Imani ni fumbo. Azory aliyekufa hakuwa na mungu ila Lissu aliyekuwa na Mungu alipona 😂😂 punguani wewe. Wazuri wengi walishaenda tena wakiwa bado wanahitajika japo si kwa kila mtu bali walioona kwa upeo wao kuwa walistahili kuwepo. Karume, sokoine n.k leo kwa Magu ndo iwe maombi ya wewe yeye kufariki.