Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

Hapa tunalengwa Sana akina sisi ila Kuna Hawa dada zetu wanao-shangaa Bibi zao kuwa na watoto kumi Huku wao wametoa mimba Hadi 8 ktk umri wa U25 na Bado hajazaa.
Ubongo ukiwa Altered unafanya lolote bila kujali Mana no room for reasoning kwa muda Huo.
 
Hapa tunalengwa Sana akina sisi ila Kuna Hawa dada zetu wanao-shangaa Bibi zao kuwa na watoto kumi Huku wao wametoa mimba Hadi 8 ktk umri wa U25 na Bado hajazaa.
Ubongo ukiwa Altered unafanya lolote bila kujali Mana no room for reasoning kwa muda Huo.
Ila baada ya tukio unaanza kujitafakari.Abortion nayo ni uuaji wa chini chini.Hivi dada zetu hawajihisi hatia kufanya abortion??
 
Na kwenye siasa bado yumo??
Yah yumo tu. Sema si Afrika tu kuna mdada fulani dalili zote zinaonyesha aliuawa na senator wa Marekani enzi za Bush lakini ushahidi ulipindishwa akafungwa mhamiaji haramu ila na yeye alikuja kuachiwa baada ya sauti za aliyekywa shahidi mkubwa kwenye ile kesi ambaye naye alikuwa mfungwa kuvuja akijitapa kuwa alimsingizia yule kijana
 
Ila baada ya tukio unaanza kujitafakari.Abortion nayo ni uuaji wa chini chini.Hivi dada zetu hawajihisi hatia kufanya abortion??
Dada zetu kumfyagia mtu asiye na namba ya NIDA kwao sio less Kaka.

Wauaji Wanaofikiria Ni hawa ambao Wana Id Moja na haijavunjika kufikia hatua ya kusahau wanachokifanya hata Kama ni cha kuumiza mtu
 
Na zinadunda tu...

Na zikitubu zinakwenda mbinguni...

Fumbo!
Screenshot_20230214-130214.jpg
 
Sio kila kuua ni dahambi na sio kila ya aliyeua ana furaha Kuna mauji ukikosa kuua ndio unakosa furaha na amani ila ukiua ndio unakuwa na furaha na amani tele

Kuna staution tatu(3) ambazo naweza kuua mtu na baada ya kuua nikafurahi na amani tele
1) Ukitaka kuondosha uanaume wangu/Manhood (kunirawiti) kwa njia yoyote either chuki/unidharirishe nk nikifanikiwa kupata kipande Cha ubapa/Zuna/Panga nakupelekea makali.

2) Ukitaka kuniua, ukiwa kwenye staution ya kuniua either mwizi umekuja unidhuru uniibie, chuki, migogoro nikikamata kishoka nakupelekea kweli sitanii

3) Ukitaka kuua wakaribi yangu (wazazi, wadogozangu, mke) nikikikamata kipande cha bisibisi napeleka shingoni
Rudia kusoma mkuu
 
1) Ukitaka kuondosha uanaume wangu/Manhood (kunirawiti) kwa njia yoyote either chuki/unidharirishe nk nikifanikiwa kupata kipande Cha ubapa/Zuna/Panga nakupelekea makali.

2) Ukitaka kuniua, ukiwa kwenye staution ya kuniua either mwizi umekuja unidhuru uniibie, chuki, migogoro nikikamata kishoka nakupelekea kweli sitanii

3) Ukitaka kuua wakaribi yangu (wazazi, wadogozangu, mke) nikikikamata kipande cha bisibisi napeleka shingoni
Hapa nakupoteza kiroho safi kabisa wala siwezi kufeel guility.
 
Yah yumo tu. Sema si Afrika tu kuna mdada fulani dalili zote zinaonyesha aliuawa na senator wa Marekani enzi za Bush lakini ushahidi ulipindishwa akafungwa mhamiaji haramu ila na yeye alikuja kuachiwa baada ya sauti za aliyekywa shahidi mkubwa kwenye ile kesi ambaye naye alikuwa mfungwa kuvuja akijitapa kuwa alimsingizia yule kijana
Na jamaa walimlipa fidia au???Na yule seneta akakamatwa????Afrika tuna namna yetu upo sahii kaka
 
Dada zetu kumfyagia mtu asiye na namba ya NIDA kwao sio less Kaka.

Wanaofikiria Ni haoa ambao Wana Id Moja na haijavunjika kufikia hatua ya kusahau wanachokifanya hata Kama nincha kuumiza mtu
Dada zetu ni makatili basi
 
Na jamaa walimlipa fidia au???Na yule seneta akakamatwa????Afrika tuna namna yetu upo sahii kaka
Hapana walimdeport kumrudisha kwao. Senator hakuwahi kushitakiwa kabisa na polisi wanadai sio suspect ila private investigator na dereva wa zamani wa senator na yule kijana akiyekuwa deported wanaamini aliyemuua yule mrembo ni senator.
Senator inaelekea alimuua kuficha uhusiano wao maana alikuwa binti wa kiaka 21 wakati senator ana umri mkubwa
 
Back
Top Bottom