Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

Kumuona akipeta na mali na magari mazuri haimanishi ana furaha.

Sikiliza ushuhuda wa watu waliookoaka( confess) kutoka kwenye matukio kama hayo watakwambia ukweli wa hali halisi
Hao ni baadhi tu wengine hawana habari na wanaendelea kuua. Haya masuala ya damu ya marehemu itakufuata sijui karma kuna watu hakuna cha damu ya marehemu au karma. Wanaua na wanaendelea kuua kiasi kwamba akishaua wala hata hawazii tena.
Juzi nilikuwa ninaangalia iDX kuna mwanamama alikuwa anaua watu kwa kuwapa sumu kwa zaidi ya miaka 20, alimuua baba yake, akamuua babu yake, mume wake wa kwanza, jirani alikuja kukamatwa alipotaka kumuua mume wake wa pili. Na alikuwa ana watoto anaishi normal life kabisa hata rafiki zake wa karibu hawakuamini
 
Kuna kitu wauaji huwa wanajihisi"Upweke"sababu hakuna furaha kwenye kutoa roho ya mtu hasa pale mnapokutanisha macho kwa ghafla wakati wa tukio husika.

Anakutazama kwa macho ya kukuuliza "Kwanini mimi"? Hata unapomvizia kwa ghafla pale mwili wa binadamu anapoanguka chini unajihisi hatia, ukimwekea sumu utajihisi hatia, ukimpiga risasi utajihisi hatia and ect.

Nazungumzia aina zote za mauaji sababu ukitoa uhai wa mtu lazima hisia mkondo(Sindikizi) za uhai wake utazihisi. Hakuna furaha kwa wauaji hata kama hawajashiriki moja kwa moja, nafsi zao huwasuta.

Sijui Mungu aliumba vipi roho ya mwanadamu sababu ukifanya dhambi ya kuua lazima ukose amani ya moyo. Mungu sijui aliweka nini katika hili, wauaji huwa hawana furaha na amani maisha yao yote hata kama walichofanya ni siri.

Asilimia kubwa ya wauaji huwa wanajuta baadae kimoyo moyo kuhusu walichofanya.
Umewasahau wazinzi,nao wakimaliza lazima roho iwaume hata kama wametumia mipira
 
Hao ni baadhi tu wengine hawana habari na wanaendelea kuua. Haya masuala ya damu ya marehemu itakufuata sijui karma kuna watu hakuna cha damu ya marehemu au karma. Wanaua na wanaendelea kuua kiasi kwamba akishaua wala hata hawazii tena.
Juzi nilikuwa ninaangalia iDX kuna mwanamama alikuwa anaua watu kwa kuwapa sumu kwa zaidi ya miaka 20, alimuua baba yake, akamuua babu yake, mume wake wa kwanza, jirani alikuja kukamatwa alipotaka kumuua mume wake wa pili. Na alikuwa ana watoto anaishi normal life kabisa hata rafiki zake wa karibu hawakuamini
Na akili yake ilikua sawa huyo mama???
 
Hao ni baadhi tu wengine hawana habari na wanaendelea kuua. Haya masuala ya damu ya marehemu itakufuata sijui karma kuna watu hakuna cha damu ya marehemu au karma. Wanaua na wanaendelea kuua kiasi kwamba akishaua wala hata hawazii tena.
Juzi nilikuwa ninaangalia iDX kuna mwanamama alikuwa anaua watu kwa kuwapa sumu kwa zaidi ya miaka 20, alimuua baba yake, akamuua babu yake, mume wake wa kwanza, jirani alikuja kukamatwa alipotaka kumuua mume wake wa pili. Na alikuwa ana watoto anaishi normal life kabisa hata rafiki zake wa karibu hawakuamini
😅😅hao washakuwa mashetani kamili. Hawana pahali Mbunguni kwa Baba. Hawana tena fursa ya Neema ya Kristo.
 
Ila hali yake kiakili ni kama hayupo sawa akikumbuka ule ukatili aliyomfanyie yule mzee.Au unamaanisha anapeta kivipi??
Yule mama ana roho ngumu huenda hata si mara ya kwanza kupanga mauaji ya mtu. Na yule sijui gavana wa county gani yule alimuua girl friend wake baada ya kugundua ana mimba na hataki kuitos na anataka kutangaza kernye vyombo vya habari. Ila afrika ukiwa na pesa you just get away eith murder
 
Yule mama ana roho ngumu huenda hata si mara ya kwanza kupanga mauaji ya mtu. Na yule sijui gavana wa county gani yule alimuua girl friend wake baada ya kugundua ana mimba na hataki kuitos na anataka kutangaza kernye vyombo vya habari. Ila afrika ukiwa na pesa you just get away eith murder
Na kesi MAHAKAMANI zilikuaje mkuu??
 
Kuna kitu wauaji huwa wanajihisi"Upweke"sababu hakuna furaha kwenye kutoa roho ya mtu hasa pale mnapokutanisha macho kwa ghafla wakati wa tukio husika.

Anakutazama kwa macho ya kukuuliza "Kwanini mimi"? Hata unapomvizia kwa ghafla pale mwili wa binadamu anapoanguka chini unajihisi hatia, ukimwekea sumu utajihisi hatia, ukimpiga risasi utajihisi hatia and ect.

Nazungumzia aina zote za mauaji sababu ukitoa uhai wa mtu lazima hisia mkondo(Sindikizi) za uhai wake utazihisi. Hakuna furaha kwa wauaji hata kama hawajashiriki moja kwa moja, nafsi zao huwasuta.

Sijui Mungu aliumba vipi roho ya mwanadamu sababu ukifanya dhambi ya kuua lazima ukose amani ya moyo. Mungu sijui aliweka nini katika hili, wauaji huwa hawana furaha na amani maisha yao yote hata kama walichofanya ni siri.

Asilimia kubwa ya wauaji huwa wanajuta baadae kimoyo moyo kuhusu walichofanya.
Je Magufuli alijisikiaje baada ya kuwaua akina Ben Saanane na Azory Gwanda?

Halafu sijui baada kufeli kumuua Tundu Lissu alijionaje?
 
Back
Top Bottom