Wewe wasemaHii ni hatua inayofikiwa na walioshindwa ili kuzima hoja na kukwepa kujibu kilichoongelewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe wasemaHii ni hatua inayofikiwa na walioshindwa ili kuzima hoja na kukwepa kujibu kilichoongelewa.
Sinasema maombi ya mimi, nimesema maombi ya Watanzania waluo wengiImani ni fumbo. Azory aliyekufa hakuwa na mungu ila Lissu aliyekuwa na Mungu alipona 😂😂 punguani wewe. Wazuri wengi walishaenda tena wakiwa bado wanahitajika japo si kwa kila mtu bali walioona kwa upeo wao kuwa walistahili kuwepo. Karume, sokoine n.k leo kwa Magu ndo iwe maombi ya wewe yeye kufariki.
Kwa sensa gani uliyoifanya. Ukiona mnatumia nguvu kumchafua mtu ujue aliwashinda kwa vingi. Mnalazimisha kuonekana wengi huku ni genge la wachache tu. Ni rahisi tu, weka picha ya magu na lissu apige kampeni tena halafu watu wakapoge kura uone picha itakavyowinSinasema maombi ya mimi, nimesema maombi ya Watanzania waluo wengi
So kama unayosema ni kweli ilikuwaje Jiwe akaiba kura? Kumbuka mchafu hachafukiK
Kwa sensa gani uliyoifanya. Ukiona mnatumia nguvu kumchafua mtu ujue aliwashinda kwa vingi. Mnalazimisha kuonekana wengi huku ni genge la wachache tu. Ni rahisi tu, weka picha ya magu na lissu apige kampeni tena halafu watu wakapoge kura uone picha itakavyowin
Hakuiba kura ni udhaifu wa taratibu za uchaguzi tu. Pambanieni katiba na tume huru tu maana yeye aliwaonesha uwazi wa uchaguzi unavyoweza kuwa kama wakiamua.So kama unayosema ni kweli ilikuwaje Jiwe akaiba kura? Kumbuka mchafu hachafuki