Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

Nelson Jacob Kagame

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2022
Posts
9,576
Reaction score
13,545
Kuna kitu wauaji huwa wanajihisi"Upweke"sababu hakuna furaha kwenye kutoa roho ya mtu hasa pale mnapokutanisha macho kwa ghafla wakati wa tukio husika.

Anakutazama kwa macho ya kukuuliza "Kwanini mimi"? Hata unapomvizia kwa ghafla pale mwili wa binadamu anapoanguka chini unajihisi hatia, ukimwekea sumu utajihisi hatia, ukimpiga risasi utajihisi hatia and ect.

Nazungumzia aina zote za mauaji sababu ukitoa uhai wa mtu lazima hisia mkondo(Sindikizi) za uhai wake utazihisi. Hakuna furaha kwa wauaji hata kama hawajashiriki moja kwa moja, nafsi zao huwasuta.

Sijui Mungu aliumba vipi roho ya mwanadamu sababu ukifanya dhambi ya kuua lazima ukose amani ya moyo. Mungu sijui aliweka nini katika hili, wauaji huwa hawana furaha na amani maisha yao yote hata kama walichofanya ni siri.

Asilimia kubwa ya wauaji huwa wanajuta baadae kimoyo moyo kuhusu walichofanya.
 
Ukishazoea unaona kawaida. Watu wanaua, wanabanika kabisa na mchuzi wanakunywa. Hujawahi sikia kuna binadamu wanakula binadamu?

Hapo hapo wapo binadamu hawezi kutazama kuku akichinjwa, roho inamuuma ila akishapikwa anamla nyama vizuri tu.
 
Sio kila kuua ni dahambi na sio kila ya aliyeua ana furaha Kuna mauji ukikosa kuua ndio unakosa furaha na amani ila ukiua ndio unakuwa na furaha na amani tele

Kuna staution tatu(3) ambazo naweza kuua mtu na baada ya kuua nikafurahi na amani tele
1) Ukitaka kuondosha uanaume wangu/Manhood (kunirawiti) kwa njia yoyote either chuki/unidharirishe nk nikifanikiwa kupata kipande Cha ubapa/Zuna/Panga nakupelekea makali.

2) Ukitaka kuniua, ukiwa kwenye staution ya kuniua either mwizi umekuja unidhuru uniibie, chuki, migogoro nikikamata kishoka nakupelekea kweli sitanii

3) Ukitaka kuua wakaribi yangu (wazazi, wadogozangu, mke) nikikikamata kipande cha bisibisi napeleka shingoni
 
Ukishazoea unaona kawaida. Watu wanaua, wanabanika kabisa na mchuzi wanakunywa. Hujawahi sikia kuna binadamu wanakula binadamu? Hapo hapo wapo binadamu hawezi kutazama kuku akichinjwa, roho inamuuma ila akishapikwa anamla nyama vizuri tu.
Ushawahi kukaa na wauaji hasa kwenye nchi zenye mizozo? Kuna nyakati waga wanajihisi hatia kabisa kwa waliyoyafanya.Au ndio hawajazoea hali hiyo?
 
Sio kila kuua ni dahambi na sio kila ya aliyeua ana furaha Kuna mauji ukikosa kuua ndio unakosa furaha na amani ila ukiua ndio unakuwa na furaha na amani tele....
Hapa kama nakuelewa ila vipi ukiwa umetulia mwenyewe hujihisi hatia.Au unazungumzia vipi wale wauaji wa kukodiwa?
 
Ushawahi kukaa na wauaji hasa kwenye nchi zenye mizozo? Kuna nyakati waga wanajihisi hatia kabisa kwa waliyoyafanya.Au ndio hawajazoea hali hiyo?
Ubongo wa binadamu ni complicated sana. Wewe huli mende sababu tangu kuzaliwa umeufundisha ubongo mende haliwi ila kuna binadamu mwenzako anakula wabichi wabichi hata hawajachemshwa wakaiva vizuri, hapo hapo kuna mtu hependi akiona wadudu wanakufa, na anajisikia vibaya akikanyaga mende akafa.

