Hakuna furaha kwenye uuaji, damu ya binadamu ina roho

Wanaua bila purpose ndo wanapatwa na hayo uliyoyasema ila wanaoua kwa justifiable reasons kama uhai wa watu wengine hao hata hawasumbuki.....Guilty ndo inayomaliza sasa ukiwa umeua ligaidi utapata wapi guilty
Kwani mkuu,kuua si kuua tu au???
 
Ukute bro ushawahi kuua ndio mana umedadavua majuto baada ya tukio
Hapana sijaua sema nimepoteza most of my bro,s in 1990,s through gang's violence.So i real wonder how gang banger,s feel(Sad or Happy)when they kill.You kill somebody and you will never go over it.Kama umekulia nje ya Tanzania hasa kwenye miji kama Toronto au South Central L.A au Chicago inner city au Boston unaweza kidogo kupata picha nachosema kuhusu mauaji i mean (Gang's Violence's).
 
Umeshaua mtu sio bure[emoji1787]
 
Hamna kitu hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…