Hakuna hata mtu mmoja aliyeweza kurekodi video clip ya mtu akitekwa ?

Hakuna hata mtu mmoja aliyeweza kurekodi video clip ya mtu akitekwa ?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
48,475
Reaction score
70,102
Inawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?!

Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa kurekodi video ya wasiojulikana wakiteka raia? Mbona kuna video nyingi sana mtandaoni za ngono"connection" zinazorekodiwa kwa siri katika mazingira magumu sana kuchukua video? Au ndio kusema akili za raia wengi zimetawaliwa na ngono zaidi?!
 
Inawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?!

Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa kurekodi video ya wasiojulikana wakiteka raia? Mbona kuna video nyingi sana mtandaoni za ngono"connection" zinazorekodiwa kwa siri katika mazingira magumu sana kuchukua video? Au ndio kusema akili za raia wengi zimetawaliwa na ngono zaidi?!

Hukusikia mkwara wa wakora wenye bunduki tata ulihusisha mtu kutokutikisika wala kutumia simu?
 
Inawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?!

Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa kurekodi video ya wasiojulikana wakiteka raia? Mbona kuna video nyingi sana mtandaoni za ngono"connection" zinazorekodiwa kwa siri katika mazingira magumu sana kuchukua video? Au ndio kusema akili za raia wengi zimetawaliwa na ngono zaidi?!
Wako bize insta na facebook kwenye page za umbea
 
Tatzo ni kwamba atakaetoa hyo video hana uhakika wa usalama wake mkuu ooh
 
Ni uoga tu wa raia uliopitiliza, wala hakuna mtu angeweza kupigwa risasi hadharani katika mazingira kama hayo.

Ungekuwapo pale wewe ungepiga?

Si bora ungejiuliza kwanini wenye basi wakimjua vyema mzee yule hawakupeleka bus japo polisi?
 
Ni ujinga mtupu, vijana kazi ya kubwa ni kurekodi tu makalio makubwa ya wanawake.

Siyo kuwa ungetupa lolote la maana ulilokwisha kufanya ndugu kabla ya kuona vibanzi kwenye macho ya wenzako usioyajua hata mazingira yao yalivyokuwa?
 
Abiria wangepaswa kukataa mtu kushushwa kabla ya kupewa sababa za kuridhisha, mda wa kuuliza maswali ni mda mwafaka wa kuchukuwa video.
Wewe ungeweza yaani defender mbili na watu wana smg uanze kubisha nao..na wamejitambulisha ni polisi ?
 
Inawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?!

Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa kurekodi video ya wasiojulikana wakiteka raia? Mbona kuna video nyingi sana mtandaoni za ngono"connection" zinazorekodiwa kwa siri katika mazingira magumu sana kuchukua video? Au ndio kusema akili za raia wengi zimetawaliwa na ngono zaidi?!
Bus lilikuwa cctv sijui dereva hakujua namna ya kuziwasha
 
Inawezekana zipo ikiwepo Tume huru ya uchunguzi watazitoa.
Inawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?!

Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa kurekodi video ya wasiojulikana wakiteka raia? Mbona kuna video nyingi sana mtandaoni za ngono"connection" zinazorekodiwa kwa siri katika mazingira magumu sana kuchukua video? Au ndio kusema akili za raia wengi zimetawaliwa na ngono zaidi?!
 
Abiria wangepaswa kukataa mtu kushushwa kabla ya kupewa sababa za kuridhisha, mda wa kuuliza maswali ni mda mwafaka wa kuchukuwa video.
Wewe unaweza kuanzisha hilo mbele ya mtutu?
Tena huna uhakika kama wenzako wataku support.
 
Back
Top Bottom