzia maisha hadi mafanikio ya mziki hakuna wakumgusa domo kibongo bongo kuanzia tunzo hadi endorsement
 
swali zuri....Diamond hakutumika kuita mtu yoyote kwenye ile show...siku ile kulikuwa na wasanii zaidi ya 50 ambao walifanya show na Diamond alikuwa mualikwa tu na ukumbukue haikuwa show ya mtu mmoja ndio maana hakukuwa n msanii mmoja
Mnapoteza muda tu, ukweli umeshajulikana, sasa kwenye hizo tuzo mnazoenda wote itakuaje, maana Sallam atakuwepo.
 
Kama hufatilii interview unasikiliza za mtaani umejuaje maswala ya kenya ulikuwepo kwenye show na kwenye iyo remix kuna sehem kamtaja uyo kiba usitake kupindisha mambo ili mwenzie aonekane mbaya

Show ya juzi kuna blog kibao za kenya zimeandika kila kitu kuwa kiba alikataa kupanda kwa stage kabla ya wiz coz yy mkubwa kuliko wiz apo monbasa ndo maana wakadelay hata dejay mwenyewe kathibitisha hilo au na izo blog sallam kawalipa...
Nimezungumzia mtaani kwa sababu nawajua vizuri wote wawili na nina uwezo wa kukutana nao mtaani na sio kusubiri kuwaona kwenye Interview.Elewa

Wewe itakuwa hujui mambo mengi kuhusu mziki mkuu yaani mpaka mtu atajwe jina lake ndio ujue kazungumziwa?!
Wao wanapost tembo sisi tuna-post show...na hili nalo mpaka utafuniwe?!

Hizo blog tu zimeandika na usifikiri kuwa kila blog ya Kenya itakupa habari yenye asilimia 100 kisa imeandikwa na blogger wa Kenya...Ali na Team yake walikuwa na mawazo mazuri ya Kuokoa muda ndio maana wakataka Wiz apande kabla ya Ali ila wakaleta ubishi ubishi tu ili muda uende
 
Anayofanyaga alikiba km kumsema mwenzie hua yanafunikwa. Ila wakisema wengine hua yanakuzwa ili mtu huyo aonekane mbaya. Kiba kachemka sana hapo mnajitahid kumsafisha 2.

Kwel ukipenda chongo utaona ni kengeza tu
Lini umesikia au kusoma Ali akimponda au kusema vibaya Diamond?!
Weka ushahidi
 
Nimezungumzia mtaani kwa sababu nawajua vizuri wote wawili na nina uwezo wa kukutana nao mtaani na sio kusubiri kuwaona kwenye Interview.Elewa

Wewe itakuwa hujui mambo mengi kuhusu mziki mkuu yaani mpaka mtu atajwe jina lake ndio ujue kazungumziwa?!
Wao wanapost tembo sisi tuna-post show...na hili nalo mpaka utafuniwe?!

Hizo blog tu zimeandika na usifikiri kuwa kila blog ya Kenya itakupa habari yenye asilimia 100 kisa imeandikwa na blogger wa Kenya...Ali na Team yake walikuwa na mawazo mazuri ya Kuokoa muda ndio maana wakataka Wiz apande kabla ya Ali ila wakaleta ubishi ubishi tu ili muda uende
Huna fact case closed
 
kwanini iwaumize kichwa wakati kwa TZ diamond ndo msanii mwenye mafanikio kuliko wooote? tuongee vitu vyenye tija jamani
Kuwa na mafanikio ni kitu kizuri lakin wanazidiana na kumbuka hawa wrote wanatafuta riziki zao na wanafamilia zinazowategemea sasa yanapotokea mifarakano Kama hiyo,mahaba weka pembeni mzaramo kaleta maoni yake au kwa kile kinachoendelea ingawa vingine mlikuwa hamjui sasa huo ndio uhalisio sio sallam anahojiwa anaonge vile vinavyomtoka kinywan lakini behind ze scene ni mengi tuu
 
Na kama Alikiba anakubalika zaidi Mombasa kwanini lisitumike jina lake kuwavuta watu kwenda kwenye mkutano wa chama badala yake litumike la diamond? Kama Alikiba ni msanii mkubwa kuliko Wizkid kwanini alikubali kulipwa nusu ya pesa aliyolipwa Wizkid?
Nadhani aliyeweka thread ni Seven Mosha
Acha wewe. Seven Mosha hawezi kupost ugoro kama huu...
 
Viroja vya JF! Yaani Ne-Yo asiye na uhusiano wowote na Sallam, from nowhere anafuata fitina za Sallam!! Hapa ulichosahau ni kwamba, kabla ya Coke Studio; tayari Diamond alishaanza kujiweka karibu na Ne-Yo wakati wa MTVMAMA South Africa!!!

Nakumbuka hata Ne-Yo mwenyewe alishawahi kukiri wakati anaenda Southh Africa alikuwa na hamu sana ya kukutana na Diamond!!! WHY? Ilitokana na fujo za Watanzania kwenye page ya Ne-Yo! Ile inatangazwa kwamba Ne-Yo anaenda SA, kama kawaida yao, Wabongo wakavamia page ya Ne-Yo na kuanza kupiga shangwe za Diamond Platnumz hadi Ne-Yo akashangaa huyu Diamond ni nani mwenye kupigiwa shangwe namna hii!!!! Inaonekana hata kama alifahamu baadhi ya wasanii wa Nigeria; lakini huenda alishafikia kufikiri this Diamond guy is much bigger than any African Artist... hapa Ne-Yo alikuwa mshamba wa fujo za Watanzania Instagram!!!
 
Back
Top Bottom