Hakuna Gari za moja Kwa moja Iringa to Geita zinazopitia Kahama?

Hakuna Gari za moja Kwa moja Iringa to Geita zinazopitia Kahama?

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2018
Posts
28,297
Reaction score
68,017
Kwema Wakuu!

Hivi hakuna Gari za moja Kwa moja kutokea Iringa au Njombe au Mbeya zinazoelekea Geita kupitia Kahama?

Au ni Basi gani ambalo linapita Dodoma mida ya saa nane au saa tisa mchana likielekea Geita ya Kahama kutokea Dar es salaam?

Majibu tafadhali!
 
Back
Top Bottom