Qualtrics
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 272
- 388
Cold blood killersHapo Wachanye Kbs na Wanaofanya abortion...!
Hawa pia ni Wauaji..!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cold blood killersHapo Wachanye Kbs na Wanaofanya abortion...!
Hawa pia ni Wauaji..!
Nazungumzia amani ya moyo mkuuWakiua wanapewa mamiliono ya pesa wanaenda kutuliza nyoyo zao huko Dubai, Paris na USA.
Hao ni baadhi tu wengine hawana habari na wanaendelea kuua. Haya masuala ya damu ya marehemu itakufuata sijui karma kuna watu hakuna cha damu ya marehemu au karma. Wanaua na wanaendelea kuua kiasi kwamba akishaua wala hata hawazii tena.Kumuona akipeta na mali na magari mazuri haimanishi ana furaha.
Sikiliza ushuhuda wa watu waliookoaka( confess) kutoka kwenye matukio kama hayo watakwambia ukweli wa hali halisi
Dada zetu wanaofanya abortion???Cold blood killers
Umewasahau wazinzi,nao wakimaliza lazima roho iwaume hata kama wametumia mipiraKuna kitu wauaji huwa wanajihisi"Upweke"sababu hakuna furaha kwenye kutoa roho ya mtu hasa pale mnapokutanisha macho kwa ghafla wakati wa tukio husika.
Anakutazama kwa macho ya kukuuliza "Kwanini mimi"? Hata unapomvizia kwa ghafla pale mwili wa binadamu anapoanguka chini unajihisi hatia, ukimwekea sumu utajihisi hatia, ukimpiga risasi utajihisi hatia and ect.
Nazungumzia aina zote za mauaji sababu ukitoa uhai wa mtu lazima hisia mkondo(Sindikizi) za uhai wake utazihisi. Hakuna furaha kwa wauaji hata kama hawajashiriki moja kwa moja, nafsi zao huwasuta.
Sijui Mungu aliumba vipi roho ya mwanadamu sababu ukifanya dhambi ya kuua lazima ukose amani ya moyo. Mungu sijui aliweka nini katika hili, wauaji huwa hawana furaha na amani maisha yao yote hata kama walichofanya ni siri.
Asilimia kubwa ya wauaji huwa wanajuta baadae kimoyo moyo kuhusu walichofanya.
Na akili yake ilikua sawa huyo mama???Hao ni baadhi tu wengine hawana habari na wanaendelea kuua. Haya masuala ya damu ya marehemu itakufuata sijui karma kuna watu hakuna cha damu ya marehemu au karma. Wanaua na wanaendelea kuua kiasi kwamba akishaua wala hata hawazii tena.
Juzi nilikuwa ninaangalia iDX kuna mwanamama alikuwa anaua watu kwa kuwapa sumu kwa zaidi ya miaka 20, alimuua baba yake, akamuua babu yake, mume wake wa kwanza, jirani alikuja kukamatwa alipotaka kumuua mume wake wa pili. Na alikuwa ana watoto anaishi normal life kabisa hata rafiki zake wa karibu hawakuamini
😅😅hao washakuwa mashetani kamili. Hawana pahali Mbunguni kwa Baba. Hawana tena fursa ya Neema ya Kristo.Hao ni baadhi tu wengine hawana habari na wanaendelea kuua. Haya masuala ya damu ya marehemu itakufuata sijui karma kuna watu hakuna cha damu ya marehemu au karma. Wanaua na wanaendelea kuua kiasi kwamba akishaua wala hata hawazii tena.
Juzi nilikuwa ninaangalia iDX kuna mwanamama alikuwa anaua watu kwa kuwapa sumu kwa zaidi ya miaka 20, alimuua baba yake, akamuua babu yake, mume wake wa kwanza, jirani alikuja kukamatwa alipotaka kumuua mume wake wa pili. Na alikuwa ana watoto anaishi normal life kabisa hata rafiki zake wa karibu hawakuamini
Hapa ni kweli hujakoseaUmewasahau wazinzi,nao wakimaliza lazima roho iwaume hata kama wametumia mipira
Yule mama ana roho ngumu huenda hata si mara ya kwanza kupanga mauaji ya mtu. Na yule sijui gavana wa county gani yule alimuua girl friend wake baada ya kugundua ana mimba na hataki kuitos na anataka kutangaza kernye vyombo vya habari. Ila afrika ukiwa na pesa you just get away eith murderIla hali yake kiakili ni kama hayupo sawa akikumbuka ule ukatili aliyomfanyie yule mzee.Au unamaanisha anapeta kivipi??
Hata hii ipo. Ukishakojoa tu unajiona mjinga.Umewasahau wazinzi,nao wakimaliza lazima roho iwaume hata kama wametumia mipira
Au ni wagonjwa wa akili??😅😅hao washakuwa mashetani kamili. Hawana pahali Mbunguni kwa Baba. Hawana tena fursa ya Neema ya Kristo.
Na unajihisi hatia kuziniHata hii ipo. Ukishakojoa tu unajiona mjinga.
Na kesi MAHAKAMANI zilikuaje mkuu??Yule mama ana roho ngumu huenda hata si mara ya kwanza kupanga mauaji ya mtu. Na yule sijui gavana wa county gani yule alimuua girl friend wake baada ya kugundua ana mimba na hataki kuitos na anataka kutangaza kernye vyombo vya habari. Ila afrika ukiwa na pesa you just get away eith murder
Yes, mpaka leo watoto wake ni watu wazima na hata wakati anakamatwa walikuwa tayari watu wazima na hawataki kuamini kama mama yao alifanya hayoNa akili yake ilikua sawa huyo mama???
Dada zetu eeh??Hapo Wachanye Kbs na Wanaofanya abortion...!
Hawa pia ni Wauaji..!
Huwa danadana nyingi wanakamatwa na kuachiwa hata huyo mjane wa cohen familia iliweka pingamizi asiwe na access na mali za marehemu kwanza lakini akapewa na akatumia vzuri kutuliza kesi.Na kesi MAHAKAMANI zilikuaje mkuu??
Du hili nalo"Neno"Ufumaniwe na mke wa mtu ndo utajua kama .wauaji huwa wanakuwa na furaha ..
Nani mkuu😃😃🤣🤣Mimi siwezi😎😎😎😃😃😃 Ajaribu tuone.
Je Magufuli alijisikiaje baada ya kuwaua akina Ben Saanane na Azory Gwanda?Kuna kitu wauaji huwa wanajihisi"Upweke"sababu hakuna furaha kwenye kutoa roho ya mtu hasa pale mnapokutanisha macho kwa ghafla wakati wa tukio husika.
Anakutazama kwa macho ya kukuuliza "Kwanini mimi"? Hata unapomvizia kwa ghafla pale mwili wa binadamu anapoanguka chini unajihisi hatia, ukimwekea sumu utajihisi hatia, ukimpiga risasi utajihisi hatia and ect.
Nazungumzia aina zote za mauaji sababu ukitoa uhai wa mtu lazima hisia mkondo(Sindikizi) za uhai wake utazihisi. Hakuna furaha kwa wauaji hata kama hawajashiriki moja kwa moja, nafsi zao huwasuta.
Sijui Mungu aliumba vipi roho ya mwanadamu sababu ukifanya dhambi ya kuua lazima ukose amani ya moyo. Mungu sijui aliweka nini katika hili, wauaji huwa hawana furaha na amani maisha yao yote hata kama walichofanya ni siri.
Asilimia kubwa ya wauaji huwa wanajuta baadae kimoyo moyo kuhusu walichofanya.