Hakuna hata mtu mmoja aliyeweza kurekodi video clip ya mtu akitekwa ?

Mazingira huwa yanafanya kurekodi iwe ngumu. Maana humo humo kwenye abiria kulikua na mwenzao, sasa angeona mtu anarekodi si ingekula kwake
 
ya panya road nshawahi kuiona moja
Ipi ile wanatembea camera ya nyumba ikawarekodi? Kama ni hiyo basi ni tofauti na mleta mada alichotaka, yaani ule muda varangati linatokea ndio anataka video
 
Ai tulioishi Taleban bunduki ni kama manati tu sema tatizo wabongo ninwabinafsi utabaki mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…