Hizo timu zote ni Kongwe, Azam ina umri kuingia kwenye ligi na kujifanya derby ya Simba na Yanga? Afadhali kina African Lyon na Pamba maana ni wakongwe pia ila siyo Azam ya juziDerby ni match between local revels, kwa maana timu zinazotoka kwenye mji mmoja au kitongoji kimoja. mechi yao ina qualified kuitwa derby.
kwa mfano
Arsenal vs Fulham ni London Derby
Arsenal vs Chelsea pia ni London derby.
Arsernal vs Spurs
Arsenal vs West ham
Hizi zote zinaitwa London Derby.
Man UTD na Liverpool ni watani na mahasimu wa Jadi, ila mechi yao haiitwi Derby.
Hizo timu zote ni Kongwe, Azam ina umri kuingia kwenye ligi na kujifanya derby ya Simba na Yanga? Afadhali kina African Lyon na Pamba maana ni wakongwe pia ila siyo Azam ya juzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka hapa hauna hoja. Mimi nimetoa maoni yangu pamoja na vielelezo wewe unaleta porojo halafu unasema napenda ligi! SMH!Kizazi cha kupenda ligi
Madrid na Barcelona, Bayerm Munich na Borrusia Dortmund hizi timu zinatoka miji tofauti je nazo sio derby?Derby ni match between local revels, kwa maana timu zinazotoka kwenye mji mmoja au kitongoji kimoja. mechi yao ina qualified kuitwa derby.
kwa mfano
Arsenal vs Fulham ni London Derby
Arsenal vs Chelsea pia ni London derby.
Arsernal vs Spurs
Arsenal vs West ham
Hizi zote zinaitwa London Derby.
Man UTD na Liverpool ni watani na mahasimu wa Jadi, ila mechi yao haiitwi Derby.
Madrid na Barcelona, Bayerm Munich na Borrusia Dortmund hizi timu zinatoka miji tofauti je nazo sio derby?
Fc Porto mji wa Porto vs Benfica mji wa Lisbon, Dortmund B vs B Munich hizi ni nini? Hizo zote ziko miji tofauti tofauti na zimeorodheshwa ni moja kati ya derby kubwa ulayasio derby mkuu, madrid vs barca inaitwa el Clasico. Madrid vs Atletico ndio inaitwa derby.
Real Madrid na Barcelona zinatoka kitongoji kimoja? Nasubiria jibuNi wanatangaza biashara yao tu ikuwe ila ukizungumzia derby kama derby ;timu lazima zitoke kitongoji kimoja kwanza.
Mkuu, Azam ndio wanaolazimisha hiyo derby, Ni katika kuikuza timu yao.
Niseme ukweli hata mimi sipendezwi na hilo.
Derby ni mechi kati ya timu za mji mmoja.
Kuna London derby halafu kuna north London derby
London derby= arsenal VS chelsea
North London derby= arsenal VS Tottenham
Azam na simba ni Dar es Salaam derby
Simba vs Yanga ni Kariakoo derby
Kama ile timu ya African Lyon ingekuwa bado ipo ndio ingekuwa Mbagala derby kati ya Azam na African Lyon
There must be a rivaly between two teams.....ππ tunapenda ku complicate mambo ili tuonekane tu tunajua, huyo nae kaja na kitongoji kweli waelimishaji wanakazi.
Man U na Liver pia ni Derby, wanaitwa Northwest derby, uingereza ina mikoa 9 na moja ya Mikoa hio ni Northwest ambao ndani yake Kuna jiji la Manchester na LiverpoolDerby ni match between local revels, kwa maana timu zinazotoka kwenye mji mmoja au kitongoji kimoja. mechi yao ina qualified kuitwa derby.
kwa mfano
Arsenal vs Fulham ni London Derby
Arsenal vs Chelsea pia ni London derby.
Arsernal vs Spurs
Arsenal vs West ham
Hizi zote zinaitwa London Derby.
Man UTD na Liverpool ni watani na mahasimu wa Jadi, ila mechi yao haiitwi Derby.
Unatranslate Only on English basis na sio Football basis.swala la derby halina mahusiano na ukongwe, ni timu zinazotoka katika eneo moja, itategemea na mazingira ila iwe mji, iwe mkoa au hata mtaa.
tatizo lako wewe ni kuwa unachganya mambo mawili tofauti, katika team pinzani kwenye ligi na derby. Barcelona ni wapainzani wa real Madrid, ila derby yao ni na Espanyol mana ndio timu wanayotoka eneo moja.
Kama ulisoma shule na ukalipa ada rudi fasta kachukue ada yako mkuu, ulipigwa ππππDerby maana yake ni watani wa jadi? Au kuna maana tofauti na hiyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo kuna wajuaji mbuzi sanaaa πππππ tunapenda ku complicate mambo ili tuonekane tu tunajua, huyo nae kaja na kitongoji kweli waelimishaji wanakazi.
Unaweza leta reference ya hio definition?Kwa Mimi navyojua derby ni timu mbili zinazotoka mji/Jiji Moja, zenye historia Fulani, inaweza kuwa ya uhasama au jambo lolote lile,
Mechi ya yanga vs kmc huwezi sema ni derby kwakua hawana historia yoyote kati Yao hao wawili.
Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Wew akili zako zina shida,Hizo timu zote ni Kongwe, Azam ina umri kuingia kwenye ligi na kujifanya derby ya Simba na Yanga? Afadhali kina African Lyon na Pamba maana ni wakongwe pia ila siyo Azam ya juzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Real Madrid na Barcelona zinatoka kitongoji kimoja? Nasubiria jibu
Fc Porto mji wa Porto vs Benfica mji wa Lisbon, Dortmund B vs B Munich hizi ni nini? Hizo zote ziko miji tofauti tofauti na zimeorodheshwa ni moja kati ya derby kubwa ulaya