Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaNashkuru kuzaliwa Muislamu
katika Uislamu hili ni jambo dogo sanaaa wala halihitaji complication ya aina yyte ile
Kamuulize Sheikh yyte yule alosoma dini vizuri hilo suala halina complication yyte ile kwenye Uislamu
Uislamu ni dini yangu
Am proud to be Muslim
Nikushukuru kwa ufafanuzi mzuri. Kupitia ufafanuzi huu bado ninayaona mapungufu ktk sheria ya mirathi na wosia.Inapotokea sheria hizi haijafuatwa na mtu amabaye ndio anaandika wosia huweza kupelekea wosia huo kukataliwa na mahakama,
Baadhi ya sababu hizo ni
- kuto kumtaka msimamizi wa mirathi
-Kutokutaka mali zako zote.
-Kutokutaja Watoto/ Mama kama warithi
-Kutokuwa na umri unaoruhusiwa 18+
-Kutokuwa katika hali ya utimamu wa akili wakati ukiandika Wosia (Example mengi case)
- kutokufuata utaratibu wa uandishia wa wosia (example Muslim hutakiwi kuweka mali zako zote Wakfi lazima kiasi cha mali kibaki kwa ajili ya familia.
Na wewe tafuta zako why utake za marehemu? Maana kama ni kuchangia utajiri wa marehemu ndugu pia wanachangia sanaNdugu....watafute zao. Kwann washobokee mali za marehemu?
Wazazi ......hawa muda wao wa kuishi umeisha. Mali wapewe za nn?
Watoto....wale wenye miaka chini ya 25 wapewe kwa kadri marehemu alivyowmua. Lkn watoto wenye miaka 25+ wasipewe hata senti. Wapambane kivyao.
Hata Mimi silipendi Hilo neno la kirumi baya Sana.Hata Yesu kristo wao humuita Yesu Kristu.Wote wawili ni wachache sana Tanzania!