Hakuna dawa ya kumroga mtu? maana nishaibiwa tayari na ujanja wangu huu

Hakuna dawa ya kumroga mtu? maana nishaibiwa tayari na ujanja wangu huu

Kufanya biashara mtandaoni ni riski kubwa sana pia nawahurumua watu wanaotegemea kufanya biashara mtandaoni maana kadiri mambo yanavyobadilika hamna mtu ataamini vitu vya online ingawa ingekuwa inatumika ipaswavyo ingerahisisha zaidi kwa kuokoa muda na usalama pia.

Ila kadri siku vinavyosonga mbele mtandao unageuka kuwa wizi wa kupindukia, mfano nchi za wenzetu wako vizuri sana ingawa sijui changamoto zao ila mtu anaagiza na kupokea mzigo mlangoni. Sisi kwetu sasa ukiagiza ujue tumbo la kuhara lazima likushike hutulii mpaka mzigo uuone ndio useme afadhali.
View attachment 2891003
Jana nimeona kitu mtandaoni nikakipenda nikasema ngoja nimcheki mshikaji tuyajenge, tumeelewana vizuri na mzigo nimetuma na makubaliano ni leo nipokee changu.

Kilichonikuta Gari ambayo tulielewana anitumie imepita nampigia simu hapokei na simu kazima. Sasa mtu kama huyu anaharibu kula ya wengine wanaotegemea order za watu, na kwa hali kama hii uje unishawishi kuchukua vitu bongo tena online ni ngumu maana tayari nimeona madhara yake.

Siyo mara moja nafanya biashara online nimezoea kuagiza Alibaba.com na AliExpress.com jamaa hawana noma aisee nilishangaa naagiza kitu kimoja AliExpress naletewa mpaka Tanzania hueziamini ni cha Tsh2,000 tu.

Na muda huu napoa andika nimepokea Email ya mzigo wangu View attachment 2890995
Hapo nakuwa na amani maana kila hatua najua sasa sisi tunakwama wapi wizi huu mpaka lini??

Pamoja na hivyo, Mwezi wa 1 mwaka huu nimeagiza Laptop Alibaba nimepokea bila shida, na mpaka mzigo unanifikia nilikuwa najua unaenda endaje kila kituo naona kupitia track order.

Sisi watanzania ndio maana hatuaminiki iwe kwenye kazi au hata ukiomba ajira sehemu, kwenye kampuni au kwa mtu binafsi uaminifu ni sifuri, hata ndugu unamuogopa kuja kwako!!
Majitu majizi kama haya unayakuta bar alafu yanaagiza wine na mabia ya kutosha yaani..
 
Kufanya biashara mtandaoni ni riski kubwa sana pia nawahurumua watu wanaotegemea kufanya biashara mtandaoni maana kadiri mambo yanavyobadilika hamna mtu ataamini vitu vya online ingawa ingekuwa inatumika ipaswavyo ingerahisisha zaidi kwa kuokoa muda na usalama pia.

Ila kadri siku vinavyosonga mbele mtandao unageuka kuwa wizi wa kupindukia, mfano nchi za wenzetu wako vizuri sana ingawa sijui changamoto zao ila mtu anaagiza na kupokea mzigo mlangoni. Sisi kwetu sasa ukiagiza ujue tumbo la kuhara lazima likushike hutulii mpaka mzigo uuone ndio useme afadhali.
View attachment 2891003
Jana nimeona kitu mtandaoni nikakipenda nikasema ngoja nimcheki mshikaji tuyajenge, tumeelewana vizuri na mzigo nimetuma na makubaliano ni leo nipokee changu.

Kilichonikuta Gari ambayo tulielewana anitumie imepita nampigia simu hapokei na simu kazima. Sasa mtu kama huyu anaharibu kula ya wengine wanaotegemea order za watu, na kwa hali kama hii uje unishawishi kuchukua vitu bongo tena online ni ngumu maana tayari nimeona madhara yake.

