Hakuna jambo baya kama kumuhukumu mtu kwa mambo asiyoweza kuyapanga

Imani huwa inamuingia mtu pale anapozoeshwa toka utotoni kufwata imani fulani , kwahiyo inakuwa ngumu kwa mtu kuacha
 
Ukiwa na kigugumizi uwe mbabe, kuna mwanang ana kigugumizi ila ni mbavu japo pia ni mpole. Huyo kumtania uwe unajiweza la sivyo utakula mbata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…