Historia inaonyesha Kuna makabila yanakula nyama za watu, anakuchinja anakupaka chumvi usioze, watoto wakirudi kucheza anakata sehemu laini laini wale.

ACHILIA MBALI WALE WANAOKUUA SABABU NI WA DINI TOFAUTI, WALE WANAFURAHI KABISA.
 
Ubongo wa binadamu ni complicated sana. Wewe huli mende sababu tangu kuzaliwa umeufundisha ubongo mende haliwi ila kuna binadamu mwenzako anakula wabichi wabichi hata hawajachemshwa wakaiva vizuri, hapo hapo kuna mtu hependi akiona wadudu wanakufa, na anajisikia vibaya akikanyaga mende akafa.

Historia inaonyesha Kuna makabila yanakula nyama za watu, anakuchinja anakupaka chumvi usioze, watoto wakirudi kucheza anakata sehemu laini laini wale.

ACHILIA MBALI WALE WANAOKUUA SABABU NI WA DINI TOFAUTI, WALE WANAFURAHI KABISA.
Mkuu unaongea pointi.Vipi watu wanaokua vitani wanapigana??
 
Kuna kitu wauaji huwa wanajihisi"Upweke"sababu hakuna furaha kwenye kutoa roho ya mtu hasa pale mnapokutanisha macho kwa ghafla wakati wa tukio husika.

Anakutazama kwa macho ya kukuuliza "Kwanini mimi"? Hata unapomvizia kwa ghafla pale mwili wa binadamu anapoanguka chini unajihisi hatia, ukimwekea sumu utajihisi hatia, ukimpiga risasi utajihisi hatia and ect.

Nazungumzia aina zote za mauaji sababu ukitoa uhai wa mtu lazima hisia mkondo(Sindikizi) za uhai wake utazihisi. Hakuna furaha kwa wauaji hata kama hawajashiriki moja kwa moja, nafsi zao huwasuta.

Sijui Mungu aliumba vipi roho ya mwanadamu sababu ukifanya dhambi ya kuua lazima ukose amani ya moyo. Mungu sijui aliweka nini katika hili, wauaji huwa hawana furaha na amani maisha yao yote hata kama walichofanya ni siri.

Asilimia kubwa ya wauaji huwa wanajuta baadae kimoyo moyo kuhusu walichofanya.
Wakiua wanapewa mamiliono ya pesa wanaenda kutuliza nyoyo zao huko Dubai, Paris na USA.
 
Sio kila kuua ni dahambi na sio kila ya aliyeua ana furaha Kuna mauji ukikosa kuua ndio unakosa furaha na amani ila ukiua ndio unakuwa na furaha na amani tele

Kuna staution tatu(3) ambazo naweza kuua mtu na baada ya kuua nikafurahi na amani tele
1) Ukitaka kuondosha uanaume wangu/Manhood (kunirawiti) kwa njia yoyote either chuki/unidharirishe nk nikifanikiwa kupata kipande Cha ubapa/Zuna/Panga nakupelekea makali.

2) Ukitaka kuniua, ukiwa kwenye staution ya kuniua either mwizi umekuja unidhuru uniibie, chuki, migogoro nikikamata kishoka nakupelekea kweli sitanii

3) Ukitaka kuua wakaribi yangu (wazazi, wadogozangu, mke) nikikikamata kipande cha bisibisi napeleka shingoni

Kuna kuua makusudi kwa kudhulumu nafsi. Mfano mtu hana issue yoyote na wewe mara unaenda kumuua, lazima marehemu akuulize kwa nini umeniua? Kama ulitaka kumdhuru na katika kujitetea, nafsi yako inakuwa na jibu kuwa nimekuua ili kujilinda maana ulitaka udhulumu nafsi yangu bila kosa...
 
Back
Top Bottom