Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

Mimi nadhani kuua ni kuua tu na hakuna kinachofanya mauaji ya mwanadamu mwingine yawe halali.
 
Jamaa alimpiga risasi tajiri, huku akitapatapa akamkazia macho na kusema kwa uchungu " Fulani ni wewe kweli unaniuwa sababu ya pesa?" Akakata roho, ila muuwaji mpaka Leo anapeta na pesa ya huyo tajiri. Kisa kilitokea huko Kenya.
 
@william ruto kwani uongo [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mnakuwaga wakakamavu hivi hivi ila baada ya kutekeleza tukio kila siku kanisani kuitafuta amani ambayo kimsingi hutaipata mpaka unakufa.

Kuua binadamu ni complex issue
Hapa ndicho nachomaanisha kaka.Nilimuona Eric Holder alipoenda mahakamani baada ya kumuua Nipsey Hustle ,alikua hana amani ya moyo hata kwa kumtazama machoni.Lakini wakati anafanya mauaji yale alikua anajifeel shujaa nobody can look down on him.
 
Jamaa alimpiga risasi tajiri, huku akitapatapa akamkazia macho na kusema kwa uchungu " Fulani ni wewe kweli unaniuwa sababu ya pesa?" Akakata roho, ila muuwaji mpaka Leo anapeta na pesa ya huyo tajiri. Kisa kilitokea huko Kenya.
Sidhani kama ana amani ya moyo???
 
Walio idhinisha mtu kama sadamu anyongwe huwa wanajionaje na wale wanyongaji wanaomnyonga mtu ambaye video zake zimetapakaa
 
Siamini katika jambo hili. Watu wanaua na wanasonga tu na maisha yao wanakula bata tu.
Kuna watu wameua watu wengi halafu hata hawawazii kuhusu hilo.
Nmeshawahi kuona mahojiano ya mabosi wa mexican drug cartels walioko gerezani, wala hakuna wanachojutia wala kuota. Wengine ambao ni hitmen wanakwambia wao walikuwa wanaona kama kazi tu na ukipewa kazi lazima uitimize, ukitumwa kuua lazima utimize huna haja ya kufikiri
 
Japo mimi sio mjuzi ila kuna watu wanachukuliwa tangia wadogo wanakuwa trained wawe assasins / hitmen ..wanaondolewa na kufutwa kabisa roho kwenye kitu kinaitwa upendo, huruma wala hatia tangu wakiwa na umri mdogo ..Muda ukiwa mkubwa unafikiri atahisi nini anapotekeleza jukumu lake. .. ni wewe na mm tu ndo tutahisi hatia ila kuna wauni wanaona kama kaua panya.
 
Ila kuna vipindi wanajihisi hatia.Au ukiua na akili zinavurugiks na kila kitu unaona sawa??
 
Just imagine yule mke wa Cohen yule bilionea mdutch aliyeuawa na yule mama wa kikenya na kutupa maiti yake kwenye septic tank.
Si yupo anapeta na mali kachukua hana habari wa hajutii
Ila hali yake kiakili ni kama hayupo sawa akikumbuka ule ukatili aliyomfanyie yule mzee.Au unamaanisha anapeta kivipi??
 
Just imagine yule mke wa Cohen yule bilionea mdutch aliyeuawa na yule mama wa kikenya na kutupa maiti yake kwenye septic tank.
Si yupo anapeta na mali kachukua hana habari wa hajutii
Kumuona akipeta na mali na magari mazuri haimanishi ana furaha.

Sikiliza ushuhuda wa watu waliookoaka( confess) kutoka kwenye matukio kama hayo watakwambia ukweli wa hali halisi
 
Una pointi mkuu,ila hata wale assasins pia wana hisia.Au wapo tofauti kidogo na binadamu wengine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…