Sio kila kuua ni dahambi na sio kila ya aliyeua ana furaha Kuna mauji ukikosa kuua ndio unakosa furaha na amani ila ukiua ndio unakuwa na furaha na amani tele
Kuna staution tatu(3) ambazo naweza kuua mtu na baada ya kuua nikafurahi na amani tele
1) Ukitaka kuondosha uanaume wangu/Manhood (kunirawiti) kwa njia yoyote either chuki/unidharirishe nk nikifanikiwa kupata kipande Cha ubapa/Zuna/Panga nakupelekea makali.
2) Ukitaka kuniua, ukiwa kwenye staution ya kuniua either mwizi umekuja unidhuru uniibie, chuki, migogoro nikikamata kishoka nakupelekea kweli sitanii
3) Ukitaka kuua wakaribi yangu (wazazi, wadogozangu, mke) nikikikamata kipande cha bisibisi napeleka shingoni