Hakuna jambo baya kama kumuhukumu mtu kwa mambo asiyoweza kuyapanga

Hakuna jambo baya kama kumuhukumu mtu kwa mambo asiyoweza kuyapanga

Ila kuamini kwenye dini kwasababu tu umekuta wazazi wanaabudu kwenye hiyo dini ni ujinga flani. Yaani hata kujiuliza nini kilipelekea wazazi wako wakaamini hiyo dini unashindwa. Nisawa na kukuta wazazi wako wanapika kwa kutumia kuni na Wewe unaendelea kupikia kuni kwasababu unaamini kupikia kuni ndio kunafanya chakula kuwa kitamu.
Imani huwa inamuingia mtu pale anapozoeshwa toka utotoni kufwata imani fulani , kwahiyo inakuwa ngumu kwa mtu kuacha
 
Nina changamoto ya kuzaliwa na kigugumizi nimekuwa kivutio tangu nikiwa chekechekea hadi leo hii kazini zamani nilikuwa najiona sifai kabisa lakini saivi nimeshazoea wananitania kwa kuniigilizia wala sijari na ninacheka tu.
Japo kuna muda huwa nshindwa kabisa hata kutoa maoni hasa nikiwa mahali pa ugenini nk
Ukiwa na kigugumizi uwe mbabe, kuna mwanang ana kigugumizi ila ni mbavu japo pia ni mpole. Huyo kumtania uwe unajiweza la sivyo utakula mbata.
 
Back
Top Bottom