Hakuna hata mtu mmoja aliyeweza kurekodi video clip ya mtu akitekwa ?

Hakuna hata mtu mmoja aliyeweza kurekodi video clip ya mtu akitekwa ?

ya panya road nshawahi kuiona moja
Ipi ile wanatembea camera ya nyumba ikawarekodi? Kama ni hiyo basi ni tofauti na mleta mada alichotaka, yaani ule muda varangati linatokea ndio anataka video
 
Ai tulioishi Taleban bunduki ni kama manati tu sema tatizo wabongo ninwabinafsi utabaki mwenyewe
 
Back
Top Bottom