Inawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?!
Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa kurekodi video ya wasiojulikana wakiteka raia? Mbona kuna video nyingi sana mtandaoni za ngono"connection" zinazorekodiwa kwa siri katika mazingira magumu sana kuchukua video? Au ndio kusema akili za raia wengi zimetawaliwa na ngono zaidi?!
Wako bize insta na facebook kwenye page za umbeaInawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?!
Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa kurekodi video ya wasiojulikana wakiteka raia? Mbona kuna video nyingi sana mtandaoni za ngono"connection" zinazorekodiwa kwa siri katika mazingira magumu sana kuchukua video? Au ndio kusema akili za raia wengi zimetawaliwa na ngono zaidi?!
Ni uoga tu wa raia uliopitiliza, wala hakuna mtu angeweza kupigwa risasi hadharani katika mazingira kama hayo.
Ni ujinga mtupu, vijana kazi ya kubwa ni kurekodi tu makalio makubwa ya wanawake.
Wewe ungeweza yaani defender mbili na watu wana smg uanze kubisha nao..na wamejitambulisha ni polisi ?Abiria wangepaswa kukataa mtu kushushwa kabla ya kupewa sababa za kuridhisha, mda wa kuuliza maswali ni mda mwafaka wa kuchukuwa video.
Bus lilikuwa cctv sijui dereva hakujua namna ya kuziwashaInawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?!
Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa kurekodi video ya wasiojulikana wakiteka raia? Mbona kuna video nyingi sana mtandaoni za ngono"connection" zinazorekodiwa kwa siri katika mazingira magumu sana kuchukua video? Au ndio kusema akili za raia wengi zimetawaliwa na ngono zaidi?!
Inawazekenaje watu wanaweza kurekodi kwa siri video clip za dungadunga kwenye dalalala na mwendokasi ila walishindwa kabisa kurekodi video ya Ali Kibao akichukuliwa mateka na wasiojulikana katika bus lenye abiria zaidi ya 40?!
Ni kweli mpaka sasa hakuna hata raia mwema mmoja aliyefanikiwa kurekodi video ya wasiojulikana wakiteka raia? Mbona kuna video nyingi sana mtandaoni za ngono"connection" zinazorekodiwa kwa siri katika mazingira magumu sana kuchukua video? Au ndio kusema akili za raia wengi zimetawaliwa na ngono zaidi?!
ya panya road nshawahi kuiona mojaPanya road tu na mapanga mpaka leo hakuna video, unaongelea watu kazi tena wako full? Acha masikhara
Wewe unaweza kuanzisha hilo mbele ya mtutu?Abiria wangepaswa kukataa mtu kushushwa kabla ya kupewa sababa za kuridhisha, mda wa kuuliza maswali ni mda mwafaka wa kuchukuwa video.