Hakuna derby kati ya Azam na Simba au Azam na Yanga!

Hakuna derby kati ya Azam na Simba au Azam na Yanga!

Derby ni match between local revels, kwa maana timu zinazotoka kwenye mji mmoja au kitongoji kimoja. mechi yao ina qualified kuitwa derby.
kwa mfano
Arsenal vs Fulham ni London Derby
Arsenal vs Chelsea pia ni London derby.
Arsernal vs Spurs
Arsenal vs West ham

Hizi zote zinaitwa London Derby.

Man UTD na Liverpool ni watani na mahasimu wa Jadi, ila mechi yao haiitwi Derby.
Hizo timu zote ni Kongwe, Azam ina umri kuingia kwenye ligi na kujifanya derby ya Simba na Yanga? Afadhali kina African Lyon na Pamba maana ni wakongwe pia ila siyo Azam ya juzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hizo timu zote ni Kongwe, Azam ina umri kuingia kwenye ligi na kujifanya derby ya Simba na Yanga? Afadhali kina African Lyon na Pamba maana ni wakongwe pia ila siyo Azam ya juzi

Sent using Jamii Forums mobile app

swala la derby halina mahusiano na ukongwe, ni timu zinazotoka katika eneo moja, itategemea na mazingira ila iwe mji, iwe mkoa au hata mtaa.

tatizo lako wewe ni kuwa unachganya mambo mawili tofauti, katika team pinzani kwenye ligi na derby. Barcelona ni wapainzani wa real Madrid, ila derby yao ni na Espanyol mana ndio timu wanayotoka eneo moja.
 
Derby ni match between local revels, kwa maana timu zinazotoka kwenye mji mmoja au kitongoji kimoja. mechi yao ina qualified kuitwa derby.
kwa mfano
Arsenal vs Fulham ni London Derby
Arsenal vs Chelsea pia ni London derby.
Arsernal vs Spurs
Arsenal vs West ham

Hizi zote zinaitwa London Derby.

Man UTD na Liverpool ni watani na mahasimu wa Jadi, ila mechi yao haiitwi Derby.
Madrid na Barcelona, Bayerm Munich na Borrusia Dortmund hizi timu zinatoka miji tofauti je nazo sio derby?
 
sio derby mkuu, madrid vs barca inaitwa el Clasico. Madrid vs Atletico ndio inaitwa derby.
Fc Porto mji wa Porto vs Benfica mji wa Lisbon, Dortmund B vs B Munich hizi ni nini? Hizo zote ziko miji tofauti tofauti na zimeorodheshwa ni moja kati ya derby kubwa ulaya
 
Mkuu, Azam ndio wanaolazimisha hiyo derby, Ni katika kuikuza timu yao.

Niseme ukweli hata mimi sipendezwi na hilo.

Wapigwe marfuku [emoji3] mbona uwanja wa mkapa aka kwa mchina iliwezekana.
 
Derby ni mechi kati ya timu za mji mmoja.
Kuna London derby halafu kuna north London derby

London derby= arsenal VS chelsea
North London derby= arsenal VS Tottenham

Azam na simba ni Dar es Salaam derby
Simba vs Yanga ni Kariakoo derby

Kama ile timu ya African Lyon ingekuwa bado ipo ndio ingekuwa Mbagala derby kati ya Azam na African Lyon

Mbona KMC haiwekwi kwenye derby? Au yenyewe inatokea pwani?
 
kwanza ujue maana ya derby ndo uandike uzi, hivi unajua Leeds United na Manchester United ndio derby halisi ya Manchester na sio United vs City??? haya vp kuhusu mafanikio ya United kwa Leeds ni sawa au City kwa Leeds ni sawa??
 
AZAM Media wasipo dhibitiwa wataleta vitu vya ovyo katika nchi.
 
😂😂 tunapenda ku complicate mambo ili tuonekane tu tunajua, huyo nae kaja na kitongoji kweli waelimishaji wanakazi.
There must be a rivaly between two teams.....
Na fans wake.
Uliko copy hiyo definition, soma vizuri
 
Derby ni match between local revels, kwa maana timu zinazotoka kwenye mji mmoja au kitongoji kimoja. mechi yao ina qualified kuitwa derby.
kwa mfano
Arsenal vs Fulham ni London Derby
Arsenal vs Chelsea pia ni London derby.
Arsernal vs Spurs
Arsenal vs West ham

Hizi zote zinaitwa London Derby.

Man UTD na Liverpool ni watani na mahasimu wa Jadi, ila mechi yao haiitwi Derby.
Man U na Liver pia ni Derby, wanaitwa Northwest derby, uingereza ina mikoa 9 na moja ya Mikoa hio ni Northwest ambao ndani yake Kuna jiji la Manchester na Liverpool
 
swala la derby halina mahusiano na ukongwe, ni timu zinazotoka katika eneo moja, itategemea na mazingira ila iwe mji, iwe mkoa au hata mtaa.

tatizo lako wewe ni kuwa unachganya mambo mawili tofauti, katika team pinzani kwenye ligi na derby. Barcelona ni wapainzani wa real Madrid, ila derby yao ni na Espanyol mana ndio timu wanayotoka eneo moja.
Unatranslate Only on English basis na sio Football basis.

Lazima kuwe na Rivary btn two teams.
History etc
Simba na Abajalo ni Derby?
Simba na Dar City?
Simba na KCMC?
Simba na Bombom?
 
😂😂 tunapenda ku complicate mambo ili tuonekane tu tunajua, huyo nae kaja na kitongoji kweli waelimishaji wanakazi.
Bongo kuna wajuaji mbuzi sanaaa 😂😂😂
 
Kwa Mimi navyojua derby ni timu mbili zinazotoka mji/Jiji Moja, zenye historia Fulani, inaweza kuwa ya uhasama au jambo lolote lile,

Mechi ya yanga vs kmc huwezi sema ni derby kwakua hawana historia yoyote kati Yao hao wawili.

Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
Unaweza leta reference ya hio definition?
Wabongo ujuaji halafu hakuna kitu mnajua
 
Hizo timu zote ni Kongwe, Azam ina umri kuingia kwenye ligi na kujifanya derby ya Simba na Yanga? Afadhali kina African Lyon na Pamba maana ni wakongwe pia ila siyo Azam ya juzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wew akili zako zina shida,
Nani kasema derby inaangalia history na mafanikio?
 
Fc Porto mji wa Porto vs Benfica mji wa Lisbon, Dortmund B vs B Munich hizi ni nini? Hizo zote ziko miji tofauti tofauti na zimeorodheshwa ni moja kati ya derby kubwa ulaya

mkuu, kuna derby za miji, kuna derby za mikoa, kuna derby za mitaa. Kwahiyo unatakiwa upeleleze makini usikurupuke.
 
Back
Top Bottom