Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
- #101
Na kwenye siasa bado yumo??Ya yule gavana ndo kabisa ilikuwa wazi wazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kwenye siasa bado yumo??Ya yule gavana ndo kabisa ilikuwa wazi wazi
Hapana nimezungumza haya baada ya kuiangalia CCTV ya mauaji ya A.K.A pale mgahawani DurbanPole sana mkuuu..umeua kwa makusudi au bahati mbaya.Nenda kaombe toba kisha uwajibikie makosa yako angalau utapata nafuu..
Ila baada ya tukio unaanza kujitafakari.Abortion nayo ni uuaji wa chini chini.Hivi dada zetu hawajihisi hatia kufanya abortion??Hapa tunalengwa Sana akina sisi ila Kuna Hawa dada zetu wanao-shangaa Bibi zao kuwa na watoto kumi Huku wao wametoa mimba Hadi 8 ktk umri wa U25 na Bado hajazaa.
Ubongo ukiwa Altered unafanya lolote bila kujali Mana no room for reasoning kwa muda Huo.
Yah yumo tu. Sema si Afrika tu kuna mdada fulani dalili zote zinaonyesha aliuawa na senator wa Marekani enzi za Bush lakini ushahidi ulipindishwa akafungwa mhamiaji haramu ila na yeye alikuja kuachiwa baada ya sauti za aliyekywa shahidi mkubwa kwenye ile kesi ambaye naye alikuwa mfungwa kuvuja akijitapa kuwa alimsingizia yule kijanaNa kwenye siasa bado yumo??
Ushawahi kukaa na wauaji hasa kwenye nchi zenye mizozo? Kuna nyakati waga wanajihisi hatia kabisa kwa waliyoyafanya.Au ndio hawajazoea hali hiyo?
Dada zetu kumfyagia mtu asiye na namba ya NIDA kwao sio less Kaka.Ila baada ya tukio unaanza kujitafakari.Abortion nayo ni uuaji wa chini chini.Hivi dada zetu hawajihisi hatia kufanya abortion??
Rudia kusoma mkuuSio kila kuua ni dahambi na sio kila ya aliyeua ana furaha Kuna mauji ukikosa kuua ndio unakosa furaha na amani ila ukiua ndio unakuwa na furaha na amani tele
Kuna staution tatu(3) ambazo naweza kuua mtu na baada ya kuua nikafurahi na amani tele
1) Ukitaka kuondosha uanaume wangu/Manhood (kunirawiti) kwa njia yoyote either chuki/unidharirishe nk nikifanikiwa kupata kipande Cha ubapa/Zuna/Panga nakupelekea makali.
2) Ukitaka kuniua, ukiwa kwenye staution ya kuniua either mwizi umekuja unidhuru uniibie, chuki, migogoro nikikamata kishoka nakupelekea kweli sitanii
3) Ukitaka kuua wakaribi yangu (wazazi, wadogozangu, mke) nikikikamata kipande cha bisibisi napeleka shingoni
Hapa nakupoteza kiroho safi kabisa wala siwezi kufeel guility.1) Ukitaka kuondosha uanaume wangu/Manhood (kunirawiti) kwa njia yoyote either chuki/unidharirishe nk nikifanikiwa kupata kipande Cha ubapa/Zuna/Panga nakupelekea makali.
2) Ukitaka kuniua, ukiwa kwenye staution ya kuniua either mwizi umekuja unidhuru uniibie, chuki, migogoro nikikamata kishoka nakupelekea kweli sitanii
3) Ukitaka kuua wakaribi yangu (wazazi, wadogozangu, mke) nikikikamata kipande cha bisibisi napeleka shingoni
Na jamaa walimlipa fidia au???Na yule seneta akakamatwa????Afrika tuna namna yetu upo sahii kakaYah yumo tu. Sema si Afrika tu kuna mdada fulani dalili zote zinaonyesha aliuawa na senator wa Marekani enzi za Bush lakini ushahidi ulipindishwa akafungwa mhamiaji haramu ila na yeye alikuja kuachiwa baada ya sauti za aliyekywa shahidi mkubwa kwenye ile kesi ambaye naye alikuwa mfungwa kuvuja akijitapa kuwa alimsingizia yule kijana
Si mungu anasema tusamehe mkuu???Hapa nakupoteza kiroho safi kabisa wala siwezi kufeel guility.
Kivipi kaka???Hili andiko limejaa fallacy na uongo
Karibu uchangie mkuuRudia kusoma mkuu
Hivi viongozi wa kisiasa au kinchi hawajisikii hatia ikitokea hali hii???
Sio confortable. Proud. Katika ubongo wao wameamini kuua adui ni jambo la kujivunia.Na wanajifeel comfortable after that???
Dada zetu ni makatili basiDada zetu kumfyagia mtu asiye na namba ya NIDA kwao sio less Kaka.
Wanaofikiria Ni haoa ambao Wana Id Moja na haijavunjika kufikia hatua ya kusahau wanachokifanya hata Kama nincha kuumiza mtu
Hapana walimdeport kumrudisha kwao. Senator hakuwahi kushitakiwa kabisa na polisi wanadai sio suspect ila private investigator na dereva wa zamani wa senator na yule kijana akiyekuwa deported wanaamini aliyemuua yule mrembo ni senator.Na jamaa walimlipa fidia au???Na yule seneta akakamatwa????Afrika tuna namna yetu upo sahii kaka
Hali hiyo wanaenda nayo mpaka uzeeni au??Sio confortable. Proud. Katika ubongo wao wameamini kuua adui ni jambo la kujivunia.