Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari, huko tunakoelekea hali ndio inazidi kuwa mbaya, sijui tutawalea vipi watoto wetu aisee😅😅😅... Kila mtu anajificha kwenye mpango wa Mungu.Wachache nimpango wa mungu
Ila the rest walijipangia wenyewe kwa tamaa zao
Nadhani kamaanisha yale yanayoitwa involuntary actions.. Matendo bila hiari, bila utashiMambo mengi huja kwa yenyewe (naturally),, Mengine tunajipa wenyewe kama vile,kuvuta sigara, kunywa pombe badala ya maji na Maziwa,minyanduo isiyo rasmi,mema au mbaya ni Wewe tuu kusimamia upande,uutakao.
Kweli kabisa!Nadhani kamaanisha yale yanayoitwa involuntary actions.. Matendo bila hiari, bila utashi
Ni ngumu sana ndugu yangu ila mtoto akishazaliwa kama ni wa kike.. Mlee kike hasa na kama ni wa kiume mlee kiume hasaHapo kwenye janjo tunaweza kupaepuka vipi sasa mkuu? Maana afadhali ya vyakula tunaweza kurudi kwenye uasili wetu kidogo... Shetani kweli yupo zake kazini aisee
Nina changamoto ya kuzaliwa na kigugumizi nimekuwa kivutio tangu nikiwa chekechekea hadi leo hii kazini zamani nilikuwa najiona sifai kabisa lakini saivi nimeshazoea wananitania kwa kuniigilizia wala sijari na ninacheka tu.Kwenye maisha kuna mambo ambayo mtu hawezi kuyapanga "Nature takes its course" hauwezi kupanga uzaliwe Taifa gani , Mkoa gani , Rangi gani , Kabila gani , familia ipi au hata Dini gani . Hakuna kitu kibaya kama kumukumu mtu kwa mambo ambayo hakupanga yatokee kwenye maisha yake.
Hii nadhani itasaidia kwa namna ya ndani ila kwa namna ya nje tuendelee kuomba Mungu awapambanie hawa vijana.Ni ngumu sana ndugu yangu ila mtoto akishazaliwa kama ni wa kike.. Mlee kike hasa na kama ni wa kiume mlee kiume hasa
Ipitishwe sheria ya kunyonga🤣🤣🤣Hatari, huko tunakoelekea hali ndio inazidi kuwa mbaya, sijui tutawalea vipi watoto wetu aisee😅😅😅... Kila mtu anajificha kwenye mpango wa Mungu.
Hapo hadi Mimi nitakapoikamata hii nchi, endelea kufunga na kuomba ipo siku yaja ambayo Mungu ameipanga Thecoder aitawale hii nchi na hapo ndipo Sheria za namna hiyo zitakapo timilizwa😅😅😅Ipitishwe sheria ya kunyonga🤣🤣🤣
Utaona wamekuwa rejali ghafla
Bora umejijua!Nina changamoto ya kuzaliwa na kigugumizi nimekuwa kivutio tangu nikiwa chekechekea hadi leo hii kazini zamani nilikuwa najiona sifai kabisa lakini saivi nimeshazoea wananitania kwa kuniigilizia wala sijari na ninacheka tu.
Japo kuna muda huwa nshindwa kabisa hata kutoa maoni hasa nikiwa mahali pa ugenini nk
🤣🤣🤣🤣na ikawe heriHapo hadi Mimi nitakapoikamata hii nchi, endelea kufunga na kuomba ipo siku yaja ambayo Mungu ameipanga Thecoder aitawale hii nchi na hapo ndipo Sheria za namna hiyo zitakapo timilizwa😅😅😅
Nitaweza lakini mimi nitakua home nimetulia huku wawakilishi wangu wananiombea kura, mgombea nitakua naonekana kwenye mabango tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣na ikawe heri
Siasa unaziweza
Hahaha😂😂😂😂😂 ndoto nyingine zikupitie tu mbaliNitaweza lakini mimi nitakua home nimetulia huku wawakilishi wangu wananiombea kura, mgombea nitakua naonekana kwenye mabango tu🤣🤣🤣🤣🤣
Kwahiyo wataka nibaki bila ndoto😂😂😂😂H
Hahaha😂😂😂😂😂 ndoto nyingi zikupitie tu mbali
Na kwanini umhukumu kwa lolote kati ya hayo?Kwenye maisha kuna mambo ambayo mtu hawezi kuyapanga "Nature takes its course" hauwezi kupanga uzaliwe Taifa gani , Mkoa gani , Rangi gani , Kabila gani , familia ipi au hata Dini gani . Hakuna kitu kibaya kama kumukumu mtu kwa mambo ambayo hakupanga yatokee kwenye maisha yake.
Maombi pia ni muhimu sana na malezi sahihi piaHii nadhani itasaidia kwa namna ya ndani ila kwa namna ya nje tuendelee kuomba Mungu awapambanie hawa vijana.
Ila kuamini kwenye dini kwasababu tu umekuta wazazi wanaabudu kwenye hiyo dini ni ujinga flani. Yaani hata kujiuliza nini kilipelekea wazazi wako wakaamini hiyo dini unashindwa. Nisawa na kukuta wazazi wako wanapika kwa kutumia kuni na Wewe unaendelea kupikia kuni kwasababu unaamini kupikia kuni ndio kunafanya chakula kuwa kitamu.Kwenye maisha kuna mambo ambayo mtu hawezi kuyapanga "Nature takes its course" hauwezi kupanga uzaliwe Taifa gani , Mkoa gani , Rangi gani , Kabila gani , familia ipi au hata Dini gani . Hakuna kitu kibaya kama kumukumu mtu kwa mambo ambayo hakupanga yatokee kwenye maisha yake.