Siyo mara moja nafanya biashara online nimezoea kuagiza Alibaba.com na AliExpress.com jamaa hawana noma aisee nilishangaa naagiza kitu kimoja AliExpress naletewa mpaka Tanzania hueziamini ni cha Tsh2,000 tu.

Na muda huu napoa andika nimepokea Email ya mzigo wangu View attachment 2890995
Hapo nakuwa na amani maana kila hatua najua sasa sisi tunakwama wapi wizi huu mpaka lini??

Pamoja na hivyo, Mwezi wa 1 mwaka huu nimeagiza Laptop Alibaba nimepokea bila shida, na mpaka mzigo unanifikia nilikuwa najua unaenda endaje kila kituo naona kupitia track order.

Sisi watanzania ndio maana hatuaminiki iwe kwenye kazi au hata ukiomba ajira sehemu, kwenye kampuni au kwa mtu binafsi uaminifu ni sifuri, hata ndugu unamuogopa kuja kwako!!
Pole sana Mkuu
 
Hii juzi wife ameagiza simu toka kwa mtandao, nikamwambia asitoe hela mpaka mzigo ufike. Cha ajabu jamaa wawili waiosema wana mzigo wakashindwa kuleta na walibakia tuma sijui boda analeta. Mwisho wa siku walikua matapeli. Akaleta mtu mwaminifu akapewa 600k. Ilikua ni iphone simu. Bila mm ingekua maumivu
Aisee hiki kizazi kinalaana aisee
 
Ivi ukiagiza alibaba au aliexpress unamchaguaje speedcaf kama shipping method? Maana pale naona option nisiotaka
 
Ivi ukiagiza alibaba au aliexpress unamchaguaje speedcaf kama shipping method? Maana pale naona option nisiotaka
Alibaba hawana mkataba na speedaf wao kabla ya kununua unachati nao kwanza kulingana na bidhaa unazotaka wanakupa bei baada ya hapo wanakuomba namba ya supplier wako ambae atakusafirishia mzigo toka china kuja Tanzania.

Kwa upande wa AliExpress wao unachagua kutumia supplier wako au ununue bila kuwasiliana nao yaani kuchatinao ila zingatia address yako iwe sahihi mzigo unapokwenda nchi mpaka kitongoji au kijiji kwa kufanya hivyo mzigo wako ukifika Tanzania utapelekwa POSTA.

Baada ya hapo POSTA wa eneo ulilopo ambapo address yako inasoma watakupigia simu kukujulisha mzigo wako wanao kalipie shipping chukua mzigo wako.
 
H
Mimi hua naziamini sana instinct zangu!!!

Mwaka jana kuna kitu nilikiona mtandaoni insta, nikakipenda. Nikawasiliana na jamaa aliyepost tukakubaliana vizuri tu bei laki nne na nusu pamoja na gharama za usafiri mpaka huku nilipo. Akasisitiza mwenyewe kua nitalipa baada ya mzigo kufika.

Ilikua ni experience nzuri sana kuwahi kutokea. Jamaa hanijui na wala simjui, lakini baada ya siku mbili kweli mzigo ulifika. Nikamtumia pesa yake yote. Akashukuru na mimi nilifarijika sana maana mzigo ulikua uko poa sana.

Mwaka huu nilikua na uhitaji wa mzigo ule ule. Baada ya kubargain bei, ikaonekana bei imepanda mpaka laki nne na themanini. Kilichonishangaza jamaa amesisitiza nimtumie pesa yote kisha ndio atume mzigo (tofauti na mwaka jana). Hii imenipa wasiwasi mno. Nimejikuta hata hamu ya ile bidhaa imekata na siihitaji tena. Habari za kutuma pesa kwanza kisha ndio mzigo ufike zimenikata stimu nahisi nataka kutapeliwa hapa.
Uyo kakuchechia ana agenda ovu.

Mwanzo mlishafanya biashara kwa uaminifu kwanini anakugeuka?

Usikate tamaa mapema, nawe muwekee conditions zako katika kusoma authentication ya uaminifu wake.

Kama kuna mabasi yanalink kutoka ulipo hadi alipo ama maroli, ubagain na 'conda' kama mtu wa kati, umpatie pesa akaulipie na kukubebea akuletee.

Hapo changamoto itakuwa ni kukagua bidhaa na kujiridhisha.

Janjajanja ya kumtumia pesa mbichi bila njia ya kuaminika ya kukipata kifaa chako, hapana!
 
Acha tu ila hatafika mbali maana cha dhuruma siyo kizuri, ndio maana matajiri wengi niwazurumaji siku akifa na mali zinaisha maana walibakia hawawezi kufanya mabaya ya baba yao watataka biashara ijiendeshe kumbe hawajui alikuwa anafanyeje
Siyo kweli kijana..

Huyo aliye kuibia inawezakana akaingia kwenye jarida la Forbes, na akawapa watoto wake njia bora ya kuendesha Biashara zake. Hata akifa biashara zinaendelea.

Na wala usimuachie Mungu, pambania haki yako mwenyewe. Kama unaweza Mroge tu.
 
Kufanya biashara mtandaoni ni riski kubwa sana pia nawahurumua watu wanaotegemea kufanya biashara mtandaoni maana kadiri mambo yanavyobadilika hamna mtu ataamini vitu vya online ingawa ingekuwa inatumika ipaswavyo ingerahisisha zaidi kwa kuokoa muda na usalama pia.

Ila kadri siku vinavyosonga mbele mtandao unageuka kuwa wizi wa kupindukia, mfano nchi za wenzetu wako vizuri sana ingawa sijui changamoto zao ila mtu anaagiza na kupokea mzigo mlangoni. Sisi kwetu sasa ukiagiza ujue tumbo la kuhara lazima likushike hutulii mpaka mzigo uuone ndio useme afadhali.
View attachment 2891277
Jana nimeona kitu mtandaoni nikakipenda nikasema ngoja nimcheki mshikaji tuyajenge, tumeelewana vizuri na mzigo nimetuma na makubaliano ni leo nipokee changu.

Kilichonikuta Gari ambayo tulielewana anitumie imepita nampigia simu hapokei na simu kazima. Sasa mtu kama huyu anaharibu kula ya wengine wanaotegemea order za watu, na kwa hali kama hii uje unishawishi kuchukua vitu bongo tena online ni ngumu maana tayari nimeona madhara yake.

Siyo mara moja nafanya biashara online nimezoea kuagiza Alibaba.com na AliExpress.com jamaa hawana noma aisee nilishangaa naagiza kitu kimoja AliExpress naletewa mpaka Tanzania hueziamini ni cha Tsh2,000 tu.

Na muda huu napoa andika nimepokea Email ya mzigo wangu View attachment 2890995
Hapo nakuwa na amani maana kila hatua najua sasa sisi tunakwama wapi wizi huu mpaka lini??

Pamoja na hivyo, Mwezi wa 1 mwaka huu nimeagiza Laptop Alibaba nimepokea bila shida, na mpaka mzigo unanifikia nilikuwa najua unaenda endaje kila kituo naona kupitia track order.

Sisi watanzania ndio maana hatuaminiki iwe kwenye kazi au hata ukiomba ajira sehemu, kwenye kampuni au kwa mtu binafsi uaminifu ni sifuri, hata ndugu unamuogopa kuja kwako!!
Pole sn. Utamaduni wa watz umebadilika.siku his watanzania tunekuwa waongo sijapata kuona.pole kwa yaliyokukuta
 
Hili ndo lilikuwa lengo la vitambulisho vya NIDA, unashtaki polisi mtu anakamatwa , Sasa sisi nchini kwetu vitambulisho vya NIDA Kazi yake kusajilia line tu basi. Tunaishi kama wanyama Kutokana na mifumo yetu mibovu.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom